Jimbo la Segerea: Nini CCM's Plan B?

Jimbo la Segerea: Nini CCM's Plan B?

jamani ktkt hili wana segerea tunawaomba mtuachie wenyewe, Wile njoo upambane na kipenzi cha magamba anayeitwa Kess anatokea kata ya tabata mtambani na ww wiliy hilo shamba ulilo nalo lipo segerea ipi? sisi ndio tuna uchungu na segerea yetu jamani hatuitaji ushabiki ktk hili. mahanga kaiba kura mahakama ya kikwte tuombe itende haki kwenye hili. km wily unaona unaweza njo tukusioi sumari, njoo tuendelee kumuaibisha shetani. TUTAANZA NA MUNGU NA TUTAMALIZA NA MUNGU

- Jamani sijasema nitagombea hilo jimbo, Mahanga is my great friend simauombei mabaya hata siku moja, nilichosema ni the story sounds very interesting, that is all sasa naona watu mnaenda mbali sana kwamba nimetangaza kugombea wengine wananitumia inbox za ushauri wa kumwaga mtama kwenye kuku, please jamani nilipogombea EALA mbona nilikuj a hapa very late, I mean

- Nasema tena sina mpango wowote wa kugombea anything sasa hivi, napumzika kwanza, Ughaibuni 30 years, na kurudi hapa miezi mitatu tu moja kwa moja kwenye kampeni za Ubunge, I mean I need a break kwanza, ingawa yes mimi ni mkazi wa Segerea, nimekulia Segerea, nina makazi Segereea, ninaijua Segerea n je ndani, lakini haina maana jimbo likiwa wazi basi nitagombea, please people nahitaji kupumzika kwanza yaani Vacation, na kuzunguka kidogo kama leo kuongea na wasomi na wananchi wa kawaida kusikiliza wanasema nini.

- PLEASE READ MY LIPS, SIGOMBEI ANYTHING!, NIPO VACATION!

Willie @DSM City!
 
- So unasema kama nikigombea na tiketi ya CDM nitakuwa na nafasi kubwa kuliko CCM is that right?

Willie @DSM City!

sasa Baharia wangu unataka tu ubunge au unafuata itikadi fulani na dira fulani ya kuongoza na kuleta mageuzi ya kisiasa hapa tz, maana yake CDM na CCM ni tofauti kabisa kifilosofia yao ya kiuongozi na wewe hapa unaonyesha kua hujali unataka tu kupita uende mjengoni..dah
 
Naona wana Segerea wanapambana kweli na jimbo lao ngoja kwanza tusuburi hukumu ya Mahanga. May 2 nadhani kwa jinsi hiyo kesi ilivyo Mahanga hawezi kuchomoka.
 
sasa Baharia wangu unataka tu ubunge au unafuata itikadi fulani na dira fulani ya kuongoza na kuleta mageuzi ya kisiasa hapa tz, maana yake CDM na CCM ni tofauti kabisa kifilosofia yao ya kiuongozi na wewe hapa unaonyesha kua hujali unataka tu kupita uende mjengoni..dah

- I believe in mapinduzi, I mean mapinduzi ya kweli sio maneno matupu, mimi ni mwanachama hai wa CCM ninaamini ndani ya CCM kuna mengi yanatakiwa kubadilishwa tena sasa, na pia wananchi wanatakiwa kuelimishwa kinachoendelea na siasa ya taifa lao, kwa sababu kuna ishus zingine zinafanyika ambazo zinasema wazi kwamba wananchi hawaelewi kinachoendelea, wanahitaji kueleweshwa!

- I respect Chadema, isipokuwa bado sijaamini kwamba ndio the best alternative HOWEVER; ninaamini kuna baadhi yao huko wenye mawazo mema na taifa na hasa wananchi, lakini pia siwaamini sana wengi wao pia na hasa baaada ya yote niliyoyaona kwenye huu uchaguzi wa juzi, kuna walionikatisha tamaa sana infact kuna niliokuwa ninawaa-admire sana, lakini wamenikatisha tamaa, ingawa ni kawaida katika siasa, lakini bado nakiheshimu chama in general atleast kinajitahidi kumkosesha tembo usingizi.

