BarajaMkush
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 1,633
- 2,948
Aliniacha, sijuagi mpaka leo aliniacha kwa sababu gani ila nilichokuja kufikiria mimi ni kuwa sikuwa na uwezo wa kumtosheleza kimahitaji. Kipindi hiko alikuwa chuo, na kitu alichonambia ni kuwa Hanipendi tena wala hana future na mimi. Niliukubali ule ukweli wake ingawa akili iligoma kukubali.Ilikuwaje boss?
Ilinichukua takribani miaka miwili ndipo nikasema kweli she isnt with me, kinachoniuma mpaka leo dada, mimi ilibidi niombe msamaha kwa kitu nisichokijua ili asiniache, nikifikiriaga hilo jambo nafsi huwa inanyong'onyea sanaaa! Mimi huyu wa kuomba msamaha kwa nisichokijua!? Mungu amsaidie tu kwa kweli binti huyu.