Jiji la Mbeya kama kijiji

Jiji la Mbeya kama kijiji

Jiji gani lisilo hata na shopping mall hata moja. Magari yaliyojaa mbeya ni vitz, passo, raumu ipsym nk. nimekaa mbeya zaidi ya mwaka sasa na bado nipo mbeya sijawahi hata kuiona range rover avoque. Matajiri wakubwa wanatembelea passo. Kwa kifupi mbeya huwezi kulinganisha na mwanza wala Arusha. Uwanja wa ndege mwanza kwa siku zinatua ndege zaidi ya 6 kubwa Arusha the same. Mbeya ni fast jet tu siku nyingine route moja siku nyingine 2


Starehe ni chaguo la mtu anapenda kipi wema sepetu ana vogeu kwani nae ni tajiri? Wengine sio hob yao hivo vitu
Arusha utuaji wa ndege utalii unahusika mbeya hamna hata bandar unatafuta utuaji wa ndege
 
Mount meru hotel formerly it was owned by the government through Tanzania hotel investment firm kabla ya kuwa privatized 2005...sa sahv haimilikiw na serikali na n mount meru yenye mwonekan mpya sio hyo ya zaman chini ya watu bnafsi na si serikali
Besting round the bush for lack of an informed mind!
Keep googling!
 
Tokea uzaliwe ushawah kusikia mji flani umefanana na mji flani huu utoto sasa.
 
Mbeya njooni Bukoba mjifunze

miji yote ina mapungufu ila mbeya itasubiri sana kwa arusha....na hilo lipo wazi kwa waliotembelea sehemu zote hizi mbili ukiacha ushabiki...

hivi mbeya mjini ni wapi? huku stand uhindini,,au huku maeneo ya TRA? au mwanjelwa? kiukweli IRINGA MJINI NI KUZURI KUPITA MBEYA

Mbeya kuna nn cha ajabu jiji lisilo hata na shopping mall. gorofa 5 tu kaja kufungua mkuu wa mkoa

Jiji gani lisilo hata na shopping mall hata moja. Magari yaliyojaa mbeya ni vitz, passo, raumu ipsym nk. nimekaa mbeya zaidi ya mwaka sasa na bado nipo mbeya sijawahi hata kuiona range rover avoque. Matajiri wakubwa wanatembelea passo. Kwa kifupi mbeya huwezi kulinganisha na mwanza wala Arusha. Uwanja wa ndege mwanza kwa siku zinatua ndege zaidi ya 6 kubwa Arusha the same. Mbeya ni fast jet tu siku nyingine route moja siku nyingine 2

Kama unaenda kikazi bora kwenda na mkeo vinginevyo unaweza kuanguka dhambini
Hayo sasa ni mambo ya kitoto, mnaongea kama wanawake wa uswahilini.
Hivi hapa Tanzania ni sehem gani ambayo ni nzuri na kisasa sana, hadi mnaiongelea mbeya negative namna hiyo.
Mnakuwa kama mna mtindio wa ubongo acheni huo ujinga
 
