Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 7,682
- 9,529
Mbeya kwa ovyo sana bora kwetu Bukoba kumejengeka
Hii apa sio mbeya amekudanganya...Jamaa yangu kaniambia hizi ziko mbeya ni kweli?View attachment 345910View attachment 345915View attachment 345917View attachment 345918View attachment 345919View attachment 345920View attachment 345921View attachment 345922View attachment 345923View attachment 345924View attachment 345925View attachment 345926View attachment 345927View attachment 345928View attachment 345929View attachment 345930View attachment 345931View attachment 345932
Wee Mkuu hayo maeneo uliyoyataja, ni maeneo wanayofikia watu wa level ya kati huenda hata wewe ndo level yako, mimi siyo mtu wa Mbeya ila huwa nakwenda sana Mbeya kwa ishu zangu, Mbeya Hotel ni Hotel iliyokua inatamba miaka ya 1980, na Paradise na GR hotel hazipo hata katika top100 ya Hotel za Mbeya. Watu waliokua wanakupeleka huko walikukadiria kwamba wewe ni wa level za hotel hizo kiongozi, hata mimi kwasababu ni mtumishi wa Umma nikiomba nifanyiwe booking napelekwa huko maana sehemu zote ulizo taja hakuna chumba cha zaidi ya Tshs100,000, na walishawahi kunipeleka kahotel flan kapo juu zaidi ya hizo kanaitwa Hill View Hotel nilichemsha bei japo kana mazingira mazuri kuliko hata Kempisky.Ukisikia jiji la mbeya utafikiri bonge la jiji kumbe upuuzi mtupu. sasa hapa kati nilipata safari ya mbeya nikakwepa fastjet ile kutua kwa kweli uwanja wa songwe ni mzuri kiasi (pengine kwa sababu ya upya) sasa tukapanda shuttle kwenda mjini 10,000/= (bei ya kulangua) nikafika hoteli ambayo ndio wanaisifia ni classic (Mbeya hotel) duuh ni kama nyumba ya makumbusho nikamuambia dereva nipeleke nyingine tukaenda Paradise Hotel (nayo ya kipuuzi pia) nikaenda nyingine (GR City) daah ndo nikajua kumbe zile sifa za wanyakyusa hapo Dar kwao hamna lolote sasa sehemu ya kula ndo ishu yaani labda uende CITY PUB hakuna sehemu nzuri ya kupata varieties.
Poor Mbeya inastahili kuitwa KIJIJI CHA MBEYA si JIJI LA MBEYA mmekalia UCHAWI tu.
Huko ndo majanga....tena bora hapo bukoba mjini....nilitembelea wilaya ya muleba na biharamulo yani hamna kitu alafu watu wa kule wanajifanya wajanja kumbe hamna lolote...huduma zenyewe pale muleba km hujui kihaya utasumbuka sana..Bukoba beibiiiii
Sijazungumzia kuhusu UCHAWI kwenye comment yangu japo upo sana,nilichosema haufanani na mingine niliyoitaja,mbeya mji wake umepangika hovyo sana,nyumba nyingi ni duni hata katikati ya mji na vumbi amboyo ndo kero sana ya mji wa mbeya na vumbi yake kama unga wa ngano.
Hivi mnabishana kuhusu jiji la mbeya, mmefika jiji la Tanga? Samahani wadigo wenzangu na wakwe zangu wasambaa
mji wa Tanga umedumaa wala hauendelei..miji yote ina mapungufu ila mbeya itasubiri sana kwa arusha....na hilo lipo wazi kwa waliotembelea sehemu zote hizi mbili ukiacha ushabiki...Mbona hali ya vumbi arusha na mbeya ni kama sawa tu! Mfano kwa mromboo vumbi linagonga mpaka jua unaacha kuliona, kama ni mjini kuna baadhi ya barabara za rami zime wekwa 2012/13.. Squatters sanawari upande wa pili wa barabara kwa juu kuna nyumba za fito,na ni mjini,, kijenge na maeneo mengi tu,, mvua ikinyesha tope sasa daa::: lakini bdo naipenda arusha na naimiss mbeya
hivi mbeya mjini ni wapi? huku stand uhindini,,au huku maeneo ya TRA? au mwanjelwa? kiukweli IRINGA MJINI NI KUZURI KUPITA MBEYAMbona hali ya vumbi arusha na mbeya ni kama sawa tu! Mfano kwa mromboo vumbi linagonga mpaka jua unaacha kuliona, kama ni mjini kuna baadhi ya barabara za rami zime wekwa 2012/13.. Squatters sanawari upande wa pili wa barabara kwa juu kuna nyumba za fito,na ni mjini,, kijenge na maeneo mengi tu,, mvua ikinyesha tope sasa daa::: lakini bdo naipenda arusha na naimiss mbeya
hivi mbeya mjini ni wapi? huku stand uhindini,,au huku maeneo ya TRA? au mwanjelwa? kiukweli IRINGA MJINI NI KUZURI KUPITA MBEYA
Ndoto za mchana hizi! Dodoma iipite Mbeya?
Ndoto za mchana hizi! Dodoma iipite Mbeya?
Tandale hakuna nyumba za tope? Kwani kuwa na ghorofa ni kitendo cha kuendelea? Mbeya imepitiwa na bonde la ufa matetemeko ya ardhi yalikuwa mwanzo mwisho ndo mana kuna uhaba wa hicho unachokipenda uwe mpana wa kufikir japan wako vizur kiuchumi na viwanda kuna sehemu wanajenga nyumba za mbao wajua kwa nn?