Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,316
- 24,179
Gari yangu ya diesel na nikawekewa petroli, nimewekewa mara mbili!
Nimeapa kutorudi kuweka mafuta hapo.
Kuna katatizo hapa.
Na manager aakawa mbishi na kusema ni shauri lako!
Sijui EWURA wanasemaje hapo.
NB
Kuna wadau mtawaona huko mbele wanadai nimeandika kwa chuki binafsi au nilikuwa nawania mbabibi hapokituoni.
Si kweli maana niliingia hapo kama emergency baada ya kuishiwa mafuta na kubaki na level ya mafuta chini ya robo.
Si kituo nilicho na kawaida ya kuweka mafuta pale.
Pili huyo msichana aliyeweka mafuta ya petrol na mafundi walionyesha ushirikiano.
Tatizo ni dharau za manager baada ya kumlakamikia kuwa hili ni tukio la pili kituoni hapo, na wala hakutaka kunisikiliza.
Na nikaahidi kuliweka hili wazi ili watoao leseni wajue hatari za kutokuwa na vituo vyao visivyokjwa na customer care or service.
Na wananchi wajue kuwa ukienda pale the risk is all yours.
Nimeapa kutorudi kuweka mafuta hapo.
Kuna katatizo hapa.
Na manager aakawa mbishi na kusema ni shauri lako!
Sijui EWURA wanasemaje hapo.
NB
Kuna wadau mtawaona huko mbele wanadai nimeandika kwa chuki binafsi au nilikuwa nawania mbabibi hapokituoni.
Si kweli maana niliingia hapo kama emergency baada ya kuishiwa mafuta na kubaki na level ya mafuta chini ya robo.
Si kituo nilicho na kawaida ya kuweka mafuta pale.
Pili huyo msichana aliyeweka mafuta ya petrol na mafundi walionyesha ushirikiano.
Tatizo ni dharau za manager baada ya kumlakamikia kuwa hili ni tukio la pili kituoni hapo, na wala hakutaka kunisikiliza.
Na nikaahidi kuliweka hili wazi ili watoao leseni wajue hatari za kutokuwa na vituo vyao visivyokjwa na customer care or service.
Na wananchi wajue kuwa ukienda pale the risk is all yours.