Amenibariki
Member
- Feb 28, 2011
- 14
- 1
Dar haina magari mengi , ila barabara ndizo hatuna kabisaaa. ipo miji na majiji ya majirani zetu si wambli sana, na uchumi wao si hata mkubwa hata rasilimali zao si nyingi kama za kwetu ila mipangilio na utekelezaji wa maamzi vinaheshimiwa. nimetembelea miji na majiji machache mfano jiji la Addis Ababa Ethiopia miundombinu ya barabara isingekua bora basi kusinge pitika maana ukisema wingi wa magari basi Dar nikama hakuna hata gari na tukumbuke miaka kumi ilio pita walikua ndo mwanashikilia mkia kwa umaskini. Kwetu hayo ni matokeo ya kila alie na nafasi ya uongozi kuweza kuhoji na kuweka pingamizi au kuchelewesha utekelezaji wa mambo mbalimabali ya maendeleo. Siseme selikali isilipe fidia ila kwa manufaa au agenda binafsi tuzizuie bomoa bomoa kama mradi unao kuja niwa maendeleo ya wote.
Ina maana gani kutopanua barabara kwasababu watu watavunjiwa nyumba zao kwa manufaa ya wote. Majiji hayo yote yawenzetu hayakufanikiwa bila kuchukua maamuzi magumu ikiwemo kuvunja na kujenga nyumba za waathirika wa upanuzi au ujenzi huo. RUSHWA NI ADUI WA MAENDELEO
Ina maana gani kutopanua barabara kwasababu watu watavunjiwa nyumba zao kwa manufaa ya wote. Majiji hayo yote yawenzetu hayakufanikiwa bila kuchukua maamuzi magumu ikiwemo kuvunja na kujenga nyumba za waathirika wa upanuzi au ujenzi huo. RUSHWA NI ADUI WA MAENDELEO