Khakha
JF-Expert Member
- Jul 15, 2009
- 2,981
- 1,013
Matola,
Katika hali ya kawaida mwanzisha thread ndiye anatakiwa awe eneo la tukio kwa ajili ya kutoa habari. Sasa hili wazo lako naona halipo kiuhalisia maana utakuwa unaendeleza tabia zilezile za baadhi ya member ambao wanakurupuka kuanzisha thread alafu wanategemea wengine wajaze habari. Mi nashauri mtu atakae kuwa Mahakamani ndiye aanzishe thread ya Live.
Invisible kazi yake iwe kumodarate thread kwa kuidentify member yupi yupo mahakamani then aifanye thread yake ndiyo ibebe kichwa cha thread zote zitakazokuwa zinajitokeza. Tuendeleze utamaduni wetu wa kila member kuwa huru kuanzisha thread na tuwaache moderators wafanye kazi yao.
swadakta tumbiri. ambaye atakuwa yupo kortini na thread yake imekidhi viwango,ndo aanzishe thread km vile alivyokuwa anafanya isango kule kortini singida.