Jakowili
Member
- Jun 4, 2012
- 68
- 36
Tecno phantom A+ baada ya ku instal inaleta hyo kitu, nkibonyeza ok! Inafunga
Ata mm nimejaribu nimefikia hapo hapo, kwa wajuaji wa haya mambo msaada tutani natumia samsung galaxy s 5(mchina)
Tecno phantom A+ baada ya ku instal inaleta hyo kitu, nkibonyeza ok! Inafunga
Ata mm nimejaribu nimefikia hapo hapo, kwa wajuaji wa haya mambo msaada tutani natumia samsung galaxy s 5(mchina)
jamn mi nimefikia hapa na nime root kwenye hyo ya chini sasa nafanyaje baad ya hapo.
me niliharibu yangu Huawei Y300 baada ya ku root nikatafuta rom inayofaa nikaiingizza saahii inapiga mzigo na rom isiyo ya huawei.ni issue ndogo tu.
Wana jamii forums,
Nimekuwa nikiliona hili neno 'kuroot' simu mara kwa mara humu jamvini na hadi hivi sasa sijajua maana yake.
Swali.
1. Kuroot simu maana yake ni nini?
2. Faida na hasara za kuroot simu ni zipi?
Mfano. Simu yangu ni Alcatel Onetouch TCL S500 Dual
Naomba msaada wa kimaelezo.