Kwa wanaofanya short course watoto wakike zingatieni masomo msidanganywe na huyu fiasadi wa mapenzi
More detail about this casanova please.
Namjua huyo mkuu ukitaka detail zaidi mpeleke mtoto mzuri Dar Tech uone atakavyompokea
Kwa wanaofanya short course watoto wakike zingatieni masomo msidanganywe na huyu fiasadi wa mapenzi
Kwa wanaofanya short course watoto wakike zingatieni masomo msidanganywe na huyu fiasadi wa mapenzi
Haya huyo hapo sina hamu naye binamu yangu ameacha masomo hivi hivi..
Na wanaowatetea waharibifu wana nafasi gani kwa Mungu?Mmbeya hana urithi mbele za Mungu, na Mungu anasisitiza kuwa wambeya wote nitawatia ukibogoyo!
Mmbeya hana urithi mbele za Mungu, na Mungu anasisitiza kuwa wambeya wote nitawatia ukibogoyo!
Mr Robati za Toronto -Ontario ndugu yangu naona huyu mtoto wa Baba wa Taifa anafurahia ufisadi wa mapenzi kwa kutaja vifungu vya Bible hakika atalaniwaKijana wa Hayati Baba wa Taifa upo? Nawewe unamfahamu bwana Majura, a.k.a Mwalimu lamba lamba?