Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,615
- 38,589
- Thread starter
- #221
Sasa hapo unatakiwa nusu ya huo uwanja uloe kabisa..kazi kaziKama hivyo..View attachment 1179213
Sasa hapo unatakiwa nusu ya huo uwanja uloe kabisa..kazi kaziKama hivyo..View attachment 1179213
Hufiki?Hahahhahaha
Haki sikusamehiHahahahahaha
Nisamehe mimi jamani
Hahahahahahaha huo ndiyo ukweli.Hakuna mashine duniani inayofanya kazi kwa uharaka, uhakika na umakini wa hali ya juu kama mwanaume anaemsubiri mpenzi wake "gheto"... Alisema baharia mmoja.
Hizo ni za kwako. Usilipize kwa mgeniHizo si goli za jana...wanataka nizilipize kwako aaaah wanataka nizilipize kwa mgeni
Ngoja nikaweke order kumaaaaamakeTunaendelea vizuriView attachment 1179111
Sky Eclat
Nimeona huu ujumbe mara nyingi saana....ukiona nyama inauzwa popote ikawa haina flies usiinunue maana watakuwa wametumia kemikali ya kutunzia maiti kufukuza flies.
Kuna ukweli juu ya hili....nimeshaharibika kisaikolojia nikiwa nakula nyama nakuwa siiamini amini....
Cc bbade Watu8
Mwenye kulijua.
Salim kadondosha ngamia wakutoshampaka sasa nimeshapita nyumba saba...
nasisitiza kuwa bado napokea mwaliko...
wahi sasa nna mialiko nyumba nyingiii... nafasi ni chache!
Yatasaidia kweli?
I love youHaki sikusamehi
Kaenda kutoa ya moyoni hukoo
kwa bakhresa?Salim kadondosha ngamia wakutosha
Leo ukitoka hata haipendezi mkuu..ungemaliza home tuNgoja nikaweke order kumaaaaamake
Husahau mkuu?
Msiba mzito kama ule unasahau vipi haraka mkuu? | |
Oooh nimekiona auntie, ila siamini kama hazard ndio kapika.@Atoto
HahahaaaMnapiga picha za dada zenu wakiwa wanapika alfu mnaleta huku
Kwani hata wanajielewa sasa🤷🤷🤷Na sisi tukikatiza campaign zetu za kupretend ni wife material baada ya kuolewa ..wanatuona wabaya
Pamoja mkuu
Msiba mzito kama ule unasahau vipi haraka mkuu?