Said Cosmetics
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 2,001
- 1,586
- Thread starter
- #61
Yaaani ni majamga tuhayo majiko sio kabisa, kuna siku nilidhan kuna bomu jikoni limeripuka kenda kucheki kioo cha jiko ndio kime burst
Yaaani ni majamga tuhayo majiko sio kabisa, kuna siku nilidhan kuna bomu jikoni limeripuka kenda kucheki kioo cha jiko ndio kime burst
Ndio kabisaHii ndo sababu maana hata Mimi ilinitokea. Ila hata kioo kikitoka linafanya kazi.
Langu halitumii kibirit mkuuNina Boss la plate mbili la kioo tangu 2017 mwanzoni linadunda mpaka leo.
Kibiriti jino moja tu. Kioo fresh kabisaa
Nimeshaliona mkuu nimeachana naloJaribu kuchunguza kwa pembeni utakuta moto unavuja( hauwakii kwenye buner) unakuwa unachoma kioo kwa chini
Hahahahahha noma sanaMim nilinunua la ivyoivyo ila kampuni ni Aborder, nikalitumia miezi 6 tu oneday ilo likioo likaBusty kama bomu lol nikajua nafwaa, wakasema ni joto ninapopika. Ila sikuwaamin.
Nikampelekea mtaalamu mmoja akalidesign na kuweka bati apo juu akapiga rangi,, hauwezi jua limekuwa jipya na zuri kama limetoka china
Hapana mkuu nilitoa kesh kabisaMkuu au ulikopa maana wale jamaa Wana aina Yao ya uuzaji.
karibu tuleUnapikia nyanya chungu zote hizo unadhan litaacha kupasuka??
Nilinunua jipya kabisa mkuu.Majiko used ndio madhara yake hayo! Nunua jiko jipya
Nitafanya hivyo mkuuMajiko ya vioo yapo Kwa ajili ya show off Tu
Nunua la bati ninalo la nikai ,, Nadunda nalo fresh kbsa
Nikai wanajitaidi sna
Yaaani ni hatariView attachment 2093844
View attachment 2093845
View attachment 2093846
Leo yamenikuta. Ni asubuhi hata jiko halijawashwa nipo napiga Story nikasikia mlipuko ndani kuja kucheck hali ni hiyo
Acha hizo mkuuNiuzie hiyo simu kama ni TACHI SKRINI!
Mimi ni mtumishi kaka nimeajiriwaHELA ULIPATA KIHALALI?
Umenifanya nicheke!Acha hizo mkuu