Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,615
- 38,589
- Thread starter
- #241
Ni mimi, sasa si naishi peke yangu hapa au niite ushahidi?Oooh nimekiona auntie, ila siamini kama hazard ndio kapika.
Ni mimi, sasa si naishi peke yangu hapa au niite ushahidi?Oooh nimekiona auntie, ila siamini kama hazard ndio kapika.
Hapana hatujasahau 😎 😎Tushasahau
Hadi wewe mamii?Hapana hatujasahau
Lete ushahidi.Ni mimi, sasa si naishi peke yangu hapa au niite ushahidi?
sio Mimi bebeHadi wewe mamii?
Hayupo online...Lete ushahidi.
Hizo Kilimanjaro chacheKimeivaa wakuu...
Ni mda wakusubiri ile kauli.."ngoja nimpe bodaboda uongee nae"View attachment 1179153
Ipo nyagi mkuu...hyo ni starterHizo Kilimanjaro chache
I love you a zillionI love you
Ni nani etiOooh nimekiona auntie, ila siamini kama hazard ndio kapika.
Nyagi zilishanishinda nikiwa mjini,Ipo nyagi mkuu...hyo ni starter
Kimeivaa wakuu...
Ni mda wakusubiri ile kauli.."ngoja nimpe bodaboda uongee nae"View attachment 1179153
Ndio umeachiwa?
Jaribu mdogo mtu... K vantNyagi zilishanishinda nikiwa mjini,
eti kubwekaNenda serena pale au hyatt ingia jikon waangalie wanaondaa zile menyu halafu urudi hapa kubweka
nimeachiwa na Nani Tena Shem lake?Ndio umeachiwa?
Anaekamatia goma hilo...hahahaa leo si unajua ni siku mnatutunuku shem?nimeachiwa na Nani Tena Shem lake?
Daah umenisema directIla wanaume wakiwa na ugeni wanajua kujituma jamani.
Hapo hazard umeamka SAA 11 ukapiga deki , ukafua, ukaweka kila kitu sawa. Kitanda umetandika na nguo kabatini umepanga.
Umepika kama vile umesoma mapishi.
Ila sasa mkioa mnajidai hata kukata kata kitunguu hamjui.