Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,375
- 161,378
Ewaaaau sio
Ewaaaau sio
Ndio umedokoa ikabaki kidogo hivyo?Tunaendelea vizuriView attachment 1179111
Nakusindikiza wewe apoo...
Unajua sio vizuri kwenda mwenyewe eeeh
HahahahahahaNitambe.
Wewe ngoja nikusindikize bhana.
Simtishi walaaAcha kumtisha asije badili mawazo huyo
Leo humsingizii Swalehe?Teh leo sipiki
Nakuja na hizi za nyongeZaPamoja mkuu...nyagi ipo pembeni pia
Dear unaniangusha.Hahahahahaha
Acha kuruka vihunzi... Nakusindikiza hata kama hutakiii
HakikaaaShe is now in the bathroom waxing for better and smooth experience hapo baadae baada ya mlo
Hahaha leo mtoko sioTeh leo sipiki
TushasahauMzee baba ya jana ya jana,,
Tusahau yale 4-0
Naangalia mapishi
Hahaha wasiogope...sisi tunachakata siku maalum tuNyie vijana mnajua huu ufundi wa jikoni mnaouweka hapa mnawakatisha tamaa wadada!!! Mtafanya wapunguze kuja kula Love Connect
Mjukuu wangu atakula nini sikukuu yote hiiTeh leo sipiki