Naomba kutoa tahadhari kwa
anae tarajia kuroot simu yake kwa
kutumia Framaroot.
1--> Hakikisha simu yako ni
original mfano kama ni tecno basi
iwe tecno original sio copy,na
nyinginezo zisiwe copy.
2-- Hakikisha simu yako ipo ktk
orodha ya simu zinazo weza kuwa
rooted na hiyo framaroot kwa
kutembelea site yao
Framaroot - rooting your device for one click! Free download framaroot.
3- kama umejaribu mara moja
ikagoma,, ushauri wangu usijaribu
tena.
Mimi nimmoja wa wahanga
kutokana na uzi huu
jinsi ya kuroot simu kwa framaroot
Nilifanya hivyo kwa huawei G610,
kilichotokea baada ya kumaliza
hatua zote simu imekuwa ni
kuzima na kuwaka tu.
Hapa najipanga kwa gharama za
ku flash if possible.