Mbavu za mbwa ndo matunda ya kukikataa chama tawala. Na bado mpaka ifike 2015 zitakuwa ni mbavu za panya..! Mtakula mstari boko mpaka mchague chama tawala..!
Kipeni nafasi nyingine, Arusha itakuwa Ulaya ya AfricaHicho chama tawala kimetawala kwa muda gani huko Arusha? Mbona hakuna mabadiliko yoyote? Hakina jipya zaidi ya UFISADI TU, tupa kule!