AfricaUnited
JF-Expert Member
- Jul 31, 2010
- 2,416
- 1,386
Hakufika huko huyo. Hill view nimelala recently, huduma zake kama za hoteli kubea za Dar. Lkn pia Soweto na Sae kuna hoteli nzuri za viwango. Why Mbeya Hotel?
mbeya hotel kama nakumbuka ipo sambamba na uwanja wa sokoine na bank ya crdb..mbona ile hotel ya zamani sana.au alijua ipo hiyo tu.zipo hotel nzuri sana tu..labda mtoa maada alitaka aione benjamini mkapa tower,ppf,bot,azione mbeya wakati akiwa huku tu anaishia maisha club