Wakuu nawasalimu wote kwa jina la aliye mkuu,
Sikuwa na ulazima wa kuanzisha thread hii lakini nimelazimika kuianzisha thread hii mapema ili kuondoa mikanganyiko isiyokuwa na ulazima
Ikumbukwe kesho ndio tarehe 2 may, kwa sisi wapiga kura wa Segerea tunategemea kutendewa haki yetu na Mahakama kuu kuhusu kesi ya Fred Mpendazoe vs Makongoro Mahanga.
Sasa basi si nia yangu kupendekeza udikteta au ukiritimba wa Habari, bali kutokana na mfumo mbovu unaooneshwa na baadhi ya Member wenzetu hapa katika kupashana habari napendekeza hivi:
Invisible kesho ndiyo abebe jukumu la kuanzisha thread kwa Mtindo wa LIVE ili members wengine ndio watakuwa wanatupia habari kwenye thread, kwa Sababu kesi hii iko Mahakama kuu Dar es salaam nina uhakika watu wengi watakuwa na access ya kuleta habari Immediate.
Hayo ni maoni yangu tu wadau, au mnasemaje?
Manyanzamkuu Matola nimemshangaaa sana Tumbiri, kama watu waliweza kutoa report ya kila kitu kilichokua kinaendelea kwenye msiba wa Kanumba, itashindikana kwa hili la hukumu ya ya kesi ya Segerea? tena jambo ambalo ni la muhimu kwa ustawi wa wapenda mabadiliko
Dah watu tumetofautiana katika fikra..
anyway tunamuomba Invisible kesho asimamie mwenyewe kama atakua ana nafasi
Umenena vyema, nadhani hata Mods wataungana na wewe kwa sababu tunawasumbuwa sana kulazimika kuziunganisha thread kila wakati.
Siku hizi umezuka mtindo hapa JF mfano kuna reporter wa TV station fulani anaripoti habari muhimu basi kabla hajamaliza kuripoti ile Habari unashangaa hapa JF mtu kashaanzisha thread yenye heading tu bila maelezo yoyote zaidi ya Source ITV news!! haya ni mambo tunayopaswa kuyapiga vita kwa nguvu zote.
Usiache space kati ya '@' na jina yaani '@' iungane na ID, ulivyoandika wewe sivyo.Kama hivi @ matola
Wakuu nawasalimu wote kwa jina la aliye mkuu,
Sikuwa na ulazima wa kuanzisha thread hii lakini nimelazimika kuianzisha thread hii mapema ili kuondoa mikanganyiko isiyokuwa na ulazima
Ikumbukwe kesho ndio tarehe 2 may, kwa sisi wapiga kura wa Segerea tunategemea kutendewa haki yetu na Mahakama kuu kuhusu kesi ya Fred Mpendazoe vs Makongoro Mahanga.
Sasa basi si nia yangu kupendekeza udikteta au ukiritimba wa Habari, bali kutokana na mfumo mbovu unaooneshwa na baadhi ya Member wenzetu hapa katika kupashana habari napendekeza hivi:
Invisible kesho ndiyo abebe jukumu la kuanzisha thread kwa Mtindo wa LIVE ili members wengine ndio watakuwa wanatupia habari kwenye thread, kwa Sababu kesi hii iko Mahakama kuu Dar es salaam nina uhakika watu wengi watakuwa na access ya kuleta habari Immediate.
Hayo ni maoni yangu tu wadau, au mnasemaje?
Manyanza
Mimi naona TUMBIRI yuko sahihi, mtu atakayekuwa mahakama ndiye aanzishe LIVE coverage, unakumbuka wewe Manyanza jana ulianzisha thread ya hukumu ya Biharamulo na hukuwa mahakamani matokeo yake ukashindwa ku-update? hukuonekana hadi matokeo yakatoka usiku saa 2.30. Mbaya zaidi thread yako ilikuwa ni quotation ya post ya QUALITY, sasa kulikuwa na sababu gani ya wewe kukimbilia kuanzisha ile thread, hayo ndiyo anayoyasema TUMBIRI.
