Jihadhari na makampuni ya Kitanzania yanayoagiza magari

Hapa sijaona kampuni yoyote ya wabongo zaidi ya porojo makampuni yote Dunia yana majina sijaona jina hata moja la kampuni inayoshutimiwa kufanya utapeli, mleta mada ametumwa na Be forward na SBT kuchafua makampun ya wazawa kwaujila kidogo nanyie mnaingia kwenye mtego na kukandamiza nduguzenu kwatuhumu za uongo nakushangili wahindi wakichukua fursa zenu mswahili acha ujinga amka kwenye usingizi wa pono mleta mada kama kweli anachokiongea ataje jina la kampuni na watu wote waliotepiliwa kwa namna moja au nyingi waweke ushahidi wasije porojo na kuchafuliana hii ni tabia mbaya sana watu wanalipa kodi wanaajiri watu mtu moja naishi kwa shemeji yake anakuja nakufungua uzi wakuchafua makampuni bila ushahidi.
Kijana sijui umekunywa mchuzi wa wapi...

Wabongo ni matapeli wa kutupwa wengi janja janja tu.

Ikifikia muda wa kuleta ushahidi nitakuletea.

Ila hawa wa lipia nusu na gari ikifika utamalizia wengi ni wezi hakuna lolote...

Soma post za juu nmeweka baadhi ya convo....

Most of them ni matapeli wakubwa....
 
Kijana sijui umekunywa mchuzi wa wapi...

Wabongo ni matapeli wa kutupwa wengi janja janja tu.

Ikifikia muda wa kuleta ushahidi nitakuletea.

Ila hawa wa lipia nusu na gari ikifika utamalizia wengi ni wezi hakuna lolote...

Soma post za juu nmeweka baadhi ya convo....

Most of them ni matapeli wakubwa....
Nimesoma comments zote vizuri kunakitu nimejifunza, mleta mada kaanzisha mjadala mzito sana na muhimu bila kujua japo yeye alilenga baadhi ya wazawa baada ya kupitia comment moja baada ya nyingine nimegundua kuna udanganyifu mkubwa pia unafanywa na makampuny makubwa ambaya mnaya promot hapa jamvini, inawezekana wanaumiza watu wengi kinjanja bila hata baadhi ya wateja wao kujua hii imejulikana.

Digxam waendelee kutoa elimu ili waagizaji tuelewe jinsi kutambua grade za magari ikiwezekana watuweke na bei kulingana na grade za magari kwenye minada pia watuambia kila grade inamaana gani hii elimu ni muhimu watu wakijua na kuelewa inasaidia sana itatutoa kwenye mabox

Makampuni mengi yanatumia uelewa ndogo wa wateja wao kuwatapeli kuwauzi magari yenye grade ndogo kwa dhami ya grade ya juu , mtu anagundua baada ya mika milia au mitatu kuwa alipigwa kama ni gari la biashara linarejesho litasumbua sana .
 
Nimesoma comments zote vizuri kunakitu nimejifunza, mleta mada kaanzisha mjadala mzito sana na muhimu bila kujua japo yeye alilenga baadhi ya wazawa baada ya kupitia comment moja baada ya nyingine nimegundua kuna udanganyifu mkubwa pia unafanywa na makampuny makubwa ambaya mnaya promot hapa jamvini, inawezekana wanaumiza watu wengi kinjanja bila hata baadhi ya wateja wao kujua hii imejulikana.

Digxam waendelee kutoa elimu ili waagizaji tuelewe jinsi kutambua grade za magari ikiwezekana watuweke na bei kulingana na grade za magari kwenye minada pia watuambia kila grade inamaana gani hii elimu ni muhimu watu wakijua na kuelewa inasaidia sana itatutoa kwenye mabox

Makampuni mengi yanatumia uelewa ndogo wa wateja wao kuwatapeli kuwauzi magari yenye grade ndogo kwa dhami ya grade ya juu , mtu anagundua baada ya mika milia au mitatu kuwa alipigwa kama ni gari la biashara linarejesho litasumbua sana .


Pitia mfano huu uzi.

We have a lot to learn...
 


Pitia mfano huu uzi.

