Jiji la Mbeya kama kijiji

Jiji la Mbeya kama kijiji

Hakufika huko huyo. Hill view nimelala recently, huduma zake kama za hoteli kubea za Dar. Lkn pia Soweto na Sae kuna hoteli nzuri za viwango. Why Mbeya Hotel?

mbeya hotel kama nakumbuka ipo sambamba na uwanja wa sokoine na bank ya crdb..mbona ile hotel ya zamani sana.au alijua ipo hiyo tu.zipo hotel nzuri sana tu..labda mtoa maada alitaka aione benjamini mkapa tower,ppf,bot,azione mbeya wakati akiwa huku tu anaishia maisha club
 
Mbeya ni mji wa kipuuz kama alivyosema mtoa mada. wao wanapenda sifa za kijinga tu lakini opportunities zipo ukizingatia upo njia panda ya MALAWI, ZAMBIA/ZIMBABWE/CONGO DR lakin kinachoiangusha mbeya ni UCHAWI narudia tena UCHAWI halafu ukiwakuta jumapili wanajazana makanisani utafikiri kweli wacha Mungu kumbe sanaa tu.
hivi mkuu kweli mbeya yetu imejaa wachawi?
 
Last edited by a moderator:
andreakalima,
Kaka unajua vigezo vya mji kuwa jiji au unafikiria tu Mabugando,hebu niambie kama umefika Mwanza au Arusha wapi utapata migahawa ambayo ina vyakula tofauti na hivi vya kawaida zaidi ya mahotelini,na kama uchawi nafikiri umesahau mikoa inayosifiwa kwa uchawi.Nina wasiwasi pia na hizo hotel ulizozitaja kama kweli ulila,si ajabu uliishia kuulizia bei ya vyumba na kusema nitakuja kesho.
 
mbeya hotel kama nakumbuka ipo sambamba na uwanja wa sokoine na bank ya crdb..mbona ile hotel ya zamani sana.au alijua ipo hiyo tu.zipo hotel nzuri sana tu..labda mtoa maada alitaka aione benjamini mkapa tower,ppf,bot,azione mbeya wakati akiwa huku tu anaishia maisha club

Mbeya kuna ''akasenyenda''matetemeko ya mara kwa mara na kama kujenga Mabungando kunatakiwa utaalamu wa hali ya juu wa ujenzi,pia jamani ni majuzi tu Mbeya imekuwa jiji sasa sijui huyo mtoa mada sijui anataka nini au aliwakosa wale ''Kona bar''
 
sikku ya kwanza kufika mbeya sikuamini macho yangu mji ulivyo wa hovyo
 
Kuna mtu kaniambia kuwa cku izi barabara za mitaan zinaanza kuwekwa lami. huu mji ulipewa hadhi ya jiji kisiasa manake barabara ilikuwa moja tu ya lami inakatiza mjini. kwa kifupi hadi sasa mwanza peke yake ndo inastahili kuwa jiji after dar, Arusha kwa mbaali ila tanga na mbeya mmmmmh!
 
Kuna mtu kaniambia kuwa cku izi barabara za mitaan zinaanza kuwekwa lami. huu mji ulipewa hadhi ya jiji kisiasa manake barabara ilikuwa moja tu ya lami inakatiza mjini. kwa kifupi hadi sasa mwanza peke yake ndo inastahili kuwa jiji after dar, Arusha kwa mbaali ila tanga na mbeya mmmmmh!

Amina! Mihangaiko yangu yooote nikiritire ni Mwanza. Hali ya hewa nzuri, Mazingira safi, Mji Mtulivu, Watu wastaarabu, Maji ya Kumwaga. Bila kusahau samaki! Mwanza wanapigania maeneo ya wazi yabaki kuwa wazi, bustani za jumuiya zinaendelezwa na zinatunzwa! Nawapongeza sana.

775283_589628321054451_1222958923_o.jpg
1277351_717462848270997_564078626_o.jpg
 
Amina! Mihangaiko yangu yooote nikiritire ni Mwanza. Hali ya hewa nzuri, Mazingira safi, Mji Mtulivu, Watu wastaarabu, Maji ya Kumwaga. Bila kusahau samaki! Mwanza wanapigania maeneo ya wazi yabaki kuwa wazi, bustani za jumuiya zinaendelezwa na zinatunzwa! Nawapongeza sana.

