Kwan mbeya sehem gan mbov
Zipo sehemu zinazofanana na mbeya lakini mbeya itasubiri sana kwa arusha...Jaman majiji yote kama yana fanana tuuu sema mamb madogo madogo tuu Kwan arusha hakuna sehem inayo fanana na mbeya
Mkuu hotel za hiyo mikoa uliyotaja especially arusha nyingi ni za watu binafsi tena wengi wakiwa ni watz serikali haihusiki ktk uwekezaji wa hotel maeneo hayoUkienda Arusha, Moshi,Mwanza hotels huko ni 1st Class.
Serikali iligoma kuwekeza Mbeya.
Sijui pengine Magufuli.
Hoteli zote zilizopo Mbeya ni up graded Guest Houses.
Serikali inote hilo.
kwanza hotel gani kubwa inamilikiwa na serikali?Mkuu hotel za hiyo mikoa uliyotaja especially arusha nyingi ni za watu binafsi tena wengi wakiwa ni watz serikali haihusiki ktk uwekezaji wa hotel maeneo hayo
Sijawahi kuona hiyo kituk
wanza hotel gani kubwa inamilikiwa na serikali?
Hahahahahaha...mkuu naon unatafuta kesi...Mbeya kijiji cha walozi
WANAOSIFU MBEYA HAWAJATEMBEA MBEYA NI SAWA NA KIJIJI KIKUBWA TUDar yenyewe mnaoisifia squatter tu