rejuehan
Member
- Dec 19, 2023
- 10
- 16
Niwaze kama kichaa
Mshahara total kwa mwezi 350,000/-
Chumba: 70,000×6=420,000/=
Ndani kwake
TV inch 50=750,000/-
Show case =120,000/-
Kitanda =300,000/-
Godoro =250,000/-
Jiko la Gas plate 2=140,000/-
Mtungi wa Gas mkubwa =110,000/-
Oven =160,000/- hadi 200,000/-
Pressure COOKER =130,000/-
Jug la Umeme =16,000/-
Ana Dstv =25,000/- per month
Umeme bill =10,000/- per month
Ukiangalia gharama zote hizi Kwa kijana ambaye hana Familia Ni mzigo Mkubwa ambao kamwe kwa Mshahara wake huu Hawezi kujenga.
Vijana wananunua vitu ambavyo hawana Matumizi navyo Kwa show off mfano Kijana bachelor ana jiko la Gas plate mbili, ana pressure COOKER pia ananunua Oven(Misuse of resources)
Mwisho wa siku Utakuta unatumia Zaidi ya Unachokiingiza utazeeka na utaongeza lawama.
Kijana kama huna familia Nunua vitu vya muhimu pekee tu,
Mfano Gas ni Muhimu nunua
Nunua Vyakula ni muhimu
Nunua Maji ya kunywa ni muhimu
Lipa bill ya Umeme ni muhimu
Usijaze Mavyombo Mengi siyo Muhimu
Godoro ni Muhimu nunua
Kitanda ni option
Kabati la nguo Nunua
Kabati la vyombo siyo muhimu saana
Show case siyo Muhimu kwa kijana wa kiume
TV ni option vijana Mechi wengi tunakwenda Bandani na tuna TV ndani
Oven siyo muhimu Kwa kijana wa kiume
Fridge siyo muhimu saana
Bajeti hela yako ukae Sehemu nzuri kuliko kujaza vitu Ambavyo havina Maana Saana ndani.
Mwisho Kila mmoja ana njia zake za Kuishi Ushauri unaweza kuutumia au ukauacha
Mfano mimi niliiga Maisha Ya Mchina Mmoja ambaye ni Boss wa kampuni Kubwa hapa Mjini ,Siku moja nilikwenda Kwake inshort sikuamini nilichokikuta
Hana Familia hivyo Ana Godoro tu la mtu mmoja lakini Godoro ni kama nchi 15 sijui lile
Anapanga kwenye apartment lakini siyo full finished
Ana mito miwili na viti viwili na meza
Alafu Ukutani kaweka TV yake ya nchi 32 hii siyo (kwaajili ya kucheki movie) amefunga Kamera kwajili ya Kuangalia OFISI zake
Ana jiko la Gas plate mbili hapo anakwambia Mtungi unakaa mpaka miezi 6 ule mkubwa.
Nikamwangalia mtu ambaye anaingiza zaidi ya 500M per month ana Maisha simple kiasi kile inakuwaje Sisi makapuku tunaishi kitajiri??
Kwanini Una mshahara wa 350k per month alafu Unaishi kwa bajeti ya 800k?
HIVI VITU WAACHIE WANAWAKE SISI WANAUME TUISHI KWA MALENGO KAMA MABAHARIA.
Mshahara total kwa mwezi 350,000/-
Chumba: 70,000×6=420,000/=
Ndani kwake
TV inch 50=750,000/-
Show case =120,000/-
Kitanda =300,000/-
Godoro =250,000/-
Jiko la Gas plate 2=140,000/-
Mtungi wa Gas mkubwa =110,000/-
Oven =160,000/- hadi 200,000/-
Pressure COOKER =130,000/-
Jug la Umeme =16,000/-
Ana Dstv =25,000/- per month
Umeme bill =10,000/- per month
Ukiangalia gharama zote hizi Kwa kijana ambaye hana Familia Ni mzigo Mkubwa ambao kamwe kwa Mshahara wake huu Hawezi kujenga.
Vijana wananunua vitu ambavyo hawana Matumizi navyo Kwa show off mfano Kijana bachelor ana jiko la Gas plate mbili, ana pressure COOKER pia ananunua Oven(Misuse of resources)
Mwisho wa siku Utakuta unatumia Zaidi ya Unachokiingiza utazeeka na utaongeza lawama.
Kijana kama huna familia Nunua vitu vya muhimu pekee tu,
Mfano Gas ni Muhimu nunua
Nunua Vyakula ni muhimu
Nunua Maji ya kunywa ni muhimu
Lipa bill ya Umeme ni muhimu
Usijaze Mavyombo Mengi siyo Muhimu
Godoro ni Muhimu nunua
Kitanda ni option
Kabati la nguo Nunua
Kabati la vyombo siyo muhimu saana
Show case siyo Muhimu kwa kijana wa kiume
TV ni option vijana Mechi wengi tunakwenda Bandani na tuna TV ndani
Oven siyo muhimu Kwa kijana wa kiume
Fridge siyo muhimu saana
Bajeti hela yako ukae Sehemu nzuri kuliko kujaza vitu Ambavyo havina Maana Saana ndani.
Mwisho Kila mmoja ana njia zake za Kuishi Ushauri unaweza kuutumia au ukauacha
Mfano mimi niliiga Maisha Ya Mchina Mmoja ambaye ni Boss wa kampuni Kubwa hapa Mjini ,Siku moja nilikwenda Kwake inshort sikuamini nilichokikuta
Hana Familia hivyo Ana Godoro tu la mtu mmoja lakini Godoro ni kama nchi 15 sijui lile
Anapanga kwenye apartment lakini siyo full finished
Ana mito miwili na viti viwili na meza
Alafu Ukutani kaweka TV yake ya nchi 32 hii siyo (kwaajili ya kucheki movie) amefunga Kamera kwajili ya Kuangalia OFISI zake
Ana jiko la Gas plate mbili hapo anakwambia Mtungi unakaa mpaka miezi 6 ule mkubwa.
Nikamwangalia mtu ambaye anaingiza zaidi ya 500M per month ana Maisha simple kiasi kile inakuwaje Sisi makapuku tunaishi kitajiri??
Kwanini Una mshahara wa 350k per month alafu Unaishi kwa bajeti ya 800k?
HIVI VITU WAACHIE WANAWAKE SISI WANAUME TUISHI KWA MALENGO KAMA MABAHARIA.