- Mh. Zitto, ninaheshimu sana mawazo yake kwa taifa, sikatai kila binadam ana mapungufu yake as we all are, lakini bado ninaamini kwamba ana mawazo mema sana na tunayoyahitaji sana hili taifa, ni makini na very dedicated, infact kwenye huu uchaguzi nimetihibitisha kwamba he is what he says na he walk the walk, and talk the talk, huwezi kumkuta kwenye vigenge, hana muda wa ujinga, he is serious na very focus. He was hurt na matokeo yangu na I could see very clearly in his eyes, genuine na hana unafiki, NIMEONDOKA DODOMA NIKIWA NA MORE RESPECT FOR HIM!

- MH. MBOWE, kwa niliyojifunza Dodoma, pamoja na kwamba I grew up with him, sasa ni mwendo wa politics za taifa, nilichokiona ni kwamba ana nia njema sana na taifa na hasa wananchi, lakini kimaisha ana uwezo mkubwa sana, lakini sio wote huko wenye uwezo kama yeye, hapo tu ndipo panapomletea utata, yale yale yaliyomkuta Mkapa, mwanzoni ninaamini kwamba alikuwa na nia njema sana na taifa, lakini huwezi kuongoza bila kukubaliana na wenzako sasa tatizo ni kama wenzako wote mko pamoja, wenzake wengi huko CDM hawako pamoja na Mh. Mbowe, wapo naye kwa maneno lakini sio matendo, na sio makosa yao ila maisha haya sio mchezo na inaeleweka sana!

- Again, ninarudia tena wengine waje kutokea CDM na wengine tuje kutokea CCM, tulikomboe taifa!

Willie!
 
mkuu huyu jamaa unampiga darasa la kutosha lakini naona ni mweupe kabisa kichwani maana anacgotaka yeye hapa kupewa sifa na kusifiwa kijinga utadhani yupo Twanga pepeta au Ngwasuma, mkuu Balatanda anampa za uso badala ya kuchukulia kama changamoto anaanza kurusha mipasho kama yule mama yake wa Kambo(Kilango Anne)
 
mkuu huyu jamaa unampiga darasa la kutosha lakini naona ni mweupe kabisa kichwani maana anacgotaka yeye hapa kupewa sifa na kusifiwa kijinga utadhani yupo Twanga pepeta au Ngwasuma, mkuu Balatanda anampa za uso badala ya kuchukulia kama changamoto anaanza kurusha mipasho kama yule mama yake wa Kambo(Kilango Anne)

- Huwezi kutoa za uso huku umeuza kata ya CDM kwa wengine tena kwenye uchaguzi, that is very low na ndio tunayoyasema hapa kila siku kwamba tunataka kuyabadilisha, weupe labda ni kupiga kelele tu hapa na kwenda kulala, sisi tunajaribu kuingia huko ndani kwenda kubadilisha mambo.

- Yes kuna muda wa Ngwasuma, Twanga na watu wangu Msondo Ngoma Music Baba wa Muziki, na pia kuna muda wa serious National politics, sasa usichanganye mambo.

- Segerea ni jimbo langu kama lilivyo la wengine ninalilipia kodi ya kiwanja changu sasa huamini kwamba nina haki ya kuliongelea? Infact ninalijua mwanzo wake mpaka mwisho, sasa unanipaje somo la jimbo langu? I mean ni kufikiri japo kidogo tu kabla hujaandika, sasa lets work together kulisaidia jimbo badala ya tamaa za madaraka!

Ingawa sina mpango wa kugombea anything kwa sasa!

Willie!
 
Judi unaongea na wapiga kura wa segerea.
Anzia matumbi,tbt bima,mawenzi na Kimanga. Baracuda,MK bar,Kwa bibi na Seminari Mahanga Hakubariki!
Ugombolwa ndo hivyo Allieni anabana kinyerezi nako ni taiti.
Kisukuru nako niseme??????
Wewe tulia[/QUOTE sanene ndio kabisaa katavi kamwaga pombe wakamtosa
 
- I believe in mapinduzi, I mean mapinduzi ya kweli sio maneno matupu, mimi ni mwanachama hai wa CCM ninaamini ndani ya CCM kuna mengi yanatakiwa kubadilishwa tena sasa, na pia wananchi wanatakiwa kuelimishwa kinachoendelea na siasa ya taifa lao, kwa sababu kuna ishus zingine zinafanyika ambazo zinasema wazi kwamba wananchi hawaelewi kinachoendelea, wanahitaji kueleweshwa!