View attachment 162576
View attachment 162577

Tazama mazingira yalivyo mazuri, angalia watu walivyo huru!...I'm jealous!
 
watu wengine sijui bang unaweza ukawa unaponda halafu kwenu nyumba ya makuti kuhusu uchawi basi nawe ni mchawi coz mchawi anamjua mchawi mwenzake
 
TZ yote ni hovyo hovyo 2 jiji linalostahili kuitwa jiji ni Dar (japo linaongoza kwa uchafu na uovyo duniani)Mwanza inafuata japo kwa mbali sana A town ya 3 iko nafuu kidogo Mbeya ya 4 ila inasafari ndefu kuwa jiji vunja mbavu iko kwa Tanga eti lalo ni jiji si afadhali ya Dodoma. Ila nawasifu wenyeji wa Mbeya J.pili wakitoka kanisani Guest zote vyumba vimejaa (kama ww ni mgeni unataka chumba mida saa 3.....4......5........6........7 siku ya j.2 jiandae kukosa mida hiyo wanajitahidi sana kwa mambo ya chini ila uchawi sijui)
 
Umenifurahsha sana na hizi picha. kwa kweli nimepata mvuto wa kurudi mwanza manake nimekaa huko 1993-1995. I miss that city kwa kweli
 
Nimecheka sana nilivyosoma hii post! Hasa ulivyoizungumzia tanga ambayo inanihusu. Kwa kweli nakuunga mkono kuhusu dodoma kuizidi tanga, alafu mbaya zaidi watu wa tanga hawafanyi kazi, yaani mji hauna mishemishe kabisaaaa
 
Ebu fafanua, mbeya inaongoza kwa pato la taifa ikilinganishwa na miji ya nyanda za juu kusini au? Be realistic plz
 
Mbeya kuna ''akasenyenda''matetemeko ya mara kwa mara na kama kujenga Mabungando kunatakiwa utaalamu wa hali ya juu wa ujenzi,pia jamani ni majuzi tu Mbeya imekuwa jiji sasa sijui huyo mtoa mada sijui anataka nini au aliwakosa wale ''Kona bar''

Aliwakosa wa cona bar...we jiji hata halijakuwa anafananisha namajiji ya muda. Hata Mwanza haikuwa hivyo....
 
kuitwa jiji ndio inakuuma mbona kuna mambo meng yakipuuzi yakuitoa hadhi ya jiji....badilika kwa kutoa changamoto nini kifanyike nasio kukashifu na kudharau ... Ukitaka kujenga lazima ubomoekidogo lakni wewe umekuja na greda ..kabisa
 
Mbeya kwa namna yoyote ni mji wa kijinga (ovyo sana) wakina EMBE, OSHA ndo walilazimisha liwe jiji na kulazimisha ule uwanja na kuuita wa kimataifa wakati hakuna ndege za kimataifa zinatua pale.Yaani wanyakyusa ( Naloli Naloli x 2) ni shidaaaaaa......
 
sijui ni vigezo gani vinatumika kuupandisha mji kuwa jiji lakini kwa Mbeya na Tanga TAMISEMI walichemsha, hii miji inashindwa hata na mji wa Dodoma kwa kweli...kipindi cha Pasaka nilikuwa Dodoma yaani pale pako bize sana na mzunguuko wa pesa ni mkubwa labda kutokana na shughuli iliyonipeleka pale sijui kwa seckta zingine...pale Arusha napo ni padogo mno yaani kamji kamejibana sehemu moja tuu, ukiitembea mwendo wa kilometa 5 tuu upo nje ya mji....Mwanza ni nyumbani naomba nitoe pongezi kwa Wasukuma wenzangu mlioamua kubaki na kuuendeleza mji, ndiyo sehemu pekee ambayo nikiwa nje ya Dar bado najiona nipo mjini nikiwa Mwanza, ni pazuri sana.
 
Hotel ungeenda Green View mkuu ipo uzunguni ni standard na iko poa. Then mji kupewa sifa ya kuwa jiji hawaangalii mazingira tuu peke yake. Kuna ishu kama wingi wa watu na hiyo ndio sifa kubwa ya jiji la mbeya.

Kweli mji kuwa jiji kuna factor nyingi zinaangaliwa si kuwa na hotel nyingi au nzuri sana, moja ya factor ni upatikanaji wa hudumu za kijamii kwa wingi kama hospital kubwa,shule e.t.c pia mzunguko wa pesa, idadi ya watu e.t.c vigezo hivyo vyote mbeya vipo.
 
Back
Top Bottom