Jiji la Mbeya: Hapa Wabongo tumechemka

Jiji la Mbeya: Hapa Wabongo tumechemka

Afu alieipata mbeya kuitwa jiji ni nani?? Mbeya ni mji
Shule mlienda kufanya nini?.
Huwa mnadhani sifa mojawapo ya mahali kuwa jiji ni majengo? Hamfikilii suala la idadi ya watu, pato lake na , maendeleo ya watu wa mahala hapo?.

Hivi hujui huo mkoa una hadhi ya jiji tangu miaka ya nyuma lakini siasa zenu za CCM ndizo zinarudisha nyuma mkoa.

Inawezekana vipi Mkoa nambari 3-5 ktk uchangiaji wa pato la taifa lkn kodi hazirudi kukarabati miundombinu, Central government unajua inakomba kodi kubwa kutoka Mbeya ,lkn hakuna maendeleo yoyote yanayorudi hapo mkoani, si kimiundombinu hakuna linalofanyika

Huo ndio mkoa pekee maendeleo yake yanabebwa na wananchi by 90%, tofauti na hiyo mikoa yenu mnayopewa vipaumbele lkn bado wananchi wenu wananuka umasikini.

Masikini wa Mbeya anauwezo wa kuwa tajiri mikoa ya kanda ya kati, Kusini, pwani yote na takataka za huko visiwani mnakojaza kodi
 
Back
Top Bottom