We have a lot to learn...
Mkuu unaonekana uko kimkakati kuchafua makampuni ya wazawa kama wew ni raia wa Tanzania utakua na metality za kitumwa jamaa kakuambia utoe elimu kuhusu udanganyifu wa grade za magari unamtoa kwenye reli jikite kwenye mada acha janja janja ili mwende sawa inawezeka mwisho wa picha ukaonekama tapeli bila kuweka mambo sawa
 

So What Are The Major Japanese Car Auction Grades?​

With that said, let’s look at the different overall auction grades and what they mean about the overall condition of the car:
Grades 7, 8, 9 or S– These refer to a brand new car with only delivery mileage.
Grade 6– This grade can sometimes be equivalent to the grades above, but sometimes will have a little more than just delivery mileage.
Grade 5– A vehicle in superb condition, very close to brand new standard, but with several thousand kilometers on the odometer.
Grade 4.5– A vehicle in excellent condition, but with up to a few tens of thousands of kilometers on the clock.
Grade 4– A good, solid vehicle usually having less than 100,000 km on the clock.
Grade 3.5– A higher mileage vehicle or one which will need some work to clean up.
Grade 3– Either a very high mileage vehicle or one which is rough.
Grade 2– A very rough vehicle usually with corrosion holes triggering this low grade.
Grade 1– Usually a heavily modified vehicle which has had a different engine or transmission fitted, or which has an aftermarket turbo charger. Other possibilities are flood or fire extinguisher damage.
Grade R, RA, A and 0 (zero)– These are vehicles that have had some degree of accident repairs. At one end of the spectrum the repairs will be a single panel replaced due a minor parking ding, whereas at the other extreme there are vehicles that must have rolled in an accident which have had almost every panel replaced.
Ungraded vehicles ()– These are sold as-is by the auction with no or almost no information about their condition. As such they are very risky and can result in escalating additional costs if they cannot drive or move.

What Kind Of Information Is Available On An Auction Sheet?​

The first thing you will notice is that you probably can’t read most of this as it is in Japanese. Well don’t worry about that as this is what we are here for you www.digxam.com . For any cars you have a serious interest in bidding on, you can request a translation from a highly-qualified human translator.
You will also spot that the inspection reports are divided into sections, as you can see on the left. Some parts you can read, such as the overall grade, interior grade or the annotations on the "car map".
So, what are the main sections in this report?
  • Details of the car itself (such as KM, model name, basic equipment etc)
  • The overall grading of the car.
  • This includes the interior grade (and sometimes also exterior grade) of the car.
  • Seller’s sales points.
  • Auction inspector’s written comments.
  • The “car map” showing exterior damage
Auction Grade is the Auction Inspector's assessment of the o...
 
Na hizi habari sambazeni na kwenye ma group ya whatsapp kwa wingi.

Sipendi dhuluma na uonevu. Kama ni Hela Mtu Atafute Ya Halali Sio Kuonea na Kudhulumu Wengine Plus ni mambo kama haya yanafanya hata wengine wanaofanya biashara hizi ki halali na wao waonekane sio wa kweli.

It Has To End.
Wakiniambia nilipe nusu wanipe kishika uchumba nami niwe na amani kwamba wakizingua napiga bei kurudisha pesa yangu.
Haiwezekani unawaingizia milion 20 halafu wao wanakupa vikaratasi visivyo na mbele wala nyuma.

Wabongo ubabaishaji tutaacha lini?
 
Mkuu unaonekana uko kimkakati kuchafua makampuni ya wazawa kama wew ni raia wa Tanzania utakua na metality za kitumwa jamaa kakuambia utoe elimu kuhusu udanganyifu wa grade za magari unamtoa kwenye reli jikite kwenye mada acha janja janja ili mwende sawa inawezeka mwisho wa picha ukaonekama tapeli bila kuweka mambo sawa
Ungefuatilia mjadala huko juu kabla ya comment hizo mbili ungeelewa kwa nini nmemjibu hivyo.

Tafadhali jitahidi kusoma ya juu kabla ya kudandia treni katikati.

Nichafue kampuni ili iwaje? Je umeona nimetaja kampuni yoyote kuhusu utapeli?
 

