Jiji la Arusha hii ni AIBU!

Jiji la Arusha hii ni AIBU!

Acha ufala lema anahusika vipi na hiyo mitaa uliosema?
 
Kweli ccm mmeishiwa hoja sasa mnajikata mitama wenyewe au niseme mnajing'ata wenyewe,"CHAMA KILICHOTAWALA MIAKA YOTE NDICHO KINACHOSTAHIL LAWAMA ZOTE ZA KUZUIA MAENDELEO na ndio sababu WANA WA ARUSHA wanasema afadhali ya mkoloni mweupe kuliko huyu mkoloni mweusi ccm na uamuzi wao umesaidia kwani sasa tofauti imeonekana angalau hata zile barabara tulizoachiwa na mkoloni zikiwa na lami chini ya utawala wa miaka 50 wa ccm zilibaki vumbi na mashimo ya kutosha lakini angalau sasa zimeanza kurudishiwa lami."CCM NI JANGA KUU KWA TAIFA".
 
Mbavu za mbwa ndo matunda ya kukikataa chama tawala. Na bado mpaka ifike 2015 zitakuwa ni mbavu za panya..! Mtakula mstari boko mpaka mchague chama tawala..!

usilolijua ni kama usiku wa giza!
Ukweli uko hivi mbavu za mbwa ndo matunda ya chama tawala! tafuta muda tembelea hayo maeneo yanayotajwa!ni aibu tupu...ni nyumba za miaka zaidi ya 20 iliyopita!wananchi wameishi maisha ya tabu mno.wachache sasa wanaweza kubangaiza na kununua viwanja visivyopimwa maeneo ya kwa mrombo(terati) na kisongo ili wajenge japo nyumba za kueleweka! kaka ni aibu kwa serikali!Arusha wameshindwa hata kupima viwanja ili watu wajenge kwa mpangilio!
 
Kiukweli inavyosifiwa Arusha haifanani na misifa inayopewa.
1.Mitaa mingi ina nyumba mbavu za mbwa na iko 1km tu toka katikati ya jiji(Ngarenaro ovyo,Kambi ya fisi ovyo,Matejoo ovyo,Unga ltd ndo usiseme kila kitu ovyo.

2.Mibangi,Mirungi nje nje
Jiji gani hili wamelazimisha tu kua jiji.
hvi we jamaa ni mseeeeeeeeeeeeeeee....la nn? we unataja slams halafu unachukulia ndo zilizobeba Jiji?
unafahamu vigezo gani vinatumika tanzania kwa mji kuwa jiji?
halafu hizo mitaa umecompare na za jiji gani ndo useme hivyo?
 
Ha ha ha haaaaa!Kumbe mabilionea wanaotajwa kila siku wanaishi kwenye nyumba za mbavu za mbwa? Amakweli machariii wa Araa mbwembwe nyingi kumbe hamna kitu.
 
hvi we jamaa ni mseeeeeeeeeeeeeeee....la nn? we unataja slams halafu unachukulia ndo zilizobeba Jiji?
unafahamu vigezo gani vinatumika tanzania kwa mji kuwa jiji?
halafu hizo mitaa umecompare na za jiji gani ndo useme hivyo?
Kwakua umeshakua adicted na Mirungi+Mibange kila kitu unaona sawa.
 
Ha ha haaa! Mabilionea wa kupiga gongo Ngarenaro.
 
Rio de janeiro..montivideo capetown hyo ni mifano ya majiji makubwa duniani ambayo kuna life styles tofauti na mbavu za mbwa zipo sana na.kunaongoza kwa uhalifu..sasa ww utasema vp arusha sio jiji..tuachienu chugga yetu..
 
Mshukuruni Mungu ameiweka Ngorongoro pande hizo,vinginevyo mngeitwa kijiji cha Ujamaa Arusha.
 
kwakweli arusha inatia aibu, katika majiji ya tanzania yenyewe ndo inaburuza mkia, mji mchafu unanuka ndo maana wakazi wake wameukimbia na kwenda dar, mwanza, mbeya. mwezi december wanarudi migombani mwao kama mang'ombe yanapelekwa malishoni.
 
That's the uniqueness of arusha and dont jaribu kuiforce iwe unavyotaka,arusha ni jiji kutokana kwanza na defn. Ya city iliyosoma ktk somo la geography then services comes later! Haiwezi kua kama dar o mwz o any other blood hell area,let it shine that way! Usikurupuke na kubwata,pumbav weeee!....R CHUGGAH YEREEEEEEE
 
Kiukweli inavyosifiwa Arusha haifanani na misifa inayopewa.
1.Mitaa mingi ina nyumba mbavu za mbwa na iko 1km tu toka katikati ya jiji(Ngarenaro ovyo,Kambi ya fisi ovyo,Matejoo ovyo,Unga ltd ndo usiseme kila kitu ovyo.

2.Mibangi,Mirungi nje nje
Jiji gani hili wamelazimisha tu kua jiji.

Karibu chuga, utapazoea tu! Usisau kwenda kijenge juu ukapate chibuku la mbege!
 
Semeni yoooooooooooooooooooooooooooooote lakini Arusha itabaki kuwa Arusha na mambo yote muhimu Tanzania yatafanyika Dar au Arusha wengine woooooooooooooooooooooooooooooote hata bwamdogo Davido hawezi kuona sehemu ya kunywa chai achilia mbali kulala.

Mji uko busy watu wanasaka noti kwa bidii then bata bataniiiiiiiiiiiiiii kama Geneva sio wengine wanasubiri hisani ya E Masters kupeleka madisko ya Maisha Club walau wapate vijiraha kidogo alafu humu mnachoooooooooooooooooooonga! oooh mbavu za mbwa! mara mji km 1 nyoooooooooooo! misele ya Clock tower, kona ya Nairobi mnaona mnaijuaaaaaaaaa Ara siyo?

Ara Chuga stand up!!!!!!!!!!

CC Preta
 
Last edited by a moderator:
Huko kukariri ubilionea nako kunaharibu!
Nchi hii mabilionea ni
1.Rostam Aziz
2.Reginald Mengi
3.Mohamed Dewji
4.S Bakhressa
Hawa wa Arusha ni wapenda misifa tu.
2.
Mengi ana biashara gani za kuitwa bilionea?
 
Mshukuruni Mungu ameiweka Ngorongoro pande hizo,vinginevyo mngeitwa kijiji cha Ujamaa Arusha.

Mimi siyo mkazi wala mwenyeji wa Arusha, but am sorry to say your opinion is biased you cannot be a good judge.
 
Kiukweli inavyosifiwa Arusha haifanani na misifa inayopewa.
1.Mitaa mingi ina nyumba mbavu za mbwa na iko 1km tu toka katikati ya jiji(Ngarenaro ovyo,Kambi ya fisi ovyo,Matejoo ovyo,Unga ltd ndo usiseme kila kitu ovyo.

2.Mibangi,Mirungi nje nje
Jiji gani hili wamelazimisha tu kua jiji.
Akili ndogo, hizi halafu unakuta aliepost hii eti na yeye anafamilia kabisa.
 
Back
Top Bottom