HOMOSAPIEN
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 745
- 273
Mbona hata jiji la Tanga ni zuri kuliko hiyo Mbeya
mbeya hotel siyo hoteli kubwa mbeya na wala haina jina kabisa kwa mbeya,sasa ulitaka shuttle toka songwe hadi mjini km21 ulipe 200?unajua vigezo vya mji kuwa jiji ni mapato yanayo kusanywa? hiyo mbeya unaifanisha na jiji lipi?
Hata mimi,ukiniambia mbeya...usilinganishe na dar,arusha,mwanza,tanga,dom hata na moshi....mji wa mbeya naweza kufananisha na kahama mjini!sikku ya kwanza kufika mbeya sikuamini macho yangu mji ulivyo wa hovyo
Hata mimi,ukiniambia mbeya...usilinganishe na dar,arusha,mwanza,tanga,dom hata na moshi....mji wa mbeya naweza kufananisha na kahama mjini!sikku ya kwanza kufika mbeya sikuamini macho yangu mji ulivyo wa hovyo
Msaada gani tena
Hata mimi,ukiniambia mbeya...usilinganishe na dar,arusha,mwanza,tanga,dom hata na moshi....mji wa mbeya naweza kufananisha na kahama mjini!
mimi hii post yako nairipoti lakini nakushauri ifute utapata shida wadau wakiingia humu wapo wengi kichizi. Hujui hao unaowaita Wachawi ndio wanaolisha familia yako!? mimi nimekaa hapo mbeya kwa miezi 6 mfululizo. Huwezi kufananisha na mkoa mwingine wowote kwa mahitaji muhimu, chakula, hewa safi, utulivu, watu wastaarabu yaani mimi huwa naliita jiji la mbeya StressFree City.
mimi hii post yako nairipoti lakini nakushauri ifute utapata shida wadau wakiingia humu wapo wengi kichizi. Hujui hao unaowaita Wachawi ndio wanaolisha familia yako!? mimi nimekaa hapo mbeya kwa miezi 6 mfululizo. Huwezi kufananisha na mkoa mwingine wowote kwa mahitaji muhimu, chakula, hewa safi, utulivu, watu wastaarabu yaani mimi huwa naliita jiji la mbeya StressFree City.
Mengine asifute. Afute ya uchawi tu?Acha mchezo wewe! Au we ukawa nini; nna hasira na wewe!! na waombe radhi wanambeya na pengine futa kauli yako ya uchawi
Next time aende utengule hotel... ipo mbalizi then ndan uko kajionee uzur wakemie sio mwenyeji wa Mbeya but hizo hotel unazotaja hapa mbona wala sio za kiwango? wewe ulimwambia huyo dereva tax unataka ya kiwango gan in terms of money? kuna Hill View mfano, mbona ni kiwango tu? au wewe hukufika huko?
ndiyo nasikia kwako eti mbeya inasifiika uchawi?. sijawahi ona mganga kutoka mbeya. au mbeya ikitajwa kama bagamoyo, sumbawanga, pemba, kigoma au kule kwenye gamboshi. nahisi kama kuna chuki binafsi na mbeya kwenye post yako. hebu nikuulize, kwanini unaichukia mbeya kiasi cha kuitungia uongo?.Weeee, acha kudanganya watu. Nani mstaarabu? Ulikuwa mbeya ipi? Haihitaji mtu kukaa mbeya ndipo ufahamu kwamba mbeya imejaza wachawi. Na hicho chakula unachokinunua kutoka Mbeya hujui kinafanyiwa nini kabla hakijafika sokoni. Waulize waliowahi kufanya kazi ya Ukurugenzi hapo Mbeya ambao si wa kule ndio watakuambia ustaarabu wa watu wa Mbeya ukoje. Ukabila wote ule bado unasema streetfree zone!. Lol, please. Taratibu bwana mdogo.