Jiji la Mbeya kama kijiji

Jiji la Mbeya kama kijiji

Mbeya ni mji wa kipuuz kama alivyosema mtoa mada. wao wanapenda sifa za kijinga tu lakini opportunities zipo ukizingatia upo njia panda ya MALAWI, ZAMBIA/ZIMBABWE/CONGO DR lakin kinachoiangusha mbeya ni UCHAWI narudia tena UCHAWI halafu ukiwakuta jumapili wanajazana makanisani utafikiri kweli wacha Mungu kumbe sanaa tu.

Kwenu wapi mkuu?? Maana hapa kuna haja ya kujua kila anaeropoka original yake wapi.
 
Jamaa aliniambia kuwa mbeya wapata lift ya kwanza,nikataka mtukana kuwa anawatukana marafiki zangi wataalamu wa kummaliza mtu wakicheka...ghafla akanitumia hii picture ngguvi zikaniisha wakati nikifikiria majengo ambayo yanaweza kuwa na pengine na Lift...Ukweli mbeye inatia ibu hata Ms wenyewe walikuwa na lift miaka ya 80 kurudi nyuma.
Mbeya hakuruhusiwi ghorofa zaidi ya nne wanasema bed rock ipo chini sana hivyo ghorofa likiwa zito/refu linadidimia hata new york si sehemu zote unaweza jenga skyscrapers. pia kujenga majengo marefu kunaangalia bei ya ardhi na economic benefit na sio kupamba mji.
 
which kind of education are you talking about? you are a useless father! watoto wanahitaji upendo wa wazazi na ndiyo hata hiyo elimu pia unayojidai kwamba wanapata wataelewa vizuri!unless kama ungekua ume dead hilo lingekuwa jambo jingine,you are alive na umetelekeleza watoto! wewe ni mjinga na huyo mwanamke sijui alikukubali vipi! I guess that is why she could not dare to stay with such a useless man, halafu unakuja ku expose ujinga wako hapa! halafu unajifanya una akili wakati umetelekeza watoto,halafu unakuja kujisifu JF.

Unanijua hadi unitapikie nyongo namna hii? Nakuuliza tena unafahamu sababu za watoto kubaki mby? Au unaropoka tu? Na unajua nipo wapi na ninafanya nini? Nadhani hadi hapo umenielewa bwana ustawi wa jamii.
 
In short hapa Tanzania bado hakuna mji wenye hadhi ya kuitwa jiji, hata hii Dar es Salaam tunayoiringia bado ipo nyuma sana.

Kuna mambo nchi hii huwa tunafanya au tunayapa hadhi ili tu kujifariji na kujiona na sisi tunaendelea, ila ukweli wa mambo bado tuna safari ndefu, tuendako hatukujui na mbaya zaidi hatuna ramani ya huko tuendako.
 
mbeya hakuruhusiwi ghorofa zaidi ya nne wanasema bed rock ipo chini sana hivyo ghorofa likiwa zito/refu linadidimia hata new york si sehemu zote unaweza jenga skyscrapers. pia kujenga majengo marefu kunaangalia bei ya ardhi na economic benefit na sio kupamba mji.

kuhusu ghorofa zaidi ya nne hata masaki miaka ya nyuma ilikuwa huruhusiwi lakini umeona saiv so tegemea maghorofa marefu mbeya.
 
Unanijua hadi unitapikie nyongo namna hii? Nakuuliza tena unafahamu sababu za watoto kubaki mby? Au unaropoka tu? Na unajua nipo wapi na ninafanya nini? Nadhani hadi hapo umenielewa bwana ustawi wa jamii.

I am not interested to know where you are,but your stupidity made me to understand what kind of a person you are! as the matter of fact I just wanted to teach you how to behave in public.Huwezi kuja kwenye public unajisifu kutelekeza watoto wako mby then unajicontradict ktk statements zako mwenyewe acha kuongea kama unajisaidia haja kubwa kwenye public watu watakudharau na kukuona unakichwa cha nazi.Mimi siwezi kuongea habari za wanangu hapa kwenye JF hizo ni family issues zako hazituhusu hapa.Wala haihitaji kuwa Mtu wa Ustawi jamii kukemea ujinga kama unaoleta hapa,mtu yeyote responsible hawezi kujisifu kwa kutelekeza watoto bwana unakela kweli we kajamaa!
 
andreakalima, Mbeya hotel siyo hoteli kubwa mbeya na wala haina jina kabisa kwa mbeya,sasa ulitaka shuttle toka songwe hadi mjini km21 ulipe 200?unajua vigezo vya mji kuwa jiji ni mapato yanayo kusanywa? hiyo mbeya unaifanisha na jiji lipi?
 
