Jiji la Mbeya kama kijiji

Jiji la Mbeya kama kijiji

tatizo la mbeya mzunguko wa pesa ni mdogo ndio maana huwezi linganisha na moshi, arusha na mwanza, hata dodoma tu. labda uwingi wa watu ila kwa uzuri wa jiji hakuna kitu pale. mi nimeishi san apale na nimeolea hukuhuko in short huko ni kwetu, bado tunahitaji mabadiliko makubwa.

Mkuu AZUSA STREET, hiyo mikoa ya Arusha na Kilimanjaro unaisikia tu...tuulize tunaoishi huko. Sasa wakati wewe unaisifia hiyo, haipo hata kwenye top 5 za mikoa inayoongoza kwa mapato TZ (GDP) . Sasa sijui umetumia vigezo gani kusema mzunguko wa pesa Mbeya ni mdogo...Mwanza. Arusha could be the Safari capital of the country, what with the world renowned Ngorongoro, the magnificent Serengeti and several other national parks and cool climate, but it ranks low in the economic ladder of the country far behind Mbeya , Shinyanga, Iringa and Morogoro, according to Bank of Tanzania's latest statistics.

Likewise Lindi Region could sit on a mountain of billions of cubic feet of proven natural gas resources, but it is the second poorest region in Tanzania mainland after the Coast region, statistics show. The report which indicates economic strength of administrative regions in Tanzania mainland for 2012 shows Arusha is the 7th richest region in Tanzania with a gross domestic product (GDP) of Sh2.1 trillion ($1.3 billion), followed by Tanga (Sh2.09 trillion) and Kilimanjaro (Sh2.03 trillion).
 
Tatizo kubwa sana tulilo nalo ni la wasomi wetu. Wanapoajiriwa huko serikalini hususani jiji, manispaa, na halmashauri hawatumii ile elimu waliyofundishwa kupanga majiji na miji na hata halmashauri.
Kwa ujuzi wa wataalamu kwanza wanaaangalia zile sehemu ambazo hazijaendelezwa na zilizoendelezwa. Wanaamua sehemu fulani iwe kwa ajili ya shughuli fulani halafu wapimaji wa ardhi wanapima maeneo hayo na yapewe wananchi walio tayari kuendeleza kile kilichopangwa na si vinginevyo!

Mji wa Mbeya wnagepanga mji mkongwe ambayo ni sehemu ambayo iliendelezwa toka zamani, maeneo mapya na watenge barabara za upana tofauti tofauti. Pia maeneo ya shughuli za kiserikali kama shule, mahakama, polisi, hospitali, stendi kubwa nk. Watenge sehemu za maji machafu, dampo etc. Watenge sehemu za kutosha za wazi kuwekwe bustani. Watenge sehemu za kuabudia na makaburi. Vilevile kuwe na maeneo maalumu ya kujenga nyumba za ghorofa!
Tatizo linakuja sasa wanasiasa wanaingilia kati wanaharibu mpango mzima kwa kulazimisha kitu fulani kiwekwe mahali pasipotakiwa!
 
MAKAH,

Mie nimezaliwa Mbeya na kukulia huko. Nakubaliana nawe mkuu, upo sahihi kabisa hasa suala la wafanyabiashara kukimbilia mikoa mingine ni kweli kabisa. Wafanyabiashara wengi wamehama huu mkoa kwa sababu ya mazingira magumu ya kibiashara yanayosababishwa na viongozi wa mkoa huu. Pia wengine walifikia hata hatua ya kujiua kama yule mfanyabiashara aliyejulikana kwa jina la mgeni maarufu kama Milamo.
 
Mie ndo maana napapenda Sikonge, Tabora , na Shinyanga,maana huko kumeendelea sana!!!

chakula-cha-mwera-zanzibar.jpg
 
tatizo la mbeya mzunguko wa pesa ni mdogo ndio maana huwezi linganisha na moshi, arusha na mwanza, hata dodoma tu. labda uwingi wa watu ila kwa uzuri wa jiji hakuna kitu pale. mi nimeishi san apale na nimeolea hukuhuko in short huko ni kwetu, bado tunahitaji mabadiliko makubwa.

WEWE NI ECONOMIST?AU UNACHOKIONGEA UMEKITOA WAPI...NO RESEARCH NO COMMENT....
Dar es Salaam is definitely the riches region with a
GDP of Sh7.5 trillion, followed by Mwanza (Sh4.09
trillion) and Mbeya (Sh3.2 trillion). Tanzania
mainland has a GDP of Sh44.7 trillion, according
to the BoT.
USIRUDIE TENDA...DAR..MBEYA NA MWANZA NDIO INAONGOZA KWA PATO NA MZUNGUKO WA PESA..
 