So What Are The Major Japanese Car Auction Grades?​

With that said, let’s look at the different overall auction grades and what they mean about the overall condition of the car:
Grades 7, 8, 9 or S– These refer to a brand new car with only delivery mileage.
Grade 6– This grade can sometimes be equivalent to the grades above, but sometimes will have a little more than just delivery mileage.
Grade 5– A vehicle in superb condition, very close to brand new standard, but with several thousand kilometers on the odometer.
Grade 4.5– A vehicle in excellent condition, but with up to a few tens of thousands of kilometers on the clock.
Grade 4– A good, solid vehicle usually having less than 100,000 km on the clock.
Grade 3.5– A higher mileage vehicle or one which will need some work to clean up.
Grade 3– Either a very high mileage vehicle or one which is rough.
Grade 2– A very rough vehicle usually with corrosion holes triggering this low grade.
Grade 1– Usually a heavily modified vehicle which has had a different engine or transmission fitted, or which has an aftermarket turbo charger. Other possibilities are flood or fire extinguisher damage.
Grade R, RA, A and 0 (zero)– These are vehicles that have had some degree of accident repairs. At one end of the spectrum the repairs will be a single panel replaced due a minor parking ding, whereas at the other extreme there are vehicles that must have rolled in an accident which have had almost every panel replaced.
Ungraded vehicles ()– These are sold as-is by the auction with no or almost no information about their condition. As such they are very risky and can result in escalating additional costs if they cannot drive or move.

What Kind Of Information Is Available On An Auction Sheet?​

The first thing you will notice is that you probably can’t read most of this as it is in Japanese. Well don’t worry about that as this is what we are here for you www.digxam.com . For any cars you have a serious interest in bidding on, you can request a translation from a highly-qualified human translator.
You will also spot that the inspection reports are divided into sections, as you can see on the left. Some parts you can read, such as the overall grade, interior grade or the annotations on the "car map".
So, what are the main sections in this report?
  • Details of the car itself (such as KM, model name, basic equipment etc)
  • The overall grading of the car.
  • This includes the interior grade (and sometimes also exterior grade) of the car.
  • Seller’s sales points.
  • Auction inspector’s written comments.
  • The “car map” showing exterior damage
Auction Grade is the Auction Inspector's assessment of the o...
Good mkuu....
 
Mkuu unaonekana uko kimkakati kuchafua makampuni ya wazawa kama wew ni raia wa Tanzania utakua na metality za kitumwa jamaa kakuambia utoe elimu kuhusu udanganyifu wa grade za magari unamtoa kwenye reli jikite kwenye mada acha janja janja ili mwende sawa inawezeka mwisho wa picha ukaonekama tapeli bila kuweka mambo sawa
Watu wanatapeliwa nyie mnakalia uzawa uzawa. Kwani mimi uliyenitapeli sio mzawa?

Nyie ndio wale mnashirikiana nao mpo kwenye group za whatsapp mnajaza watu upepo....

Pathetic....
 
Watu wanatapeliwa nyie mnakalia uzawa uzawa. Kwani mimi uliyenitapeli sio mzawa?

Nyie ndio wale mnashirikiana nao mpo kwenye group za whatsapp mnajaza watu upepo....

Pathetic....
Kwenye magroup ya whatspp na FB ndio kuna makampuni ya waagizaji wa magari nani asiejua kumejaa utapeli na sio wa magari tu bali kunautapeli wa kila aina na sio hapa Tanzania tu bali ni sehemi kibao Dunia pia wanaotapeliwa kupitia kwenye magroup ni washamba tatizo hapa ni kichwa cha habari kinaonyesha nia yako kwa makampuni ya ndani kuwa sio mzuri pia na mtazamo wako pia kwa makampuni ya ndani sio mzuri.
 
Kwenye magroup ya whatspp na FB ndio kuna makampuni ya waagizaji wa magari nani asiejua kumejaa utapeli na sio wa magari tu bali kunautapeli wa kila aina na sio hapa Tanzania tu bali ni sehemi kibao Dunia pia wanaotapeliwa kupitia kwenye magroup ni washamba tatizo hapa ni kichwa cha habari kinaonyesha nia yako kwa makampuni ya ndani kuwa sio mzuri pia na mtazamo wako pia kwa makampuni ya ndani sio mzuri.
Kwani hata wakiwa na website si watakupa contact na mwishowe wataanza kuwasiliana na wewe through whatsapp? Na ofsini utapelekwa na kupigwa utapigwa.... Haki yako unaweza ipata ila kwa ubabaishaji...

Tapeli ni tapeli na wabongo wengi ni matapeli...

We angalia aina za magari yote kilomita ni chini ya 60,000. Wizi tu.
 
