Jiji la Mbeya kama kijiji

Jiji la Mbeya kama kijiji

Kwa Tanzania nchi kilaza hakuna sehemu ambayo inaweza sema iko qualified katika muonekano wa majiji
At list katika Africa south Africa lakin wengine wote ni kenge na mta subiri sanaa especially chini ya sahara desert
Mbeya city stand up
 
Mbeya na wenyeji wa Mbeya wamelala FURSA za kmwaga hususani biashara ya hoteli na vyakula lakini ndo hivyo tena. Mpo strategic mno RELI YA TAZARA, SONGWE AIRPORT, LAKE NYASA na mnapakana na MALAWI, ZAMBIA/ZIMBABWE/CONGO DRC na ni mji unaopitiwa na barabara kuu ya kihistoria CAPE to CAIRO. Bado mnambwela mbwela

Watu mnataka kuishi maisha ya facebook humu. Mnajifanya mna akili wakati ni masikini wa akili na mali. Tanzania imejaa fursa kila sehemu, unaitumiaje wewe?
 
Kwa sasa Mbeya inaongoza kwa Maambukizi Mapya ya UKIMWI. Nafikiri hilo ndo wana MBEYA wanalifanya kwa ufanisi mkubwa. Zaidi ni lile la kuanzisha makanisa/madhehebu kila kukicha
Nani kakwambia kipimo cha maendeleo kinaangalia maambukuzi mapya ya UKIMWI? Unajua maambukizi mapya Unguja, Pemba, Lindi na Mtwara yakoje?
 
tatizo la mbeya mzunguko wa pesa ni mdogo ndio maana huwezi linganisha na moshi, arusha na mwanza, hata dodoma tu. labda uwingi wa watu ila kwa uzuri wa jiji hakuna kitu pale. mi nimeishi san apale na nimeolea hukuhuko in short huko ni kwetu, bado tunahitaji mabadiliko makubwa.

Unakosea unapojadili utofauti wa miji negatively - inabidi uwe positive. ni kweli wewe ni mgeni mbeya lazima uone tofauti iliyopo na miji kama mwanza kwa mfano. Mambo uliyoyazungumza sikubaliani nayo yote hasa hili la uchawi ambalo tuliache kwanza.

mwanza nayo haikuwa hivi miaka kama 25 iliyopita - hoteli kumbwa sana za kujivunia ilikuwa Mwanza hotel na kidogo lake hotel. Pamba ilikuwa almost ni guest house ya hali ya juu. hizi hotel ndo ziko comaparable na hizi ulizozitaja za mbeya. na wakati wote wawekezaji wakuu wa mwanza wakitoka Bukoba, Musoma, Shinyanga na Tabora - mzee Makinda RIP, baba yake spika Anne, amabaye alikuwa RC wa Tabora enzi hizo (1970s) aliwasihi waarabu na wahindi wa Tabora kwamba wasisahau kuinvest Tabora na kukimbilia Mwanza. hadi sasa kuna wafanya biashara toka Mbeya wame invest Mwanza.

Investment ya juu na haraka kwa Mwanza imekuja baada ya upandikizaji na uvunaji wa Sangara, uvunaji wa madini ya dhahabu Geita, Kahama, Tabora, Mara nk. Angalia Tanga - ulikuwa ndo mji wa pili kwa Dar shauri ya mkonge na wazungu matajiri wakiwa Lushoto etc - lakini baada ya hapo mji umedorora ingawa kwa mbali unarudi tena. Maana yangu hapa ni kuwa unlike Mbeya Mwanza ina utajiri wa maeneo jirani tajiri ambayo yanakwenda kuinvest kule. Ukija kwenye population Wasukuma tu pekee ni wengi kuliko kabila lolote Tanzania na ni matajiri na watumiaji wazuri, acha wana Kagera, Mara etc

Mbeya imejikaza kuwa katika hali hiyo mbele ya policies ambazo zimewatimua wafanya biashara kadhaa ambao wameelekea Dar, Mwanza na kwingineko. Policies za Mbeya kwa wawekezaji ni HARSH = kwa mfano kuna mtu alitaka kujenga 5-star hotel eneo la gymkana kati ya uwanja wa Sokoine na mbeya peak hotel alipigwa vita tena na viongozi wenyeji wa Mbeya - ubovu wa mji wa Mbeya unaletelezwa na aina ya uongozi walionao. watu wamekalia kula pesa - miaka ile world bank ilikuwa na master plan ya kui modernize the notorious Mwanjelwa - hakuna kilichofanyika imebaki ni the best squatter ya Tanzania!!

hii thread yako inafaa isomwe na viongozi wa Mbeya masikio na macho yazibuke.

Kuhusu uchawi sikubaliani nawe - ukitoka mbeya wanasema pwani wana majini. ukifika pwani ya dar wanasema unguja. ukifika unguja wanasema pemba. pemba wanasema tanga etc.

Well said......about Mbeya.......pale Mwanjelwa ni kama "Kibera No.2", kule maeneo ya Ghana, Soko Matola...yaani dah...ni balaa/vurugu tupu......halafu wanaita Jiji......akina Lole Gwakisa ........vipi tena shemeji zangu....nyie mnapitiliza Tukuyu wala hamjali Mbeya Mjini.....angalieni na ile Tukuyu mnaipeleka vibaya......wasomi nyie lazima muwaweke sawa viongozi wenu...resources mnazo za kutosha na za kutisha......ni suala la planning tu.......na kusimamia utekelezaji wake
 
Last edited by a moderator:
Amina! Mihangaiko yangu yooote nikiritire ni Mwanza. Hali ya hewa nzuri, Mazingira safi, Mji Mtulivu, Watu wastaarabu, Maji ya Kumwaga. Bila kusahau samaki! Mwanza wanapigania maeneo ya wazi yabaki kuwa wazi, bustani za jumuiya zinaendelezwa na zinatunzwa! Nawapongeza sana.

View attachment 162576
View attachment 162577

mkuu, hakuna shida ya maji huko mji mzima.
 
Mtoa mada na vihela vyake vya ubahili anaenda kulala sehemu za hovyo hovyo then analeta hapa mada za uongo mtupu!Hotel za maana zipo Mbeya tena nyingi tu
 
Bukoba kuna hoteli nzuri kuliko Mbeya...bisha?:A S 13:

Hotel gani nzuri Bukoba kuliko Mbeya?Hiyo Walk Guard au ile Victoria?Bukoba kutoka Kitendaguro hadi kule Izimbya huwezi ifananisha na Mbeya!
 
Umepanic sana...watu wa mbeya bado washamba sana na mambo ya majiji

Mbona unatutusi bila sababu?

Jamaa huyu kafika hoteli za bei chee anakuja lalamika hapa!Kuna hotel nzuri sana Mbeya ni hela yako tu
 
Hill View au Utengule ni hotel nzuri mno!Sasa yy ana buku 5 za bajeti ya kulala unategemea apelekwe hoteli gani Kigogo ?
 
Last edited by a moderator:
kiukweli mbeya bado sana kwa mara ya kwanza kufika mbeya nilikaa ilomba nikawauliza wenyeji mjini mbali sana wakasema hapa ndio town nilijinyamazia mbeya mipangomiji ni vurugu tupu ,Tanga wamesaidiwa na mji kupangika lakini nako hamna kitu kweli Moshi kuzuri
 
Back
Top Bottom