Jiji la Mbeya kama kijiji

Jiji la Mbeya kama kijiji

Mbeya ni kichekesho kwa kweli. Hii tanzania marndeleo yapo dar es salaam tu , tena hapo dar kwenyewe ni sehemu chache pia. Ila huku sehemu zingine sio siri zimesahaulika kabisa
 
Hii apa sio mbeya amekudanganya...
1462792431714.jpg
 
Hivi mnaoponda Mbeya mmefika kweli? Mtu unaishia stendi tayari unahukumu mji mbovu?
 
Kama unaenda kikazi bora kwenda na mkeo vinginevyo unaweza kuanguka dhambini
 
Ukisikia jiji la mbeya utafikiri bonge la jiji kumbe upuuzi mtupu. sasa hapa kati nilipata safari ya mbeya nikakwepa fastjet ile kutua kwa kweli uwanja wa songwe ni mzuri kiasi (pengine kwa sababu ya upya) sasa tukapanda shuttle kwenda mjini 10,000/= (bei ya kulangua) nikafika hoteli ambayo ndio wanaisifia ni classic (Mbeya hotel) duuh ni kama nyumba ya makumbusho nikamuambia dereva nipeleke nyingine tukaenda Paradise Hotel (nayo ya kipuuzi pia) nikaenda nyingine (GR City) daah ndo nikajua kumbe zile sifa za wanyakyusa hapo Dar kwao hamna lolote sasa sehemu ya kula ndo ishu yaani labda uende CITY PUB hakuna sehemu nzuri ya kupata varieties.

Poor Mbeya inastahili kuitwa KIJIJI CHA MBEYA si JIJI LA MBEYA mmekalia UCHAWI tu.
Wee Mkuu hayo maeneo uliyoyataja, ni maeneo wanayofikia watu wa level ya kati huenda hata wewe ndo level yako, mimi siyo mtu wa Mbeya ila huwa nakwenda sana Mbeya kwa ishu zangu, Mbeya Hotel ni Hotel iliyokua inatamba miaka ya 1980, na Paradise na GR hotel hazipo hata katika top100 ya Hotel za Mbeya. Watu waliokua wanakupeleka huko walikukadiria kwamba wewe ni wa level za hotel hizo kiongozi, hata mimi kwasababu ni mtumishi wa Umma nikiomba nifanyiwe booking napelekwa huko maana sehemu zote ulizo taja hakuna chumba cha zaidi ya Tshs100,000, na walishawahi kunipeleka kahotel flan kapo juu zaidi ya hizo kanaitwa Hill View Hotel nilichemsha bei japo kana mazingira mazuri kuliko hata Kempisky.
 
Bukoba beibiiiii
Huko ndo majanga....tena bora hapo bukoba mjini....nilitembelea wilaya ya muleba na biharamulo yani hamna kitu alafu watu wa kule wanajifanya wajanja kumbe hamna lolote...huduma zenyewe pale muleba km hujui kihaya utasumbuka sana..
 
Sijazungumzia kuhusu UCHAWI kwenye comment yangu japo upo sana,nilichosema haufanani na mingine niliyoitaja,mbeya mji wake umepangika hovyo sana,nyumba nyingi ni duni hata katikati ya mji na vumbi amboyo ndo kero sana ya mji wa mbeya na vumbi yake kama unga wa ngano.

Mbona hali ya vumbi arusha na mbeya ni kama sawa tu! Mfano kwa mromboo vumbi linagonga mpaka jua unaacha kuliona, kama ni mjini kuna baadhi ya barabara za rami zime wekwa 2012/13.. Squatters sanawari upande wa pili wa barabara kwa juu kuna nyumba za fito,na ni mjini,, kijenge na maeneo mengi tu,, mvua ikinyesha tope sasa daa::: lakini bdo naipenda arusha na naimiss mbeya
 
Hivi mnabishana kuhusu jiji la mbeya, mmefika jiji la Tanga? Samahani wadigo wenzangu na wakwe zangu wasambaa
mji wa Tanga umedumaa wala hauendelei..
huko hivyo hivyo tokea 1990s mpaka sasa. mjini majengo ni yaleyale wanaokaa waarabu maghorofani
 
Mbona hali ya vumbi arusha na mbeya ni kama sawa tu! Mfano kwa mromboo vumbi linagonga mpaka jua unaacha kuliona, kama ni mjini kuna baadhi ya barabara za rami zime wekwa 2012/13.. Squatters sanawari upande wa pili wa barabara kwa juu kuna nyumba za fito,na ni mjini,, kijenge na maeneo mengi tu,, mvua ikinyesha tope sasa daa::: lakini bdo naipenda arusha na naimiss mbeya
miji yote ina mapungufu ila mbeya itasubiri sana kwa arusha....na hilo lipo wazi kwa waliotembelea sehemu zote hizi mbili ukiacha ushabiki...
 
Mbona hali ya vumbi arusha na mbeya ni kama sawa tu! Mfano kwa mromboo vumbi linagonga mpaka jua unaacha kuliona, kama ni mjini kuna baadhi ya barabara za rami zime wekwa 2012/13.. Squatters sanawari upande wa pili wa barabara kwa juu kuna nyumba za fito,na ni mjini,, kijenge na maeneo mengi tu,, mvua ikinyesha tope sasa daa::: lakini bdo naipenda arusha na naimiss mbeya
hivi mbeya mjini ni wapi? huku stand uhindini,,au huku maeneo ya TRA? au mwanjelwa? kiukweli IRINGA MJINI NI KUZURI KUPITA MBEYA
 
mpaka leo pale SONGWE AIRPORT, wenyeji hujaa kwa MAELFU ili kushuhudia ndege ya FASTJET ikitua na kupaa tena wengine hudamka mapema sana na kutembea kilomita kadhaa kuwahi uwanjani, jambo hili limenihuzunisha na kunisikitisha sana baada ya kuwaona ndugu zetu wanyakyusa ushamba hauwatoki pamoja na kwamba uwanja unafikisha miaka zaid ya miwili sasa!!! Wanyakyusa inabid mupunguze ushamba kidogo jamani maan mnatia aibu sana. Au ndo mlishazoea TAZARA?
 
Tandale hakuna nyumba za tope? Kwani kuwa na ghorofa ni kitendo cha kuendelea? Mbeya imepitiwa na bonde la ufa matetemeko ya ardhi yalikuwa mwanzo mwisho ndo mana kuna uhaba wa hicho unachokipenda uwe mpana wa kufikir japan wako vizur kiuchumi na viwanda kuna sehemu wanajenga nyumba za mbao wajua kwa nn?

Jiji gani lisilo hata na shopping mall hata moja. Magari yaliyojaa mbeya ni vitz, passo, raumu ipsym nk. nimekaa mbeya zaidi ya mwaka sasa na bado nipo mbeya sijawahi hata kuiona range rover avoque. Matajiri wakubwa wanatembelea passo. Kwa kifupi mbeya huwezi kulinganisha na mwanza wala Arusha. Uwanja wa ndege mwanza kwa siku zinatua ndege zaidi ya 6 kubwa Arusha the same. Mbeya ni fast jet tu siku nyingine route moja siku nyingine 2
 
Back
Top Bottom