Unavyosema bado jiji la Mbeya bado, pia unatakiwa ufatilie na ujue sera ya nchi na vipaumbele vyake katika mikoa tofauti.
Hivi unajua kuwa hata airport ya songwe ni Mzee Mwandosya aliye pigania kipindi alikuwa waziri wa mawasiliano na uchukuzi mpaka ikajengwa Mbeya.
Na kipindi hicho sumaye waziri mkuu alikuwa anataka ijengwe arusha.
Mbeya imeendelea sana na pia imejitosheleza kwa mambo mengi ila kwa kuwa hauyaoni majengo makubwa kama ilivyo sehem kama DSM, Mwanza n.k ndio unasema hivyo.
Mbeya hamna majengo makubwa mengi sababu ni
1. Eneo kubwa la jiji la Mbeya limepitiwa na bonde la ufa hivyo kwa kipindi cha nyuma ilikuwa ngum kujenga ghorofa zaidi ya 5 kwa kuwa mara nyingi huwa kuna tetemeko la ardhi ila kwa sasa technolojia imekuwa ndio mana unaona ghorofa zilizojengwa kwa vyuma jijini Mbeya kama ya maranatha pale mwanjelwa
2. Mbeya hamna majengo makubwa kama DSM, Mwanza n.k kwa sababu ya mgogoro wa mpaka na nchi ya malawi kwa kuwa huo mgogoro ni wa mda mrefu na malawi inaamini kuwa sehemu kubwa ya Jiji la Mbeya ni sehem ya malawi kwa hiyo serikali ya tanzania inaogopa kuwekeza sana jijini Mbeya ikiwa na hofu kama hiyo.
3. Sera ya nchi nayo imechangia kufanya jiji la Mbeya kuwa nyuma sababu serikali ya tanzania imetenga mikoa mitano kama mikoa maalum kwa kuzalisha chakula ikaipa jina la big 5 mikoa hiyo ni iringa, ruvuma, rukwa, njombe na jiji la Mbeya. Kwa hiyo hata maendeleo ya yanayoonekana sasa jijini Mbeya ni juhudi binafsi za wana Mbeya.
4. Ijulikane pia kwamba majengo makubwa kwenye miji mikubwa tanzania kama DSM, Mwanza n.k yamejengwa na taasisi kama NSSF, LAPF, PPF, NHC, PSPF, GEPF n.k hivyo kuonekana kama hiyo mikoa imejengeka, kwa jiji la Mbeya ni tofauti kwani hiyo mifuko haijafanya uwekezaji wowote katika jiji la Mbeya kidogo NHIC ndio wanajenga jengo lao kubwa pale town karibu na kwa mkuu wa mkoa hivyo bado wana Mbeya wanatakiwa kupongezwa kwa juhudi binafsi za kujenga mkoa wao kidogo hizi taasisi ndio zinaanza kuwekeza majengo Mbeya
5. Barabara kubwa za jiji la Mbeya hazijajengwa na serikali mfano ni barabara ya kutoka uyole hadi kasumulu mpaka wa tanzania na malawi imejengwa na umoja wa afrika kwa sera ya umoja huo kuwa na barabara itakayoutambulisha umoja huo iliyoanzia Cairo nchini Misri hadi Cape town South Africa ikipita pia nchini tanzania jijini Mbeya, pia kuna barabara iliyojengwa kutoka jijini Mbeya kutokea eneo la isanga hadi wilayani chunya pia ilijengwa kwa msaada wa watu wamisri wenyeji wa mkoa wa mbeya wanajua tabu waliyoipata kwenda huko chunya. Pia kuna barabara inayoelekea airport ya zamani pale chuo cha T.I.A
6. Pia tunajua kuwa kwa nchi yetu ya tanzania sehem kubwa ya mambo ya maendeleo yanafanyika kisiasa kuliko kimkakati hivyo tunaona maeneo ambayo walikuwa wanatokea viongozi wakubwa wa nchi wenye ushawishi serikalini yalikuwa yanapewa kipaumbele mfano ma waziri wakuu awamu zote, na maraisi tunaona hata sasa JK alivyojaribu kuinua mkoa wa pwani kwa namna moja, pia tunaona mawaziri wakuu kama msuya, sumaye, lowasa, n.k kupeleka project kubwa maeneo wanayotokea kwa jiji la Mbeya halijawahu kutoa Raisi au waziri mkuu, katika miji iliyoendelea nafikiri mwanza haiko kisiasa sana labda JPM nae akiamua afanye yake.
Kwa jiji la Mbeya lilipofikia nafikiri ilitakiwa kupongezwa sio kubezwa na serikali kuweka sera za maendeleo sawa katika miji mikubwa yote kuliko kuipa kipaumbele mikoa michache mfano hai tunaona raisi JPM tangu amekuwa Raisi ni mara mbili anaenda arusha na wakati huo huo kuna mikoa hajawahi kukanyaga tangu awe raisi kwa hali kama hiyo tayari inawahamasisha hata wawekezaji sababu ya safar kama hizo za mkuu wa nchi mara nyingi eneo moja.
Note: watu wanaoongelea mambo ya uchawi jijini Mbeya nafikiri pia waangalie katika tanzania sehemu mikoa gani wakongwe wanakufa sababu ya hizo imani, pia ni mikoa gani albino wanaongoza kukatwa viungo nafikiri maeneo yenye hizo tamaduni hasa ni tanga, sumbawanga, shinyanga, DSM n.k mara, kigoma n.k tamaduni za ushirikina zipo jijini Mbeya ila sio kama wadau wanavyosema
Ni

Nitarudi badae.

