Mbunge wa CCM
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 475
- 22
......kwa nini ukubali uzinzi wakati umepewa ufahamu wa kukubali mema na
mabaya
uzinzi kama tendo ni jema, linafurahisha na kuburudisha, linondoa msongo wa mawazo na kujenga hali ya kujiamini. ni nyenzo kubwa zaidi ya zote ya kujenga ujamaa katika jamii (socialization) na kiungo cha msingi cha mahusiano ya kindoa ama yanayofanana na hayo yenye kudumu muda mrefu.
ni dawa kwa wanawake na wanaume wenye shida katika saikolojia zao, ukitaka kuahirisha kirahisi kujinyonga, fanya tendo la ndoa hata na mtu asiye chaguo lako kitanzi kikiwa mbele yako, utaahirisha!
ni wazi kwa msingi huu tendo hili limepunguza sana visa vya kujiua. amini usiamini. kutokana na uwezo huu wa kuchagua jema na baya mwanadamu ameona ngono ni njema na ndiye kiumbe miongoi ma viumbe wote wa Mwenyezi Mungu amnayefanya ngono mara nyingi zaidi, akiwa na sababu mbalimbali na malengo mbalimbali. vumbe wengine hufanya bila lengo (japo wanazaana kwa tendo hilo) bali kwa sababu ya ashiki za madume na misimu ya majike.
.........hakuna mapenzi mazuri kama mkiwa ndani ya ndoa.............
kama ndani ya ndoa kungekuwa na mapenzi hata mabaya (sembuse mazuri) nani angekuwa na nyumba nogo leo?
hata hiyo naunga mkono wito wa uchaji wa Mungu
mabaya
uzinzi kama tendo ni jema, linafurahisha na kuburudisha, linondoa msongo wa mawazo na kujenga hali ya kujiamini. ni nyenzo kubwa zaidi ya zote ya kujenga ujamaa katika jamii (socialization) na kiungo cha msingi cha mahusiano ya kindoa ama yanayofanana na hayo yenye kudumu muda mrefu.
ni dawa kwa wanawake na wanaume wenye shida katika saikolojia zao, ukitaka kuahirisha kirahisi kujinyonga, fanya tendo la ndoa hata na mtu asiye chaguo lako kitanzi kikiwa mbele yako, utaahirisha!
ni wazi kwa msingi huu tendo hili limepunguza sana visa vya kujiua. amini usiamini. kutokana na uwezo huu wa kuchagua jema na baya mwanadamu ameona ngono ni njema na ndiye kiumbe miongoi ma viumbe wote wa Mwenyezi Mungu amnayefanya ngono mara nyingi zaidi, akiwa na sababu mbalimbali na malengo mbalimbali. vumbe wengine hufanya bila lengo (japo wanazaana kwa tendo hilo) bali kwa sababu ya ashiki za madume na misimu ya majike.
.........hakuna mapenzi mazuri kama mkiwa ndani ya ndoa.............
kama ndani ya ndoa kungekuwa na mapenzi hata mabaya (sembuse mazuri) nani angekuwa na nyumba nogo leo?
hata hiyo naunga mkono wito wa uchaji wa Mungu