Hata wakina Beforwad na Autocom ni makampuni yanayo deal na magari ya ajali, mafuriko na grade za chini sana. Ndio maana gari zao ni Cheap

Mwenye rating ya gari za grade ya juu sana na watanzania wengi hawanunui huko ni enhance-auto.jp hao wana gari chache lkn za bei mkasi Na za ubora, kwasababu wanauza grade nzuri sana.

Enhance gari zao huwez kuta za ajali, au zenye kutu. Ingia hata kwa website yao uone bei na quality ya gari na mara nyingi wanaweka auction sheet wazi.

Ila akina bi-mbele kama kawa kama dawa sema ni waaminifu ila gari zao ni choka mbaya
 
Hata wakina Beforwad na Autocom ni makampuni yanayo deal na magari ya ajali, mafuriko na grade za chini sana. Ndio maana gari zao ni Cheap

Mwenye rating ya gari za grade ya juu sana na watanzania wengi hawanunui huko ni enhance-auto.jp hao wana gari chache lkn za bei mkasi Na za ubora, kwasababu wanauza grade nzuri sana.

Enhance gari zao huwez kuta za ajali, au zenye kutu. Ingia hata kwa website yao uone bei na quality ya gari na mara nyingi wanaweka auction sheet wazi.

Ila akina bi-mbele kama kawa kama dawa sema ni waaminifu ila gari zao ni choka mbaya
Wabongo wengi hata zilizopata ajali hawana na pesa yako nyingi wakutapeli wewe huoni tofauti?
 
Hata wakina Beforwad na Autocom ni makampuni yanayo deal na magari ya ajali, mafuriko na grade za chini sana. Ndio maana gari zao ni Cheap

Mwenye rating ya gari za grade ya juu sana na watanzania wengi hawanunui huko ni enhance-auto.jp hao wana gari chache lkn za bei mkasi Na za ubora, kwasababu wanauza grade nzuri sana.

Enhance gari zao huwez kuta za ajali, au zenye kutu. Ingia hata kwa website yao uone bei na quality ya gari na mara nyingi wanaweka auction sheet wazi.

Ila akina bi-mbele kama kawa kama dawa sema ni waaminifu ila gari zao ni choka mbaya
Ukweli ni kwamba Iliuweze kufanya biashara ni lazima usome soko linatakaje, ukifanya kinyume na matakwa ya soko magari yako au bidhaa zako utapiganazo picha nfano mzuri nenda kariakoo makampuni kama Panasonic, Philips, Hitachi, Honda, shap ... bidhaa zao ni adimu sana kwasabu wateja wanaangalia bidhaa za bei nafuu bila kuangalia ubora wa bidhaa .

Wanunuzi wengi wanatafuta magari ya bei chee ukiweka magari yenye viwango kwenye tovuti yako baadhi ya wateja watakuona mwizi kutona na uelewa ndogo ndio maana Makampuni mengi ya Wajapan na wazungu wanatafuta masoko ulaya na nchi zingine kutokana na changamoto kama hizi, bidhaa nynigi tunazouziwa Africa viwango vyake vinautata bora used ulaya kuliko bidhaa mpya.

Baada ya kugundua changamoto za bei na viwango tukaweka huduma ya mteja kuagiza bidhaa au gari lenye grade nzuri kwa gharama nafuu sana nfano unataka gari lenye grade mzuri mteja wetu anaweka order tunamshirikisha kwenye mchakato mzima baada ya manunuzi kukamilika mteja atalipia gari lake kwa bei za kawaida .
 


Pitia mfano huu uzi.

We have a lot to learn...

Wabongo wengi wavivu mzee, BF wanafanya poa sana so far
 
Kampuni za bongo ni janja janja.
Hii nimeikuta sehemu na wewe ulikoment siku hiyo leo unatuambia waswahili matapeli,ukitapeliwa na Be forward unaita changamoto

Kuna rafiki yangu aliagiza noah kupitia hii kampuni ya Be forward , kulipokea gari bandarini dar , Tairi zote hazikufaa kutoka gari hapo ubungo ni mbovu na ball joint zote miguu ya mbele zilikuwa zimekufa.changamoto sio? Ulichokisema mkuu Uko sawa sawa kabisa.
Wana ofisi kule Moshi Kilimanjaro, ina Japan mfanyakazi mmoja , Kila siku anatafutwa na wafanyakazi wa uhamiaji .
 
Back
Top Bottom