Jamaa aliniambia kuwa mbeya wapata lift ya kwanza,nikataka mtukana kuwa anawatukana marafiki zangi wataalamu wa kummaliza mtu wakicheka...ghafla akanitumia hii picture ngguvi zikaniisha wakati nikifikiria majengo ambayo yanaweza kuwa na pengine na Lift...Ukweli mbeye inatia ibu hata Ms wenyewe walikuwa na lift miaka ya 80 kurudi nyuma.
Leo tarehe 10/06/2014 umefanyika uzinduzi wa lifti ya kwanza JIJINI Mbeya. hii ndiyo tanzania zaidi ya uijuavyo. yaani CITY lilikuwa halina jengo lenye lifti!
Kwa taarifa,toka mwaka 2002 hadi sasa naishi Mbeya,ila ni mji mbovu sanaMiaka kumi iliyopita afu unalalamika hapa !
Mbeya the Green city !
Somji Juma,nimepotosha nini hapo.....Hizi taarifa zilishawahi chapishwa kwenye gazeti sina uhakika lilikuwa gazeti gani ila nafikiri ni Mtanzania miaka ya nyuma kidogo kama 3,taarifa zilikuwa zinapinga hiyo dhana iliyojengeka kwa wana Mbeya-tena RC wa wakati huo alikaribisha wawekezaji wa majengo waje wajenge majengo amrefu Mbeya.Nenda kwa mhandisi wa mkoa wa Mbeya atakupa detail nzuri.Mkuu The hammer Danp36 amekudanganya,MBEYA hauwez kujenga zaid ya ghorofa 4,na sio 6 kama anavodai..
Mkuu G.Jacob unataka kunambia Dodoma unaizid Mbeya kwa mzunguko wa Pesa,you must be mada..very mad..
Jamaa aliniambia kuwa mbeya wapata lift ya kwanza,nikataka mtukana kuwa anawatukana marafiki zangi wataalamu wa kummaliza mtu wakicheka...ghafla akanitumia hii picture ngguvi zikaniisha wakati nikifikiria majengo ambayo yanaweza kuwa na pengine na Lift...Ukweli mbeye inatia ibu hata Ms wenyewe walikuwa na lift miaka ya 80 kurudi nyuma.
Ukisikia jiji la mbeya utafikiri bonge la jiji kumbe upuuzi mtupu. sasa hapa kati nilipata safari ya mbeya nikakwepa fastjet ile kutua kwa kweli uwanja wa songwe ni mzuri kiasi (pengine kwa sababu ya upya) sasa tukapanda shuttle kwenda mjini 10,000/= (bei ya kulangua) nikafika hoteli ambayo ndio wanaisifia ni classic (Mbeya hotel) duuh ni kama nyumba ya makumbusho nikamuambia dereva nipeleke nyingine tukaenda Paradise Hotel (nayo ya kipuuzi pia) nikaenda nyingine (GR City) daah ndo nikajua kumbe zile sifa za wanyakyusa hapo Dar kwao hamna lolote sasa sehemu ya kula ndo ishu yaani labda uende CITY PUB hakuna sehemu nzuri ya kupata varieties.
Poor Mbeya inastahili kuitwa KIJIJI CHA MBEYA si JIJI LA MBEYA mmekalia UCHAWI tu.
yap, you may be right sir, i am not an economist, pamoja na kwamba ni msomi na nimeshaishi sana mbeya, arusha, moshi na mwanza. kwa kifupi kama argument zenu ndio hizo, basi ni za kwenye madaftari tu lakini in reality kwa watu tulioishi pale na tukaishi maeneo mengine tukilinganisha tunaona mbeya bado mzunguko wa pesa ni mdogo sana tena sana hata kama kwenye vitabu na data zenu inaonyesha hivyo. labda waongee wafanya biashara wa kawaida kabisa ndio utaelewa. sio kila kitu kinaenda kwa usomi, vingine vinaenda kwa uhalisia tu unavyoona mtaani. unafikiri utalinganisha mbeya na moshi? au mbeya na shinyanga kwa mzunguko wa pesa pamoja na kwama kwenye madaftari yako mbeya ipo juu kwa moshi na shy?......ulishawahi kuishi sehemu nyingine nje ya mbeya, au ulishawahi kufanya biashara mbeya arusha moshi kahama na kwingine? wapi pesa inapatikana kirahisi katika biashara kati ya hiyo niliyotaja/Huyo AZUSA angalia tu argument yake utajua ni mweupe kichwani,anazungumzia uzuri kwa kuangalia na macho yake na kisha ana conclude mzunguko wa pesa! kazi ipo
"Mbeya ni kijiji kikubwa"......By Olenjolay...
Kwi kwi kwi kwi kwi.....Teh teh teh teh teh....Ha ha ha ha
Mi ninachokumbuka nimeacha watoto wawili huko dume na jike enzi hizo kutoka mafiati to uyole ghorofa refu"mbili" lilikua mwanjelwa la jamaa mmoja anaitwa mfikemo ila juzi kati naona wamejitahidi kuanzia pale njia panda ya air port/mafiati/uyole wamejenga viota. Mwanjelwa/kabwe/soweto/tunaruka hadi Ilomba na uyole hapa ndio jiji linatakiwa kuonyesha taswira.
Kuna mikoa mingine kama kuna wageni wengi kupata sehemu standard ya kulala ni issue mfano mzuri Musoma, Bukoba au Tabora, nalinganisha na sehemu kama Njombe na Makambako ambako hata kabla ya kuwa mkoa kamili hukosi mahali pa kulala ambapo papo standard in case zile high classic hotel zimejaa lakini maeneo mengine niliyoyataja utakoma kulingaMkuu pole sana inaonekana wamekuboa sana hapo Mbeya...
Kwenye suala la hotels nakubaliana na wewe, the last time nimeenda hapo biz trip nililala Beaco ambayo ndo walikuwa wanasema ni iko juu,, but ni kawaida sana. Anyway kwa kuwa ndio wamefunguka angani recently labda zitajengwa standard hotels maana hiyo Paradise vyumba vidogo kama gesti hausi
Wazee wetu ndio walifanya hii kitu lakini kizazi cha sasa aisee huwa nashangaa maana hata kama imetokea hukumuoa inabidi damu yako uhakikishe inakwenda vizuri maana ipo siku ataibuka na hutokuwa huna jinsi lazima utoe support tena itakuwa kubwaAnother irresponsible father! huna hata haya kujisifu kwamba umetelekeza watoto wawili!sasa shule wanasoma kweli?