- I respect Chadema, isipokuwa bado sijaamini kwamba ndio the best alternative HOWEVER; ninaamini kuna baadhi yao huko wenye mawazo mema na taifa na hasa wananchi, lakini pia siwaamini sana wengi wao pia na hasa baaada ya yote niliyoyaona kwenye huu uchaguzi wa juzi, kuna walionikatisha tamaa sana infact kuna niliokuwa ninawaa-admire sana, lakini wamenikatisha tamaa, ingawa ni kawaida katika siasa, lakini bado nakiheshimu chama in general atleast kinajitahidi kumkosesha tembo usingizi.

- Mh. Zitto, ninaheshimu sana mawazo yake kwa taifa, sikatai kila binadam ana mapungufu yake as we all are, lakini bado ninaamini kwamba ana mawazo mema sana na tunayoyahitaji sana hili taifa, ni makini na very dedicated, infact kwenye huu uchaguzi nimetihibitisha kwamba he is what he says na he walk the walk, and talk the talk, huwezi kumkuta kwenye vigenge, hana muda wa ujinga, he is serious na very focus. He was hurt na matokeo yangu na I could see very clearly in his eyes, genuine na hana unafiki, NIMEONDOKA DODOMA NIKIWA NA MORE RESPECT FOR HIM!

- MH. MBOWE, kwa niliyojifunza Dodoma, pamoja na kwamba I grew up with him, sasa ni mwendo wa politics za taifa, nilichokiona ni kwamba ana nia njema sana na taifa na hasa wananchi, lakini kimaisha ana uwezo mkubwa sana, lakini sio wote huko wenye uwezo kama yeye, hapo tu ndipo panapomletea utata, yale yale yaliyomkuta Mkapa, mwanzoni ninaamini kwamba alikuwa na nia njema sana na taifa, lakini huwezi kuongoza bila kukubaliana na wenzako sasa tatizo ni kama wenzako wote mko pamoja, wenzake wengi huko CDM hawako pamoja na Mh. Mbowe, wapo naye kwa maneno lakini sio matendo, na sio makosa yao ila maisha haya sio mchezo na inaeleweka sana!

- Again, ninarudia tena wengine waje kutokea CDM na wengine tuje kutokea CCM, tulikomboe taifa!

Willie!

mi nafikiri willie mapinduzi ndani ya CCM kwa sasa ni magumu, matajiri wengi mno kule na maslahi binafsi yamejaa..anyway itikadi sasa hazina maana kwenye siasa hizi za ndani za CCM, kuna hawa neo conservatives kama mzee wako, mh sitta, warrioba, Salim, Butiku, etc lakini bila ya damu mpya hawa wanazidiwa na kundi kubwa la vijana na wazee walionufaika sana na mfumo mzima wa uongozi wa kifisadi fisadi huu uliokithiri muda wa Mkapa

nafikiri kuna progressives nationalist if i can call them that..huyu filikunjombe,(may be its too soon to label him)... hawa nafikiri hawajali sana itikadi, ila matokeo chanya ya sera zetu za kimaendeleo..wenyewe wanafikiria kufanya kazi na yeyote wenye mawezo sawa na vyama vya siasa pamoja ni muhimu lakini siyo kila kitu, taifa linakuja kwanza..hawa wakipewa nguvu ndani ya CCM wako wengi pia, haswa wale ambao siasa za kimamluki hazijawafunga mikono..

mi nafikiri vijana ndani ya CCM wangeamka na kuacha uoga, kuweka utaifa mbele, kuchukua hatma ya chama mikononi mwao, kuongelea kwa ufasaha matatizo ya wananchi, warudi kwenye mistari ya kiuongozi, hawa wanaojifanya wenye chama wangeogopa na kungekua ndiyo mwanzo wa mapinduzi ndani ya ccm. mapinduzi ya fikra, mapinduzi ya kimfumo, mapinduzi ya kiitikadi kurudi kwenye misingi asilia ya CCM ya chama cha wakulima na wafanya kazi..
 
