Nimebahatika kufika jijini Dar,ila cha ajabu hata kama unaenda sehemu ya karibu utachukua Muda mrefu sana.Kama hakutakua na jitihada za makusudi baada ya miaka 5 Dar hakutapitika kabisa.Kumetokea mtindo vijana wengi wananunua magari kwa kasi wakati miundombinu iko pale pale.Serika ianzishe usafiri wa uma kwa kujenga reli jijini Dar.Mradi wa mabasi ya kasi kitaalamu hautafanikiwa.Ijenge reli na kuimarisha usafiri wa umma.