WEWE NI ECONOMIST?AU UNACHOKIONGEA UMEKITOA WAPI...NO RESEARCH NO COMMENT....
Dar es Salaam is definitely the riches region with a
GDP of Sh7.5 trillion, followed by Mwanza (Sh4.09
trillion) and Mbeya (Sh3.2 trillion). Tanzania
mainland has a GDP of Sh44.7 trillion, according
to the BoT.
USIRUDIE TENDA...DAR..MBEYA NA MWANZA NDIO INAONGOZA KWA PATO NA MZUNGUKO WA PESA..

Nimegundua kwamba kumbe humu tuna bishana na watu vihiyo! hizo fact za kitaaluma hawazijui wala haelewi wao wanaangalia kwa macho na bahati mbaya aende kipindi cha upepo ndiyo utaona wanavyotukana utadhani wametoea Marekani na siyo Tanzania! Mbeya kipato chake kiko juu nyie semeni lakini ukweli ndiyo huo,fact za kisomi hizo asiye taka aache abaki na ujinga wake!
 
WEWE NI ECONOMIST?AU UNACHOKIONGEA UMEKITOA WAPI...NO RESEARCH NO COMMENT....
Dar es Salaam is definitely the riches region with a
GDP of Sh7.5 trillion, followed by Mwanza (Sh4.09
trillion) and Mbeya (Sh3.2 trillion). Tanzania
mainland has a GDP of Sh44.7 trillion, according
to the BoT.
USIRUDIE TENDA...DAR..MBEYA NA MWANZA NDIO INAONGOZA KWA PATO NA MZUNGUKO WA PESA..

Huyo AZUSA angalia tu argument yake utajua ni mweupe kichwani,anazungumzia uzuri kwa kuangalia na macho yake na kisha ana conclude mzunguko wa pesa! kazi ipo
 
Hahahaha mkuu umenichekesha sana. Ni nimepata bahati ya kuishi kwenye majiji yote matano ila kati ya yoote, Tanga ndo nzuri. Nadhani uwepo wa wajerumani ulisaidia. Ukipiga Picha za Google utadhani draft pale mjini.Napenda beach, hotels ( mfano Tanga beach resort, Nyumbani hotel, Mkonge, Silvarado villa,Nyinda classic, Naivera n.k. ukarimu wa wakazi wa tanga. Aah tanga kuzuri.

Tanga ni jiji la 3 toka mwisho kuchangia pato la Taifa;kwa kifupi Tanga ni mkoa wa 3 toka mwisho kwa umaskini Tanzania!Ni aibu mno kuifananisha Tanga na Mbeya!

Mbeya tunashindana na Kilimanjaro,Dar,Mwanza na Kagera SIO na Tanga!!
 
Ukisikia jiji la mbeya utafikiri bonge la jiji kumbe upuuzi mtupu. sasa hapa kati nilipata safari ya mbeya nikakwepa fastjet ile kutua kwa kweli uwanja wa songwe ni mzuri kiasi (pengine kwa sababu ya upya) sasa tukapanda shuttle kwenda mjini 10,000/= (bei ya kulangua) nikafika hoteli ambayo ndio wanaisifia ni classic (Mbeya hotel) duuh ni kama nyumba ya makumbusho nikamuambia dereva nipeleke nyingine tukaenda Paradise Hotel (nayo ya kipuuzi pia) nikaenda nyingine (GR City) daah ndo nikajua kumbe zile sifa za wanyakyusa hapo Dar kwao hamna lolote sasa sehemu ya kula ndo ishu yaani labda uende CITY PUB hakuna sehemu nzuri ya kupata varieties.

Poor Mbeya inastahili kuitwa KIJIJI CHA MBEYA si JIJI LA MBEYA mmekalia UCHAWI tu.
Ha ha ha !!!
Hebu muambie Sugu apabadilishe!
Siyo bure kuwa Mbeya ni Kijiji kikubwa, NSSF, PSPF na hata GEPF na mashirika yote yanapakwepa, sijui kwa maagizo ya nani.
Barabara za michepuko hazijengwi na hata barabara za kuunganisha Mbeya na sehemu nyingine ndo imekumbukwa sasa(kwenda Chunya) tangu Uhuru.
Nenda Ileje, hakuna barabara iliyojengwa baada ya uhuru,zunguka Tukuyu kuingia Mwakaleli, na Lwangwa, Masoko hakuna uhuru miaka 50 sasa.

Mbeya ni mkoa nadhani unachukiwa na viongozi wengi.
Nenda Machame(barabara mbili), Marangu, Old Moshi, hata kwenda Rombo barabara hadi kijijini.
Nenda Mwanza , vitega uchumi vya NSSF na vyengine vya umma vinasshindana kuwekeza, Mbeya,zero.

