Jiji la Mbeya a.k.a Green City laanza kuchipua upya

15548442550_1c9183c322_b.jpg
Duuu.
 
sasa teknolojia ikiwa ipo japan automatically na mbeya inakuwepo? huku hata taasisi kama NIC, TRA, BOT, NSSF, NMB, TANESCO, MUST, NBC Mahakama etc hazikupita ghorofa nne. unafikiri ni coincidence?

Ukiacha Dar,labda na mwanza ni wapi hizo taasisi ulizotaja zina majengo marefu.
 
Reply
Ukiacha Dar,labda na mwanza ni wapi hizo taasisi ulizotaja zina majengo marefu.
Dar, mwanza na Arusha ndiyo yakufananishia kwasababu taasisi hizi zilianza kujenga kwenye makao makuu ya kanda. katika sehemu hizo nne ni Mbeya tu walijenga majengo yasiyozidi ghorofa nne. tena taasisi zote. hujiulizi kwanini?
 
Mbeya mnatakiwa mjitahidi sana kuujenga mkoa wenu, kwani umekaa kibiashara sana ikiwemo kupakana na nchi nyingi za kusini. Pamoja na chakula kuwa kingi huko, ila msiwe mnakula mpaka mnajisahau kuuweka mkoa wenu kibiashara.
Tumieni fursa za hiyo mipaka mikubwa miwili ya kasumulu na Tunduma.
Hizi picha za project ni chache sana kwa hadhi ya mkoa wa mbeya ambao ni moja kati ya mikoa yenye wasomi wengi tanzania.
Mbeya photos
1463261138528.jpg
1463261142340.jpg
1463261149039.jpg
1463261156130.jpg
1463261159900.jpg
1463261171136.jpg
1463261177279.jpg
 
Mbeya mnatakiwa mjitahidi sana kuujenga mkoa wenu, kwani umekaa kibiashara sana ikiwemo kupakana na nchi nyingi za kusini. Pamoja na chakula kuwa kingi huko, ila msiwe mnakula mpaka mnajisahau kuuweka mkoa wenu kibiashara.
Tumieni fursa za hiyo mipaka mikubwa miwili ya kasumulu na Tunduma.
Hizi picha za project ni chache sana kwa hadhi ya mkoa wa mbeya ambao ni moja kati ya mikoa yenye wasomi wengi tanzania.
Mbeya photosView attachment 347650View attachment 347651View attachment 347652View attachment 347653View attachment 347654View attachment 347655View attachment 347656
 
Mkuu kwa sasa Mbeya imeanza ku regain its status kama strategic gateway to Southern Africa.Kwa miaka mingi mkoa ulikua undermined kimaendeleo kutokana na hulka na uradicals na politics za ukabila za wenyeji,imani za kishirikina na matukio ya kutisha,lakini kwa sasa mambo hayo yamepungua sana coz of elimu na muingiliano wa watu so kumekucha na watu wa mbeya ni wachapa kazi sana.Tunduma tayari ni halmashauri ya mji na ukija utakubari kua hatua kubwa imepigwa,huko mbele tutaheshimiana tu
 
Wadanganye ambao hawajafika Mbeya. Yaani hata USA river tu huwezi kuifananisha na Forest. Usijaribu kabisa kufananisha mbeya na Arusha. Angalia hata magari tu wanayotumia watu wa Arusha linganisha na ya watu wa mbeya. Angalia uwingi wa supermarket mpaka mitaani kuna supermaket za maana ambazo mbeya hata katikati ya mji huzikuti. njoo kwa upande wa Hotels huwezi linganisha mbeya na Arusha. Njoo club na place za kutulia kama Njerees Bristor, club D nk. Nakumati Woolworth nk hivyo ni vitu vinavyopatikana kwenye miji ya wajanja tu
 
Hivi Mbeya ni jiji au kijiji? Yaani hoteli utadhani guesthouses
Samahani dada lini mwisho ulitembelea mbeya na hotel gani ulilala......sidhani hotel ya dar mbagala ipl sawa dar maeneo ya masaki mikocheni na maeneo ya city centre.....hotel inaendana na eneo
 
