blance86
JF-Expert Member
- Aug 31, 2016
- 2,165
- 5,713
Lazima ajibiwe mbovu maana hapo pampu zimetengwa kabisa na zinamaandishi makubwa tu huyu jamaa itakuwa ni chapombe..
Walokole ndio wanajibu mbovu namna hio?
ukiweka mafuta gari inatetema kama inacheza ule wimbo wa daimondi
