Tanga ilikuwa zamani bhana, enzi zile miaka ya 80 wakati nasoma Usagara Sec, Tanga ulikuwa ni mkoa wa 2 au wa 3 kwa ukubwa kama sijakosea. Lakini tokea walipoua viwanda vya Mbolea (TFC), CIC, Sikh Saw Mills, Chuma (T) Ltd, NASACO, BANDARI, Shirika la Reli, Zao la Mkonge nk, kila kitu kimeanguka chali imebaki Kiwanda cha Saruji tu...
We kwenu ni wapi?
hakuna jiji tamu kama dar es salaam mkuu usidanganyike na kelele za wakuja
Mbeya ni mji wa kipuuz kama alivyosema mtoa mada. wao wanapenda sifa za kijinga tu lakini opportunities zipo ukizingatia upo njia panda ya MALAWI, ZAMBIA/ZIMBABWE/CONGO DR lakin kinachoiangusha mbeya ni UCHAWI narudia tena UCHAWI halafu ukiwakuta jumapili wanajazana makanisani utafikiri kweli wacha Mungu kumbe sanaa tu.
Mara yangu ya kwanza kufika Mbeya ilikuwa usiku,miaka 10 iliyopita-nililala maeneo ya stand kuu hapo.kulivokucha niliamka nikaoga then nikatoka nje ili nione mandhari ya mji(wakati huo) wa Mbeya.nilishangaa kweli,but nikajua stand ipo mbali na mji,kwa kuwa nilikuwa nataka nifike ofisi za serikali nilimuuliza mhudumu pale gharama za kufika mjini kwa tax,kwanza alicheka then akaniambia hapa ndo mjini kaka....kwa kweli nilichoka.
Msamiati ,umeshawahi fika Kilimanjaro,Arusha,Iringa,Tanga,huwezi fananisha hiyo miji na wa mbeya in term of comfortability,mbeya ni mji wenye vumbi sijapata ona sehemu ina vumbi kuliko mbeya,house arrangement and some other important services like hospiatal etc
lindi ndio ya mwisho kama sikosei
kila mkoa ulipewa hadhi ya jiji kwa vigezo maalum, co majengo, huyo dereva taxi inaonyesha ulimwelekeza akupeleke hapo. Cku nyingine ukienda kwenye majiji jaribu kugoogle nice hotel kupunguza usumbufu. Ukija tena Mby next tym nijulishe nikutembeze maeneo kwa saa moja co Dar ambako saa moja unatoka ubungo stand kufika mataa au Arusha USA river mpk mianzini 2hrs au Mwz Nyakato hadi Liberty 3hrs. So sehemu kuwa jiji ni pamoja na urahisi wa kufika itakako kwa wakati na hiyo ndo sifa ya Mby.
mie nimezaliwa mbeya na kukulia huko.nakubaliana nawe mkuu,upo sahihi kabisa hasa suala la wafanyabiashara kukimbilia mikoa mingine ni kweli kabisa.wafanyabiashara wengi wamehama huu mkoa kwa sababu ya mazingira magumu ya kibiashara yanayosababishwa na viongozi wa mkoa huu.pia wengine walifikia hata hatua ya kujiua kama yule mfanyabiashara aliyejulikana kwa jina la mgeni maarufu kama milamo.