Jijini Dodoma maji dumu shilingi 1000

Jijini Dodoma maji dumu shilingi 1000

duh!? basi ni changamoto sana mkuu, nlikua na semina last week hapo nkafikia karibu na mjini maeneo yanaitwa kikuyu, changamoto nliyokutana nayo ilikua maji ya chumvi na kupauka.. ila hyo shida nliambiwa ipo sana wilaya ya BAHI. .

wahusika walishughulikie hili.
Mbona chamwino hiyo ni kawaida hata mzee alivyohamia kule si walimwambia tatizo ni maji na umeme
 
Inaelezwa jiji la Dodoma linakabiliwa na uhaba mkubwa wa maji uliopelekea dumu kuuzwa kwa bei ya Tsh 1000 katika mji mkuu huo wa Tanzania

Chanzo: Gazeti la mwananchi kupitia Facebook page yao



Tukutane kwenye comment
Kidumu Chama Cha Majambazi CCM. Dodoma kuweni na jambo lenu 28/10/2020.
 
duh!? basi ni changamoto sana mkuu, nlikua na semina last week hapo nkafikia karibu na mjini maeneo yanaitwa kikuyu, changamoto nliyokutana nayo ilikua maji ya chumvi na kupauka.. ila hyo shida nliambiwa ipo sana wilaya ya BAHI. .

wahusika walishughulikie hili.
Kikuyu inapata maji kila baada ya siku 3 kuna mgawo wa maji jiji zima.
 
Inaelezwa jiji la Dodoma linakabiliwa na uhaba mkubwa wa maji uliopelekea dumu kuuzwa kwa bei ya Tsh 1000 katika mji mkuu huo wa Tanzania

Chanzo: Gazeti la mwananchi kupitia Facebook page yao



Tukutane kwenye comment
Dodoma nmekaa sana pale! Kwakweli maisha ya pale sio rafiki, Maji kwanza ya shida na yana chumvi ile mbaya, kupausha nguo au kupauka wakati umetoka kuoga ni swala la kawaida tu..
........Dodoma bado sana maendeleo ya kijamii afu ndio makao makuu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kidumu Chama Cha Majambazi CCM. Dodoma kuweni na jambo lenu 28/10/2020.
Wagogo wajinga tu, mji umejaa mabango ya CCM hadi kwenye milango yao huku maji wanapata kwa mgawo.

Yani yakitoka eneo lenu leo basi baada ya siku 3 ndio mtayaona tena, watu wa Nkuhungu ndio kwisha kabisa kwao maji ni sawa na uchaguzi mkuu kufanyika kila baada ya 5yrs
 
Maji hadi leo ni tabu nchi hii,tena makao makuu ya nchi

Tumelogwa sisi wabongo
Ukiwauliza sababu DUWASA wanajibu eti kuna ongezeko la watumiaji maji sasa jiulize wakati huu wana vyuo hawapo wakirejea si ndio itakuwa mara moja kila baada ya siku 7
 
Wagogo wajinga tu, mji umejaa mabango ya CCM hadi kwenye milango yao huku maji wanapata kwa mgawo.

Yani yakitoka eneo lenu leo basi baada ya siku 3 ndio mtayaona tena, watu wa Nkuhungu ndio kwisha kabisa kwao maji ni sawa na uchaguzi mkuu kufanyika kila baada ya 5yrs
Kikuyu inapata maji kila baada ya siku 3 kuna mgawo wa maji jiji zima.
Na bado jiwe atapewa kura kwa kisingizio eti maji hamna kwa sababu za ukame ila nchi kama Iraq,saudia na Algeria hawalii shida ya maji kama hapa
 
Dodoma nmekaa sana pale! Kwakweli maisha ya pale sio rafiki, Maji kwanza ya shida na yana chumvi ile mbaya, kupausha nguo au kupauka wakati umetoka kuoga ni swala la kawaida tu..
........Dodoma bado sana maendeleo ya kijamii afu ndio makao makuu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Dodoma panafaa ukiwa na fedha kwa sababu kwa sasa maisha yake ni ghali.

Kwa kazi zetu sisi tunabwia maji ya bombani bila hata kuyachemsha ila sasa hivi kuyapata ni kipengele, inabidi tununue ya litre 12 kwa 4500.

Usafiri wa Dodoma ni kinyaa kama huna gari na unahitaji kukimbizana na hela sikushauri uje maana hutapata daladala watu wanajaa na bado limepaki kama wanaenda mkoa vile wako kimyaaa
 
Back
Top Bottom