kajembe,
Mimi sielewi kwa nini upoteze muda wako kujibizana na mtu kama huyu ambaye obviously hana elimu ya kujua hata jambo la msingi kabisa kuwa ni wajinga na wapumbavu tu ndio wanatelekeza watoto wao and then mtu mwingine anakuja kwenye public kujisifia kuwa katelekeza watoto Mbeya!
Ukweli unabaki pale pale kwamba:
1. Mbeya ni makao makuu ya mkoa wa Mbeya
2. Mkoa wa Mbeya ni wa 3 kiuchumi kitaifa nyuma ya Dar na Mwanza
3. Ni mkoa wa wasomi sana
4. Ni mkoa wenye chakula kuliko mikoa yote Tanzania
5. Una hali ya hewa nzuri sana
6. Ni mkoa ulioendelea sana kulinganisha na mikoa mingi kutokana na uchumi mkubwa
7. Watu wa mkoa huu wanaishi maisha ya raha relatively kuliko mikoa mingi sana
These are facts...not blah blah kama eti uchawi or vitu vingine visivopimika
 
kwani ili mji au kijiji au sehemu inatakiwa iwe na sifa ipo? kama si idadi ya wakazi wa hapo kufika 80 000?
 
nkosikazi,
Mbeya kukuta ombaomba ni kazi sana. hii inaonyesha pesa zipo kwa watu tofauti ni mikoa mingine ambako pesa zipo kwa watu wachache na makampuni.
 
Well said......about Mbeya.......pale Mwanjelwa ni kama "Kibera No.2", kule maeneo ya Ghana, Soko Matola...yaani dah...ni balaa/vurugu tupu......halafu wanaita Jiji......akina Lole Gwakisa ........vipi tena shemeji zangu....nyie mnapitiliza Tukuyu wala hamjali Mbeya Mjini.....angalieni na ile Tukuyu mnaipeleka vibaya......wasomi nyie lazima muwaweke sawa viongozi wenu...resources mnazo za kutosha na za kutisha......ni suala la planning tu.......na kusimamia utekelezaji wake
Bwana we!
Mbeya iliyopangwa ilikuwa zamani, mitaa ya West street na mingineyo.
Leo Zjiji ni kama halina mwenyewe, kweli ni kijiji kikubwa!
 
mbeya kukuta ombaomba ni kazi sana. hii inaonyesha pesa zipo kwa watu tofauti ni mikoa mingine ambako pesa zipo kwa watu wachache na makampuni.
Hili nakubaliana kabisa.
Hakuna omba omba Mbeya, watu wake ni watafutaji sana na industrious.
Lakini Mbeya ni mji ambao serikali imesita kuwekeza kwa muda mrefu sana, licha ya juhudi binafsi za watu wake
 
Hili nakubaliana kabisa.
Hakuna omba omba Mbeya, watu wake ni watafutaji sana na industrious.
Lakini Mbeya ni mji ambao serikali imesita kuwekeza kwa muda mrefu sana, licha ya juhudi binafsi za watu wake
unafikiri wamesita? ni ujinga wa kutojua fursa zilizopo mbeya. nikupe mfano mmoja. precision air walikuwa wanadharau soko la mbeya. baadae wakaanzisha safar moja kwa wiki wakashangaa wateja walivyo wengi hadi wanakuja kupinduliwa na fast jet walikuwa na safari saba kwa wiki!. serikali ikipatumia vizuri watu wa congo, malawi na zambia hawatakuwa na haja ya kupoteza pesa mpaka dar.
 
mbeya hakuruhusiwi ghorofa zaidi ya nne wanasema bed rock ipo chini sana hivyo ghorofa likiwa zito/refu linadidimia hata new york si sehemu zote unaweza jenga skyscrapers. pia kujenga majengo marefu kunaangalia bei ya ardhi na economic benefit na sio kupamba mji.
Ndio maana nawaambia hamjaumbwa kuenda zaidi ya mnayoyaona kwa wengine na kujifanya wataalamu.Ndio maana itachukua muda kwa MTZ kuwa mchezaji bora,hata aina zenu hazifundishiki wala jifunza.Sky scraper inaweza jengwa ikaelea juu ya maji kwanini ishindwe ktk ardhi?
 
wote mnaoukandia mji wa Mbeya,asilimia kubwa mlienda kwa kibiashara za kishoga,mambo hayo nendendeni miji ya pwani,sisi watu wa Mbeya tunafilima tu,hatufili,wanafila mjini na mayai.
 
Duuuu, ngoja nikienda tena nitakua na cha kusema, nilikua huko March na nilikaa BEACO, nafikiri ni stress free city, nitakuja na picha, BUJIBUJI nikumbushe mbombo ngafu nalori
 
Back
Top Bottom