AfricaUnited
JF-Expert Member
- Jul 31, 2010
- 2,416
- 1,386
juzi tulikuwa na mada hii kwenye daladala pale mbeya....kiukweli ni hamna kitu, new york iitwe eti mbeya nayo inaitwa city!!
sasa umeongea nini sijakyelewa vizuri
juzi tulikuwa na mada hii kwenye daladala pale mbeya....kiukweli ni hamna kitu, new york iitwe eti mbeya nayo inaitwa city!!
juzi tulikuwa na mada hii kwenye daladala pale mbeya....kiukweli ni hamna kitu, New York iitwe eti Mbeya nayo inaitwa City!!
MBEYA ni ya ovyo kutokana na watu wake kuendekeza UCHAWI yaani kama wewe si mtu wa Mbeya au mwarabu wa sumbawanga ukijidai unawekeza mbeya lazima wakupge juju
Hii ni changamoto kwa wana MBEYA mna fursa nyingi sana, ukizingatia mmepakana na nchi jirani (Zisizo na bandari) nyingi kuliko mkoa wowote Tanzania, mna ardhi yenye rutuba, ziwa nyasa, sasa uwanja wa Ndege lakin mmeendekeza uchawi, ngono & sifa za kijinga. BADILIKENI vinginevyo WACHAGA wakija kukamata fursa msilalamike.
Kwa sasa Mbeya inaongoza kwa Maambukizi Mapya ya UKIMWI. Nafikiri hilo ndo wana MBEYA wanalifanya kwa ufanisi mkubwa. Zaidi ni lile la kuanzisha makanisa/madhehebu kila kukicha
juzi tulikuwa na mada hii kwenye daladala pale mbeya....kiukweli ni hamna kitu, New York iitwe eti Mbeya nayo inaitwa City!!
Aksante Kajembe kwa kumpa shule huyo kijana...maana baadae angeshangaa pia how come Obama aitwe Rais na Kikwete nae aitwe Rais..Du Marekani itwe nchi Tanzania nayo itwe nchi! ndiyo statement yako iko sawa na hii.Ki ujumla ignorance ndiyo inakusumbua huelewi unachosema,kwa akili yako unavyo nadhania hata Dar lisingeitwa jiji! sijui kama umewahi hata kwenda nchi yeyote iliyoendelea na kama ungewahi na ukawa mtu mwenye ulewa kwa maana ya kwamba ulewa wa kawaida tu usingeweza kutoa mawazo hayo uliyoandika!ni sababu ya ujinga tu kwakweli.
Aksante Kajembe kwa kumpa shule huyo kijana...maana baadae angeshangaa pia how come Obama aitwe Rais na Kikwete nae aitwe Rais..
mwongo mkubwa huyo /mkuu huyo ana maanisha kinyume labda kwaohivi mkuu kweli mbeya yetu imejaa wachawi?
Ndio lipo ila kazidisha uongolakini Mkuu, lisemwalo lipo!
Ukisikia jiji la mbeya utafikiri bonge la jiji kumbe upuuzi mtupu. sasa hapa kati nilipata safari ya mbeya nikakwepa fastjet ile kutua kwa kweli uwanja wa songwe ni mzuri kiasi (pengine kwa sababu ya upya) sasa tukapanda shuttle kwenda mjini 10,000/= (bei ya kulangua) nikafika hoteli ambayo ndio wanaisifia ni classic (Mbeya hotel) duuh ni kama nyumba ya makumbusho nikamuambia dereva nipeleke nyingine tukaenda Paradise Hotel (nayo ya kipuuzi pia) nikaenda nyingine (GR City) daah ndo nikajua kumbe zile sifa za wanyakyusa hapo Dar kwao hamna lolote sasa sehemu ya kula ndo ishu yaani labda uende CITY PUB hakuna sehemu nzuri ya kupata varieties.
Poor Mbeya inastahili kuitwa KIJIJI CHA MBEYA si JIJI LA MBEYA mmekalia UCHAWI tu.
Mbeya VIGAGULA sana ndo maana watu wanaogopa kuwekeza huko. Pamoja na fursa nyingi zilizopo. Mi nilishawahi kuwa na mchumba wa huko basi siku moja amekuja kulala kwangu ile ameenda kuoga nikamkuta na hirizi kuipasua nakuta amefungia maneno ya kiarabu na ameandika jina langu na neno NDOA. liporudi kumuuliza anakataa kuwa HIRIZI si yake. Yaan hata hamu ya sex ikaisha ghafla na ndio Ilikuwa mwisho
Na kama halipo lingoje linakuja!!! Mcn u ww mtu
missing too charty!... karibu mbeya bwana tulime mpunga!
kama waja kutafuta maghorofa ya kariakoo hapa songwe, itakula kwako!