Judi wa Kishua
JF-Expert Member
- Apr 15, 2012
- 1,241
- 1,472
Inatakiwa umuignore, amejaribu kujipendekeza kwangu nimempotezea hiyo ndiyo njia sahihi za kudeal na watu mazuzu kama huyu. hakuna adhabu kubwa duniani kwa mtu mjinga zaidi ya kumdharau.
2ambie m2 mmoja unakadi mbili moja ya chadema moja ya ccm za nini kama sio unafiki,utapeli,usaliti na uganga njaa??alafu ukiitwa kibaraka unachukia,matusi kibao...sasa 2kuite jina gani mkuu??
Ila thanx kwa kuni-ignore,kikubwa ujumbe umefika na umeeleweka ndio maana naona feedback.