mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,334
- 12,466
Inaelezwa jiji la Dodoma linakabiliwa na uhaba mkubwa wa maji uliopelekea dumu kuuzwa kwa bei ya Tsh 1000 katika mji mkuu huo wa Tanzania
Chanzo: Gazeti la mwananchi kupitia Facebook page yao
Tukutane kwenye comment
Chanzo: Gazeti la mwananchi kupitia Facebook page yao
Tukutane kwenye comment