AK48
Senior Member
- Mar 22, 2015
- 149
- 38
Mbeya ni mji wa kipuuz kama alivyosema mtoa mada. wao wanapenda sifa za kijinga tu lakini opportunities zipo ukizingatia upo njia panda ya MALAWI, ZAMBIA/ZIMBABWE/CONGO DR lakin kinachoiangusha mbeya ni UCHAWI narudia tena UCHAWI halafu ukiwakuta jumapili wanajazana makanisani utafikiri kweli wacha Mungu kumbe sanaa tu.
Kama unaweza kujenga hizo hotel Si uje ujenge Na babako maeneo kibao njoo ujenge unafikiri hotel ni kiosk kwamba Na hela za vitumbua utajengea