- Jamani sijasema nitagombea hilo jimbo, Mahanga is my great friend simauombei mabaya hata siku moja, nilichosema ni the story sounds very interesting, that is all sasa naona watu mnaenda mbali sana kwamba nimetangaza kugombea wengine wananitumia inbox za ushauri wa kumwaga mtama kwenye kuku, please jamani nilipogombea EALA mbona nilikuj a hapa very late, I mean

- Nasema tena sina mpango wowote wa kugombea anything sasa hivi, napumzika kwanza, Ughaibuni 30 years, na kurudi hapa miezi mitatu tu moja kwa moja kwenye kampeni za Ubunge, I mean I need a break kwanza, ingawa yes mimi ni mkazi wa Segerea, nimekulia Segerea, nina makazi Segereea, ninaijua Segerea n je ndani, lakini haina maana jimbo likiwa wazi basi nitagombea, please people nahitaji kupumzika kwanza yaani Vacation, na kuzunguka kidogo kama leo kuongea na wasomi na wananchi wa kawaida kusikiliza wanasema nini.

- PLEASE READ MY LIPS, SIGOMBEI ANYTHING!, NIPO VACATION!

Willie @DSM City!

Mkuu we ni mkali.. miaka30, then unaijua segerea nje ndani unatisha
 
uchaguzi mdogo ni janga la kitaifa,ni kupoteza rasilimali za taifa
 
Nikiwa kama mkazi wa Jimbo la Segerea na niliyeshi kwa zaidi ya miaka 30 katika jimbo hili tangu Wilaya ya Ilala ikiwa ndiyo jimbo lenyewe na baadae likazaliwa Jimbo la Ukonga ambalo nalo sasa ndio limezaa jimbo la Segerea.

Willy usikubali kuingizwa Mkenge eti uje kuchukuwa fomu kwenye kura za maoni za CCM kwenye jimbo hili, you will regreat note my word.

CCM haiwezi kushinda katika jimbo la Segerea zaidi ya kata moja tu ya Kinyerezi ambapo kwa ukweli wa nafsi kuna kazi imefanyika na inaonekana, lakini si nje ya kata hiyo.

Hakuna wana CCM wanafki kama hawa wa jimbo la Segerea, hawasomeki na wala hawaaminiki ni Makongoro Mahanga peke yake ndiyo aliyeza kuzimudu fitna za wanaCCM wa jimbo hili.

Rupia alipokuwa mbunge wetu alikuwa ni mtu mmoja safi sana lakini aliundiwa zengwe na waswahili eti kwamba alisema ni pesa zake ndio zilimchaguwa.

Nakuonya tena kama una plan ya kugombea Segerea sahau hicho kitu, maana hutoweza kupita ndani ya CCM na hata ukiweza kupita huwezi kushinda siyo wewe tu hata aje mwana CCM gani, tuna hasira kubwa ya maamuzi yetu 2010 kudharauliwa na NEC.
yaani mkuu matola nakuaminia kweli we ni mkongwe kule segerea na unajua fitna za ccm mimi mkazi wa karibu na chama nazijua fitina zao kuna watu kule segerea hasa waswahili hawana kazi kutwa wanakula kupitia mgongo wa chama yaani jukumu la mbunge linatakiwa kulisha hawa makupe sio kuleta maendeleo ukishindwa kufanya hivyo zengwe linaanza muulize mgombea udiwani wao kata ya ugombolwa anaitwa magungu kilichomkuta na ndio maana makongoro badala ya kutatua mataizo ya wananchi kutwa utamkuta mara katavi mara rufita mara kwa mfojo karibu na chama humu mote akiambatana na makupe na haya makupe yanasumbua sana wananchi utazani yenyewe ndio mitendaji ya serikali
 
- Kwa maneno mengine ni Jimbo langu, I grew up there na infact nina shamba na nyumba kule, I pray for my good friend Mahanga to survive, otherwise it sound interesting, yaani iwapo jimbo litakuwa open!

William @DSM City!

Wanaotamani jimbo hili ni wengi. Si wote wenye nyumba pale watagombea au wanaweza kuchaguliwa kuongoza jimbo hilo. William, ungekuja na hoja nyingine. Kuzaliwa pale, siyo hoja wengi wamezaliwa pale.

ki ukweli "Uncle" Mpendazoe alishinda ila uchakachuaji wa magamba ndio uliofanya kazi. Watangaze uchaguzi ili tuhamie pale tukagalagaze magamva. I pray Mpendazoe apewe nafasi tena kutetea ushindi wake.
 
