Jiji la Mbeya kama kijiji

Jiji la Mbeya kama kijiji

Uliyeanzisha mjadala huu ni mwongo. Inaonekna hujawahi kufiaka Mbeya. Mbeya ni mji wa kistaarabu tu.
 
Watu wamezoea joto sasa wamepigwa na baridi la mbeya mashetani yameamka wanaanza kuiponda mbeya ha ha ha daah stil nakukumbuka green city mitaa ya iyunga tech pale
 
Tanga ndo mahali pa kuishi umepangwa ukapangika mjini safiii mitaa imepangwa viziri aah I like this city

Ha ha ha kweli kabisa njoo raskazone kisha sahare pitikiza mpaka nguvumali kisha kange ila usiende mwahako
 
Si bure huyu mleta mada atakuwa ni wa lile kabila la "misifaz" ambao mkoa wao hauendani na status zao hapa mjini
 
Mleta post jiji la Tanga lingekufaa sana. Kama ni hotel, huku ni wewe tu. Zipo nyingine fukweni ambazo hutazipata Mbeya. Hakuna
Jam barabara zipo nyingi sana, kama ww ni mpenzi wa mambo yaleee huku ndo kwake ( ulikuja uzi humu kwamba wanawake wa Mbeya wana sura ngumu). Tanga raha jama.
 
Ha ha ha kweli kabisa njoo raskazone kisha sahare pitikiza mpaka nguvumali kisha kange ila usiende mwahako
Hahahaha mkuu umenichekesha sana. Ni nimepata bahati ya kuishi kwenye majiji yote matano ila kati ya yoote, Tanga ndo nzuri. Nadhani uwepo wa wajerumani ulisaidia. Ukipiga Picha za Google utadhani draft pale mjini.Napenda beach, hotels ( mfano Tanga beach resort, Nyumbani hotel, Mkonge, Silvarado villa,Nyinda classic, Naivera n.k. ukarimu wa wakazi wa tanga. Aah tanga kuzuri.
 
Aisee vyovyote usemavyo mtoa mada huniambii kitu, npo dar na nimezunguka sehemu nyng sana lkn bado nakupenda sana kwetu, acheni muongee mtanyamaza wenyewe, I love green city!
 
Huwa najiuliza sipati picha. eti town center Mbeya ni Mwanjelwa pale Mafiati au ni kule Soko matola ?
Kitu nilichoona Mbeya ni kwamba ukitongoza ukikataliwa hata aawe mke wa mtu hata kama huna pesa ilimradi umekataliwa karoge. Mwanamke wa Mbeya hajui no. wala hatoi ahadi ya kesho. unaomba mzigo unapewa now now.
Zaidi ya wanawake na vumbi sijaona kingine cha kufurahisha Mbeya.
 
Sipapendi mbeya,yani bila haka kaajira ningesharudi home,yani pa kilocal sana.
Wenyewe wanalima lakini bidhaa bei zake afadhali ya dar,huku life bovu yan nikipata transfer tu sirudi ng'oo
 
Sipapendi mbeya,yani bila haka kaajira ningesharudi home,yani pa kilocal sana.
Wenyewe wanalima lakini bidhaa bei zake afadhali ya dar,huku life bovu yan nikipata transfer tu sirudi ng'oo

Unafanyia kazi wapi mkuu ?
 
Hahahaha mkuu umenichekesha sana. Ni nimepata bahati ya kuishi kwenye majiji yote matano ila kati ya yoote, Tanga ndo nzuri. Nadhani uwepo wa wajerumani ulisaidia. Ukipiga Picha za Google utadhani draft pale mjini.Napenda beach, hotels ( mfano Tanga beach resort, Nyumbani hotel, Mkonge, Silvarado villa,Nyinda classic, Naivera n.k. ukarimu wa wakazi wa tanga. Aah tanga kuzuri.

kweli mkuu tanga pazuri sana maisha rahisi mandhari ya mji nzuri,beach za kumwaga,hoteli ndo hzo,watoto wazuri ndo usiseme kweli tanga raha
 
Huyu jamaa ni mwongo sana..........in contrast

2.jpg


DSCN0261_thumb%25255B4%25255D.jpg


DSC00594.jpg


DSC00581.jpg
 
Mie ndio maana napapenda Sikonge, Tabora , na Shinyanga, maana huko kumeendelea sana!!!
 
Sio uanze na kuilaumu serikali yako inayong'ang'ana kuipendezesha Dar na kusahau vipande vingine vya Tanzania?

Mimi nafikiri ili mtoa mada uongeze uelewa wako, zunguka Tanzania nzima halafu uje na analysis ya status ya nchi yetu, sio unakaa Dar tu ukaishia kuisifu yenyewe kama hadithi ya kipofu na punda...
 
Back
Top Bottom