ndiyo nasikia kwako eti mbeya inasifiika uchawi?. sijawahi ona mganga kutoka mbeya. au mbeya ikitajwa kama bagamoyo, sumbawanga, pemba, kigoma au kule kwenye gamboshi. nahisi kama kuna chuki binafsi na mbeya kwenye post yako. hebu nikuulize, kwanini unaichukia mbeya kiasi cha kuitungia uongo?.
ungekuwa muelewa ungeelewa kwamba uganga wa kienyeji ni uchawi. pia ungeelewa kwamba karibu jamii zote zza kiafrika wanaamini sana uchawi na sehemu zingine imani huwa na nguvu sana na mbeya siyo moja ya sehemu hizo. naona umekusanya story za uchawi za mtaani na kuibambika mbeya. bila shaka utakuwa mshirikina sana wewe.
Mkuu pole kwa kukuboa inaonyesha hukuimajini kama picha ingekuwa km ulivoukuta Mji/jji la Mbeya...pia watu wa mbeya kiujumla mapishi ni bado
Ila wewe kwani kwenu wapi? Mi myakyusa/tukuyu ...mzaliwa wa Old farm house ...nimetembea mikoa yote kasoro Mara
niliwahi kwenda Mbeya, nilichoona, jiji ni chafu, mpaka watu wake ni wachafu! samahanini lakini!
Ukisikia jiji la mbeya utafikiri bonge la jiji kumbe upuuzi mtupu. sasa hapa kati nilipata safari ya mbeya nikakwepa fastjet ile kutua kwa kweli uwanja wa songwe ni mzuri kiasi (pengine kwa sababu ya upya) sasa tukapanda shuttle kwenda mjini 10,000/= (bei ya kulangua) nikafika hoteli ambayo ndio wanaisifia ni classic (Mbeya hotel) duuh ni kama nyumba ya makumbusho nikamuambia dereva nipeleke nyingine tukaenda Paradise Hotel (nayo ya kipuuzi pia) nikaenda nyingine (GR City) daah ndo nikajua kumbe zile sifa za wanyakyusa hapo Dar kwao hamna lolote sasa sehemu ya kula ndo ishu yaani labda uende CITY PUB hakuna sehemu nzuri ya kupata varieties.
Poor Mbeya inastahili kuitwa KIJIJI CHA MBEYA si JIJI LA MBEYA mmekalia UCHAWI tu.
Ukisikia jiji la mbeya utafikiri bonge la jiji kumbe upuuzi mtupu. sasa hapa kati nilipata safari ya mbeya nikakwepa fastjet ile kutua kwa kweli uwanja wa songwe ni mzuri kiasi (pengine kwa sababu ya upya) sasa tukapanda shuttle kwenda mjini 10,000/= (bei ya kulangua) nikafika hoteli ambayo ndio wanaisifia ni classic (Mbeya hotel) duuh ni kama nyumba ya makumbusho nikamuambia dereva nipeleke nyingine tukaenda Paradise Hotel (nayo ya kipuuzi pia) nikaenda nyingine (GR City) daah ndo nikajua kumbe zile sifa za wanyakyusa hapo Dar kwao hamna lolote sasa sehemu ya kula ndo ishu yaani labda uende CITY PUB hakuna sehemu nzuri ya kupata varieties.
Poor Mbeya inastahili kuitwa KIJIJI CHA MBEYA si JIJI LA MBEYA mmekalia UCHAWI tu.
Huyo jamaa anaonekana ni mpenda starehe! Ngoja wanyaki waje!mimi hii post yako nairipoti lakini nakushauri ifute utapata shida wadau wakiingia humu wapo wengi kichizi. Hujui hao unaowaita Wachawi ndio wanaolisha familia yako!? mimi nimekaa hapo mbeya kwa miezi 6 mfululizo. Huwezi kufananisha na mkoa mwingine wowote kwa mahitaji muhimu, chakula, hewa safi, utulivu, watu wastaarabu yaani mimi huwa naliita jiji la mbeya StressFree City.