Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,320
Lipo tangazo linasema 'ingia mchezoni ujikoki na tIGO' alaf wakati wanasema hivyo kuna wadada wanakuwa wanacheza na kugeuka nyuma kiasi sketi zao zinakuwa zimewaacha wazi kidogo kwa nyuma. Sasa unakuta mpo sebuleni watu wa rika tofauti alaf likirushwa tu vijana wadogo wanakuwa wanarudia hiyo sentensi huku wakicheka...
Sometimes mtu unauchuna lakini kimoyomoyo uanaona aibu...
Kuna na jingine siku hizi linasema
'Konga nyoyo.., twanga kote kote na zantel' dah
Masikini Kiswahili...
Sometimes mtu unauchuna lakini kimoyomoyo uanaona aibu...
Kuna na jingine siku hizi linasema
'Konga nyoyo.., twanga kote kote na zantel' dah
Masikini Kiswahili...