Chuma Ulete ndo sana huko MBEYA
 
Ata mbeya eti kuna utalii?
Lake Ngozi. The cratel lake
Daraja la Mungu-the rock bridge
1462837770188.jpg
1462837785222.jpg
1462837801123.jpg
1462837817246.jpg
1462837825524.jpg
1462837833863.jpg
1462837864767.jpg
1462837878664.jpg
1462837894382.jpg
1462837900265.jpg
1462837906876.jpg
1462837921613.jpg
1462837939314.jpg
1462837948980.jpg
1462837957323.jpg
1462837970703.jpg
 

Attachments

  • 1462837621814.jpg
    1462837621814.jpg
    73 KB · Views: 78
  • 1462837636443.jpg
    1462837636443.jpg
    32.2 KB · Views: 78
  • 1462837655283.jpg
    1462837655283.jpg
    13.8 KB · Views: 73
  • 1462837664499.jpg
    1462837664499.jpg
    16.3 KB · Views: 77
Mbeya ilikua jiji kwa kigezo cha population tu hakuna chochote. Dodoma imepangiliwa vizuri sana nadhani itakuja kuipita mbeya kwa speed kali sana
Ukifika pale Dodoma mjini panakuchanganya unasahau kuwa wilaya za Dom zilibaki zote mbovu mnoo. Jaribu kuitazama Mbeya mjini wa wilaya zake utaelewa ni kwanini Mbeya ni bora kuliko Dodoma.
 
Mbeya kuna nn cha ajabu jiji lisilo hata na shopping mall. gorofa 5 tu kaja kufungua mkuu wa mkoa
Hivi shopping mall ndio kipimo cha mji kuwa jiji? Mbona hizi shopping mall za Dar hazina hata miaka 10? Ina maana miaka yote hio Dar halikuwa jiji?
 
jiji la ovyo automatically hata huduma zake ni dhaifu wachaga wamejaribu kuwekeza hapo mbeya wameishia kuwekewa CHUMA ULETE wamekimbilia LUSAKA. Ni hatari sana kwa mustakabali wa maendeleo ya MBEYA.
** Mbeya ni strategic located, kwa mpaka wa MALAWI, ZIMBABWE, CONGO DR, CAR lakin watu wameendekeza ULOZI (Ref. NZOVWE) na dini za kuzugia Jumapili Mchana, usiku kama kawa.
*** Cape to Cairo Highway ingewafungua katika Sekta ya Utalii lakini mmelala sana.
NB: Tahadhari mnaotaka kuoa Mbeya dada zao hawa jamaa ni "POWER MONGER", KNOW IT ALL.
 
jiji la ovyo automatically hata huduma zake ni dhaifu wachaga wamejaribu kuwekeza hapo mbeya wameishia kuwekewa CHUMA ULETE wamekimbilia LUSAKA. Ni hatari sana kwa mustakabali wa maendeleo ya MBEYA.
** Mbeya ni strategic located, kwa mpaka wa MALAWI, ZIMBABWE, CONGO DR, CAR lakin watu wameendekeza ULOZI (Ref. NZOVWE) na dini za kuzugia Jumapili Mchana, usiku kama kawa.
*** Cape to Cairo Highway ingewafungua katika Sekta ya Utalii lakini mmelala sana.
NB: Tahadhari mnaotaka kuoa Mbeya dada zao hawa jamaa ni "POWER MONGER", KNOW IT ALL.
Haujui unachoongea nafikiri kwa Mbeya sivyo kama unavyoongea na usitake kuanzisha mada ambayo huijui na hauwezi kuitetea.

Nenda moshi kwenye migomba kwa hao wachaga uone watoto mazezeta walivyojaa kila maeneo moshi wamejaa mazezeta halafu unakuja kujinasibu hapa kwa kuchafua jiji la Mbeya. hivi unaleta habar zako za uchagani kama umechanganyikiwa nenda kariakoo waulizie wakongwe wa pale sokoni ndio watakuambia namna hao wachaga wako, wahindi n.k wanavyofanya biashara.

Hivi nani asiyejua hapa tanzania kwamba watu waliojaa ubaguzi ni wachaga.

Ongelea hoja yako lakini usianze kuchafua jiji la Mbeya na hao wachaga wako.

Na unavyoongelea Mbeya asilimia kubwa ni wanyakyusa na ujue nao wamesoma sana kama hao wachaga wachaga hawawezi kutake over jijini Mbeya sababu watu wa Mbeya wanajitambua.

Unaongelea kuhusu wanawake wa Mbeya hawafai kwamba watu wa mikoa mingine wasioe jijini Mbeya, naona ni kama umechanganyikiwa hivi hapa tanzania ni kabila gani hasa wanawake wanaongoza kwa kuua waume zao jibu ni wanawake wakichaga nenda moshi, nenda arusha maeneo mengi nyumba za wachaga zimejaa wajane sababu ya kuua waume zao kwa tamaa ya mali.

Acha ujinga wa kuongelea mambo usiyoyajua kwa kuwachafua watu wa mbeya kwa chuki zako binafsi.
Watu wa Mbeya ni wanabusara wamekaa kimya ila me nitawasemea katika huu ujinga uliouanzisha.
Nitarudi badae
 
Back
Top Bottom