- Jamani sijasema nitagombea hilo jimbo, Mahanga is my great friend simauombei mabaya hata siku moja, nilichosema ni the story sounds very interesting, that is all sasa naona watu mnaenda mbali sana kwamba nimetangaza kugombea wengine wananitumia inbox za ushauri wa kumwaga mtama kwenye kuku, please jamani nilipogombea EALA mbona nilikuj a hapa very late, I mean

- Nasema tena sina mpango wowote wa kugombea anything sasa hivi, napumzika kwanza, Ughaibuni 30 years, na kurudi hapa miezi mitatu tu moja kwa moja kwenye kampeni za Ubunge, I mean I need a break kwanza, ingawa yes mimi ni mkazi wa Segerea, nimekulia Segerea, nina makazi Segereea, ninaijua Segerea n je ndani, lakini haina maana jimbo likiwa wazi basi nitagombea, please people nahitaji kupumzika kwanza yaani Vacation, na kuzunguka kidogo kama leo kuongea na wasomi na wananchi wa kawaida kusikiliza wanasema nini.

- PLEASE READ MY LIPS, SIGOMBEI ANYTHING!, NIPO VACATION!

Willie @DSM City!

Je unakujua kwa Mfojo?

Naomba ukishuka ughaibuni mimi nitakuwa pale silver spring, Richmond, DC, kuanzia wiki ijayo insh'Allah mapumziko. Naomba unifungashie mishikaki yake uniletee.... joke

 
mi nafikiri willie mapinduzi ndani ya CCM kwa sasa ni magumu, matajiri wengi mno kule na maslahi binafsi yamejaa..anyway itikadi sasa hazina maana kwenye siasa hizi za ndani za CCM, kuna hawa neo conservatives kama mzee wako, mh sitta, warrioba, Salim, Butiku, etc lakini bila ya damu mpya hawa wanazidiwa na kundi kubwa la vijana na wazee walionufaika sana na mfumo mzima wa uongozi wa kifisadi fisadi huu uliokithiri muda wa Mkapa

nafikiri kuna progressives nationalist if i can call them that..huyu filikunjombe,(may be its too soon to label him)... hawa nafikiri hawajali sana itikadi, ila matokeo chanya ya sera zetu za kimaendeleo..wenyewe wanafikiria kufanya kazi na yeyote wenye mawezo sawa na vyama vya siasa pamoja ni muhimu lakini siyo kila kitu, taifa linakuja kwanza..hawa wakipewa nguvu ndani ya CCM wako wengi pia, haswa wale ambao siasa za kimamluki hazijawafunga mikono..

mi nafikiri vijana ndani ya CCM wangeamka na kuacha uoga, kuweka utaifa mbele, kuchukua hatma ya chama mikononi mwao, kuongelea kwa ufasaha matatizo ya wananchi, warudi kwenye mistari ya kiuongozi, hawa wanaojifanya wenye chama wangeogopa na kungekua ndiyo mwanzo wa mapinduzi ndani ya ccm. mapinduzi ya fikra, mapinduzi ya kimfumo, mapinduzi ya kiitikadi kurudi kwenye misingi asilia ya CCM ya chama cha wakulima na wafanya kazi..

- Well, CCM kurudi na kuwa chama cha wafanyakazi na wakulima sidhani kama ni relevant hasa kutokana na times tulizonazo sasa hivi, tumeshaamua kuwa Mabepari hatuwezi kurudi nyuma tena na sitaki kuamini kwamba hiyo ndiyo agenda ya CDM kurudia ujamaa na kujitegemea,

- Ninasema nyumba yoyote ni msingi, hata siasa ya ujamaa hatukuiweza sasa tunarudi vipi tena tulikoshindwa? Hatuwezi kuwa na mapinduzi ya kweli iwapo wengi kati yetu wananufaika sana mfumo tulio nao sasa, ni mpaka pale wananchi wengi watakapo athirika na huu mfumo ndio tutakuwa na mapinduzi ya kweli.

- Una hoja nyingi sana nzito, lakini in simplistic terms, mkuu naomba nitafautiane na wewe kwamba kurudi kwenye siasa za ujamaa sio solution ya matatizo yetu Tanzania.

Willie!
 
- Nimeona maneno ya Facebook huwa kwa kawaida siyajibu maana siamini JF ni mahali pa kujadili mambo ya picha za Facebook, HOWEVER:

- Facebook ni a Social Network, ambapo members wanabadilishana picha na kuongelea maisha yao ya kila siku na familia zao pamoja na rafiki zao, sio mahali pa siasa ingawa kuna wanaojaribu kupafanya pawe mahali pa siasa zaidi.