Mwisho, JF ni ya wote tusimtegemee sana Invisible ndiye aanzishe thread huwezi kujua mipango yake ya kesho anaweza asiwepo mahakamani au asiwepo Dar kabisa au akachelewa, kwa hiyo akichelewa na mimi nimewahi nimsubiri hadi yeye aanzishe ili mimi ni comment, logical? Kama Invisible atawahi mahakamani na kuanzisha well and good ila zaidi yeye aendelee ku monitor thread zitakazoanzishwa baadae wala hakuna haja ya kumkumbusha ni kazi yake.
hii ni sahihi ili tuwe na mtiririko mmojawakuu nawasalimu wote kwa jina la aliye mkuu,
sikuwa na ulazima wa kuanzisha thread hii lakini nimelazimika kuianzisha thread hii mapema ili kuondoa mikanganyiko isiyokuwa na ulazima
ikumbukwe kesho ndio tarehe 2 may, kwa sisi wapiga kura wa segerea tunategemea kutendewa haki yetu na mahakama kuu kuhusu kesi ya fred mpendazoe vs makongoro mahanga.
Sasa basi si nia yangu kupendekeza udikteta au ukiritimba wa habari, bali kutokana na mfumo mbovu unaooneshwa na baadhi ya member wenzetu hapa katika kupashana habari napendekeza hivi:
invisible kesho ndiyo abebe jukumu la kuanzisha thread kwa mtindo wa live ili members wengine ndio watakuwa wanatupia habari kwenye thread, kwa sababu kesi hii iko mahakama kuu dar es salaam nina uhakika watu wengi watakuwa na access ya kuleta habari immediate.
Hayo ni maoni yangu tu wadau, au mnasemaje?
wazo la Matola ni zuri, na wazo lako pia ni zuri, yote yanalenga invisible au mod yeyote awepo kwenye thread husika ili iwe na uzito wa aina yake, sema mkuu wangu matola anajibu kwa jazba sana posts za wadau.Matola,
Katika hali ya kawaida mwanzisha thread ndiye anatakiwa awe eneo la tukio kwa ajili ya kutoa habari. Sasa hili wazo lako naona halipo kiuhalisia maana utakuwa unaendeleza tabia zilezile za baadhi ya member ambao wanakurupuka kuanzisha thread alafu wanategemea wengine wajaze habari. Mi nashauri mtu atakae kuwa Mahakamani ndiye aanzishe thread ya Live.
Invisible kazi yake iwe kumodarate thread kwa kuidentify member yupi yupo mahakamani then aifanye thread yake ndiyo ibebe kichwa cha thread zote zitakazokuwa zinajitokeza. Tuendeleze utamaduni wetu wa kila member kuwa huru kuanzisha thread na tuwaache moderators wafanye kazi yao.
Manyanza Asante kwa kunielewa mtizamo wangu maana walisema miluzi mingi humpoteza Mbwa, Tunaomba Invisible azingatie ushauri huu ili kutokuwachosha watu humu kesho kuzungukazunguka.
Mimi nikiwa kama mdau wa Maendeleo Segerea najuwa fika ni nini kitatokea kesho na ndio maana naomba hata walioko ughaibuni wajione kama wako LIVE mahakamani kufuatilia hukumu ya kesho.
Under_score wengi wangependa iwe hivyo!However, Ni Uchaguzi(Vote) tu ndiyo unaweza kufanya hivyo na Siyo Mahakama(Judgment)
Niko karibu sana na watu wa CCM na nimefanikiwa kuingiza viongozi 3 kwenye uchaguzi wao wa juzi, na hawa wapo CCM kwa kazi maalum.Umeshaisoma HUKUMU?
Usiache space kati ya '@' na jina yaani '@' iungane na ID, ulivyoandika wewe sivyo.