Hakuna ushahidi wowote wa kihandisi unaosema kua rift valley inazuia ujenzi wa majengo marefu,uzushi huo wa kijinga ni wa layman wasioelewa uhandisi ujenzi,ilianza mara mwisho ghorofa 3 lakini kuna majengo yenye ghorofa 6 na NHIF karibu inamaliza jengo la gorofa 8 opposite na CRDB
Basi kama sababu ni Rift valley which is yes maana inarahisisha kutokea matetemeko,ila basi Japan kusingekuwa na magorofa maana huko pia ni sehemu ambayo ni pro matetemeko
 
Acha kubwata braza,nitajie maeneo ya jiji la mbeya ambayo yanafanana na hazo places za arusha,mbeya kuna slums ila sio kama hizo zenu.Kuhusu magari na mahotel iko wazi kwamba zinawalenga watalii na wachache wa kutoka mererani.Income gap kwa watu wa arusha ni kubwa sana,mtu kujenga nyumba arusha ni ishu just fananisha makazi ya individuals utaona.Hivi USA pale kuna nini cha kuipita Tazara/Iyunga opposite na TBL mfano,kamji kaduchu just 1km outwards ni matope lakini hang over za magorofa along main roads na CBD zinawasumbua sana
 
Acha kubwata braza,nitajie maeneo ya jiji la mbeya ambayo yanafanana na hazo places za arusha,mbeya kuna slums ila sio kama hizo zenu.Kuhusu magari na mahotel iko wazi kwamba zinawalenga watalii na wachache wa kutoka mererani.Income gap kwa watu wa arusha ni kubwa sana,mtu kujenga nyumba arusha ni ishu just fananisha makazi ya individuals utaona.Hivi USA pale kuna nini cha kuipita Tazara/Iyunga opposite na TBL mfano,kamji kaduchu just 1km outwards ni matope lakini hang over za magorofa along main roads na CBD zinawasumbua sana

Mbeya naifahamu pia,Isike,Mwanjelwa,Uyole, na maeneo mengi sana kama hayo hayapendezi kabisa...Mbeya hakuna ujenzi wa kutisha sana kama ilivyo Arusha au Moshi.Hizo nyumba huko Forest n.k huwezi kufananisha na za Sakina,Njiro au Shant town-Moshi.
 
Acha kubwata braza,nitajie maeneo ya jiji la mbeya ambayo yanafanana na hazo places za arusha,mbeya kuna slums ila sio kama hizo zenu.Kuhusu magari na mahotel iko wazi kwamba zinawalenga watalii na wachache wa kutoka mererani.Income gap kwa watu wa arusha ni kubwa sana,mtu kujenga nyumba arusha ni ishu just fananisha makazi ya individuals utaona.Hivi USA pale kuna nini cha kuipita Tazara/Iyunga opposite na TBL mfano,kamji kaduchu just 1km outwards ni matope lakini hang over za magorofa along main roads na CBD zinawasumbua sana

Mbeya naifahamu pia,Isike,Mwanjelwa,Uyole, na maeneo mengi sana kama hayo hayapendezi kabisa...Mbeya hakuna ujenzi wa kutisha sana kama ilivyo Arusha au Moshi.Hizo nyumba huko Forest n.k huwezi kufananisha na za Sakina,Njiro au Shant town-Moshi.
Nyie watu wa arusha mbona hamjiamini, hii mada inaongelea mambo ya mbeya.
Haina lengo la kuifananisha mbeya na mkoa wowote sasa kilinachowaleta na kuifananisha na huko kwenu.
Acheni huo ujinga, ila mkitaka hiyo ligi anzisheni tutakuja kuchangia, mbeya wameamua kuanzisha hii mada ili kuweza kujua changamoto za mkoa wao na namna ya kusonga mbele.
Watu wa mikoa mingine wametulia nashangaa ninyi ndio mnaleta maneno ya kitoto.
Acheni huo ujinga, waacheni mbeya wafanye yao.
Mkitaka changieni kwa mema ila sio kuleta ligi za kitoto.
 
Back
Top Bottom