- Msimamo wangu ni kwamba ninaheshimu kila aliye-my friend kule na pia kuheshimu mawazo yao, pia kule kuna kina dada ambao wengi wao hawapendi kabisa mambo ya siasa, sasa unapoanza kushambulia my friends ambao hawakuhusu unavuka mipaka ya kistaraabu, so ninaku-block and then ninakuondoa, understand nina wananchi 600 wapo kando wanasubiri kuwa my-friends,

- Nimesema na ninarudia, mimi ni a Politician na pia a big Public Figure! ha! ha! ni hii FACT, sasa ni fair ukanirushia hasira zako at anytime you want could creless, wewe njoo huku nitukane as much as you want, lakini sio kwenye Facebook hapana kule nitakuondoa na kuku-block, chukua hasira zako kutoka kule njoo hapa unitukane as much as you want, ni powa sana, lakini kule hapana tujifunze kuheshimu sehemu na mambo yake!

Willie @DSM City!

haha. Nadhan umesahau kilcho7bsha uni block. Cjawah kuweka siasa ktk fb wall yako. Umeniblock kule coz kuna cku nlikubananisha humu JF.
 
yani huyu anaomba mahanga abaki na ubunge wa segerea kweli una mawazo mgando................ Ngoja tuone maamuzi ya mahakama,,,,,,,,,,,,najua kwa mwenendo wa ile kesi mahanga hana chake pale,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,na kama uchaguzi ukirudiwa cdm kama arumeru mashariki.
 
Mkuu William
Mazingira ya Segerea kwa sasa ni kama Arusha.
Kama una AKILI timamu, jiepushe na hicho kikombe.
Ulichopata kule EALA hakijakutosha?.
 
Willy pole hivi kumbe moja ya sifa kuwa mbunge ni kuwa na shamba jimboni? Halafu eti unaliita jimbo lako tangu lini?
 
- Well, CCM kurudi na kuwa chama cha wafanyakazi na wakulima sidhani kama ni relevant hasa kutokana na times tulizonazo sasa hivi, tumeshaamua kuwa Mabepari hatuwezi kurudi nyuma tena na sitaki kuamini kwamba hiyo ndiyo agenda ya CDM kurudia ujamaa na kujitegemea,

- Ninasema nyumba yoyote ni msingi, hata siasa ya ujamaa hatukuiweza sasa tunarudi vipi tena tulikoshindwa? Hatuwezi kuwa na mapinduzi ya kweli iwapo wengi kati yetu wananufaika sana mfumo tulio nao sasa, ni mpaka pale wananchi wengi watakapo athirika na huu mfumo ndio tutakuwa na mapinduzi ya kweli.

- Una hoja nyingi sana nzito, lakini in simplistic terms, mkuu naomba nitafautiane na wewe kwamba kurudi kwenye siasa za ujamaa sio solution ya matatizo yetu Tanzania.

Willie!

niliposema chama cha wakulima na wafanyakazi sikumaanisha ujamaa, la hasha ujamaa ulishindwa na hatuwezi tena kwenda huko. maana yangu ni CCM irudi kwenye misingi ya kuwatumikia na kuongozwa na watu wasiokua wafanya biashara kubwa kubwa waliojiingiza kwenye uongozi wa ccm kupitia viongozi wabadhirifu na waroho wa madaraka..sasa chama kimewasahau au kuwatupa wanachama wake wa kawaida..

siasa za kimamluki zimetawala, umoja hakuna, nguvu ya hoja vimetupwa, sera nzuri za CCM zimetupwa, uwajibikaji na uongozi bora imekua ndoto, wababaishaji wamezidi kuwa wengi katika serikali na chama na mwisho wake CCM imekua ikiishi kwenye kisiwa chake yenyewe bila wananchama wake wa kawaida ambao wengi wao ni wakulima na wafanya kazi wa kawaida..

huu uliberali ni itikadi tawala sasa hivi n a CCM inakosa nguvu kwa kuacha misingi yake ya kuwatumikia wafanyakazi na wakulima kwa kuinua hali zao kimaisha kwa kutumia huu uliberali na soko huria. hii ndiyo shida ya CCM ya kuexlude watu na kujifanya kama ni kakikundi exclusive kanakotumikia watu wachache
 
Back
Top Bottom