BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,015
Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Simba na mfanyakazi wa Shirika la Bima ya Taifa (NIC), Jimmy David Ngonya amefariki asubuhi hii. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi~AMEN na pia awape nguvu na faraja mkewe, watoto na wajukuu wake, ndugu, jamaa na marafiki katika kipindi hiki kigumu kwao. Tully, Ikupa na wengineo poleni sana kwa msiba mkubwa uliowafika.