Hata huo uwanja wa ndege umejengwa kwa mbinde, kwa miaka 10 ili kumkomoa Mwandosya.

Hoteli zote zilizojengwa Mbeya ni juhudi binafsi za wakaazi wake, na kwa kuchukia hilo ndo maana wakazi wake walimchagua Sugu as a protest against CCM kwa kuibagua sana Mbeya.
 
Tanga ni jiji la 3 toka mwisho kuchangia pato la Taifa;kwa kifupi Tanga ni mkoa wa 3 toka mwisho kwa umaskini Tanzania!Ni aibu mno kuifananisha Tanga na Mbeya!

Mbeya tunashindana na Kilimanjaro,Dar,Mwanza na Kagera SIO na Tanga!!

mkuu nakubaliana na wewe Tanga ndio mkoa unaoongoza kwa umaskini
 
masopakyindi,

Income per Capita?Kwa nn takwimu zinaonyesha kama Mbeya inachangia sana uchumi wa TZ kama hatuna infrastuctures?Wewe umeenda Mbeya ipi isiyo na barabara nzuri katikati ya mji?Why una pick tu Ileje lkn husemi barabara nzuri toka Uyole to Rungwe then Rungwe to Kyela?

Then kwenye barabara nzuri za Kilimanjaro why umechagua tu wilaya zenye barabara nzuri?Umewahi kwenda Same au Siha kuona barabara zao?Barabara za Same utafananisha na barabara za Rungwe?Acha bias bana!Mbeya unachagua wilaya zenye barabara mbovu lkn Kilimanjaro unachagua wilaya zenye barabara nzuri!
 
Unasema hakuna hata viwanja labda kidogo City Pub...ulifika na viwanja kama Green Lounge? Kwa sisi wazee wazoefu wa transit za Mikoa ya Kusini, mimi hata ukiniambia nilale ikulu halafu viwanja vizuri hakuna ni bure tu, mimi muda wa kulala huwa ni mdogo mno kuliko muda wa kutembelea viwanja kama BABIES, MBEYA CARNIVALS..., GREEN LOUNGE nk...

Naona mleta uzi hobi yake ni kulala kwenye chumba kama sebule, ama kweli kila mtu na ulevi wake...
 
Income per Capita?Kwa nn takwimu zinaonyesha kama Mbeya inachangia sana uchumi wa TZ kama hatuna infrastuctures?Wewe umeenda Mbeya ipi isiyo na barabara nzuri katikati ya mji?Why una pick tu Ileje lkn husemi barabara nzuri toka Uyole to Rungwe then Rungwe to Kyela?

Then kwenye barabara nzuri za Kilimanjaro why umechagua tu wilaya zenye barabara nzuri?Umewahi kwenda Same au Siha kuona barabara zao?Barabara za Same utafananisha na barabara za Rungwe?Acha bias bana!Mbeya unachagua wilaya zenye barabara mbovu lkn Kilimanjaro unachagua wilaya zenye barabara nzuri!
Hizo barabara alijenga Nyerere baada ya Uhuru na hakuna ongezeko katika district roads.
Na una semaje juu ya uwekezaji wa NSSF , PSPF na wengine , Mwanza Arusha na Moshi wanashindana kujenga huko.
Niambie na hiyo si bias?
 
Unasema hakuna hata viwanja labda kidogo City Pub...ulifika na viwanja kama Green Lounge? Kwa sisi wazee wazoefu wa transit za Mikoa ya Kusini, mimi hata ukiniambia nilale ikulu halafu viwanja vizuri hakuna ni bure tu, mimi muda wa kulala huwa ni mdogo mno kuliko muda wa kutembelea viwanja kama BABIES, MBEYA CARNIVALS..., GREEN LOUNGE nk...

Naona mleta uzi hobi yake ni kulala kwenye chumba kama sebule, ama kweli kila mtu na ulevi wake...

Mleta mada kafika Mbeya na elfu 12 zilzobaki sasa anataka akalale Hill View kwa kahela kake hako?No ways!Hela ndogo utalala sehemu ya kawaida!!
 
Hizo barabara alijenga Nyerere baada ya Uhuru na hakuna ongezeko katika district roads.
Na una semaje juu ya uwekezaji wa NSSF , PSPF na wengine , Mwanza Arusha na Moshi wanashindana kujenga huko.
Niambie na hiyo si bias?

Kwa hiyo kama hamna NSSF,PSPF na wengineo ndiyo HAMNA maendeleo?Mwanza na Moshi ambao hao NSSF wanajenga wanaishinda Mbeya nn?Labda ndiyo tuanzie hapo!!
 
Back
Top Bottom