Jiji la Mwanza limeizidi Dar es salaam...

sexologist

JF-Expert Member
Dec 5, 2010
2,283
976
Kwa sasa jiji la Mwanza ni zuri kwa mwonekano wa nje na ndani kuliko Dar es salaam.. Ni mahala pazuri sana kwa kuishi na kufanya biashara ni kutokana na kuwepo kwa hali ya hewa murua na miundo mbinu iliyoboreshwa vilivyo.. Hakuna jam kubwa sana barabarani japo magari ni mengi sana.. Mitaa yote inafikika kwa urahisi sana ukiachana na baadhi ya maeneo ya milimani.. Watu wake ni wastaarabu sana na very cooperative sio kama waswahili wa Dar.. full usaniii.. Kifupi mji umepangiliwa vilivyo..

Nawakaribisha wote kuja kutembelea jijini Mwanza. ISHI, WEKEZA na STAREHE.
 
Kwa sasa jiji la Mwanza ni zuri kwa mwonekano wa nje na ndani kuliko Dar es salaam.. Ni mahala pazuri sana kwa kuishi na kufanya biashara ni kutokana na kuwepo kwa hali ya hewa murua na miundo mbinu iliyoboreshwa vilivyo.. Hakuna jam kubwa sana barabarani japo magari ni mengi sana.. Mitaa yote inafikika kwa urahisi sana ukiachana na baadhi ya maeneo ya milimani.. Watu wake ni wastaarabu sana na very cooperative sio kama waswahili wa Dar.. full usaniii.. Kifupi mji umepangiliwa vilivyo..

Nawakaribisha wote kuja kutembelea jijini Mwanza. ISHI, WEKEZA na STAREHE.

unamaanisha jiji la Mwanza ni kubwa lakini bado halijajengwa na kuwa na wakazi wakutosha. Kwa mwaliko huu wahamiaji tukimiminika na kujaza jiji lenu msitufukuze.
 
unamaanisha jiji la Mwanza ni kubwa lakini bado halijajengwa na kuwa na wakazi wakutosha. Kwa mwaliko huu wahamiaji tukimiminika na kujaza jiji lenu msitufukuze.

Ni kubwa na ni zuri sana... Wakazi ni wengi pia... Ila bado tunawakaribisha... Unachokipenda kipo.
 
aisee!
Ujue MOSHI ni kubwa, pazuri kwa mazingira na hali ya hewa, tena kuna nafasi kuliko DAR
Nawakaribisha nyote
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom