keshokutwa
Member
- Oct 14, 2014
- 66
- 18
Version 4.0.4
Version 4.0.4
Ndio nahitaji
Naunga mkono mi mwenyewe sielewiiiMkuu,kwanza ungeanza kwa kutupa shule,ku-root ni kitu gani na kina faida fani,wengine hatujui haya mambo,sio kila mwanaJF humu ni CHIEF MKWAWA
Naomba kuuliza.Nime install tayari na imekuja kama mnavyoona hapo kwenye picha.Je cm yangu itakuwa tayari imesha root...??? Tazama picha
Vipi vodaphone smart 4 mini? inaweza root?