Jack Lee
Senior Member
- Feb 23, 2011
- 152
- 65
Hii nimeikuta sehemu nikasema ngoja ni share na wewe kidogo mkuu Be forward wamejaza watu wangi mitandaoni kazi yao ni kupiga propaganda lakini ukweli magari yao sio.Ungefuatilia mjadala huko juu kabla ya comment hizo mbili ungeelewa kwa nini nmemjibu hivyo.
Tafadhali jitahidi kusoma ya juu kabla ya kudandia treni katikati.
Nichafue kampuni ili iwaje? Je umeona nimetaja kampuni yoyote kuhusu utapeli?
Sidhani kama ni wahuni ila kwa experience ya watu wachache naowajua, gari za hii kampuni ni unanunua at your own risk. Hawana gari nzuri kama kwa mfano TRUST (japanesevehicles.com) au enhance auto, realmotor, autocom. Kuna watu wawili gari zikikuja na hali mbaya, moja ikakataliwa na TBS, mpaka repairs fulani zifanyike. Ila hizi kampuni nyingine gari hata ikiwa na mileage kubwa bado inakuwa nzima sana.