Jifunze kuingia kompyuta yoyote yenye password

Nishawai ku bypass password ya BIOS, nilikua natoa CMOS battery then nasubira like 2-4 Minutes then nalirudisha, nikiwasha....The password is gone!
 
Your just out of your MIND Little bird
.
UMEKOSA VYA KUIBA HADI UNATAKA KUJIIBIA MWENYEWE

"You're" or "You are" would have been the right word big bird.

Kama lugha za watu ni tatizo si ungeandika kwa lugha yako tu. Yanini tabu na raha ipo?

Wewe kama hujui jibu la niliyoyauliza, kaa kimya.
 
YOUR RUNNING FAST but OUT OF THE TRACK, language ts not a matter, even you to ENGL language is your LINGUA FRANCA
.
Do you expect you should get, the hacking tricks concerning dis Forum members Invisible and the Moderator?
.
go and hack your ------- account first Kazuya
.
.
"You're" or "You are" would have been the right word big bird.

Kama lugha za watu ni tatizo si ungeandika kwa lugha yako tu. Yanini tabu na raha ipo?

Wewe kama hujui jibu la niliyoyauliza, kaa kimya.
 
Last edited by a moderator:
Je waeza by pass mail ya mtu? Kama kuna uwezekano huo basi tuna shida maishani mwetu!

hata usiumize kichwa download phrozen key logger lite install kwa mashine yake ukimaliza itakuambia uweke password yaku access then your good to go ila hakikisha kufuta icon yake kwenye desktop ikitokea. hii app ita nasa chochote atakacho type na kukuhifadhia kwa tarehe husika. ukitaka soma au kupata password zake akisha tumia muombe PC yake fungua app yako kwa njia ulio kuelekeza default inakuwa ctrl + f2 then weka password ile ulioweka ikifunguka angalia tarehe husika utaona vyote alivyo type tafuta password ya email yake. then mchezo umeisha ukisha maliza install hyo app ili asije jua
 
fate nenda kwa mwenzio aliyekua experienced mwaamie akuburnie image hii ahakikishe anaenda option ya kuburn image nadhani ashampoo itafaa maana watu wengi huitumia
 
YOUR RUNNING FAST but OUT OF THE TRACK, language ts not a matter, even you to ENGL language is your LINGUA FRANCA
.
Do you expect you should get, the hacking tricks concerning dis Forum members Invisible and the Moderator?
.
go and hack your ------- account first Kazuya
.
.

Umerudia tena makosa yaleyale na ukaona haitoshi ukaongeza na mengine. Tumia Kiswahili kama unakielewa, italeta ladha ya maandiko yako, kuparanganya lugha za watu unatoa utamu wa maandiko yako na hausomeki.

Blah blah blah blah blah
 
Sijaribu kwa sababu sina ujuzi huo, lakini nikipata hacker ataeingia humu na kunipa uwezo, wa kwanza kumlamba ban ni Moderator wa jukwaa la siasa, wa pili ni Invisible, wa tatu Paw na kila Moderator ntamtesa kivyake.

Hata ukipata hacker wa kukuelekeza hutaelewa kitu, kama wewe ni Mbulura kwenye, programming language, utabaki kuwa mbulura, kwenye HACKING, na hutaweza kufind bugs/holes
una penda kuwa hack akina, Invisible alafu unaweka wazi, wazi, usiongee tu vi2 kwa kujisikia, hawa jamaa wana rights zote,
ni sawa na wanakumilik wewe, wanauwezo waku kufungia account, na kila k2 ila sio wewe usie jua hata kufind bugs, anza kujifunza ku hack email, na Fb accounts, na kabla ya kuja humu kuwa hack ma robot, anza na Jf Users, kwa kujifunza uje anza na ku n hack mm, ila sio ukurupuke kum hack Invisible"
 
Last edited by a moderator:
Hata ukipata hacker wa kukuelekeza hutaelewa kitu, kama wewe ni Mbulura kwenye, programming language, utabaki kuwa mbulura, kwenye HACKING, na hutaweza kufind bugs/holes
una penda kuwa hack akina, Invisible alafu unaweka wazi, wazi, usiongee tu vi2 kwa kujisikia, hawa jamaa wana rights zote,
ni sawa na wanakumilik wewe, wanauwezo waku kufungia account, na kila k2 ila sio wewe usie jua hata kufind bugs, anza kujifunza ku hack email, na Fb accounts, na kabla ya kuja humu kuwa hack ma robot, anza na Jf Users, kwa kujifunza uje anza na ku n hack mm, ila sio ukurupuke kum hack Invisible"

Wacha utoto wewe. Nna knowledge ya kompyuta kuliko wewe, ujichanganye na mwalim wako, mwalim wako nae ajichanganye na mwalim wako. Bado mtakuwa hamjafikia robo ya ujuzi niliokuwa nao kwenye kompyuta.

You are simply an uneducated fool from an uneducated school.

Povu lote linakutoka lanini? wewe ndio Moderator? wewe ndio Invisible?

Unaongelea wao kunimiliki mimi? pathetic, labda wanakumiliki wewe.
 
Last edited by a moderator:
Nna knowledge ya kompyuta kuliko wewe, ujichanganye na mwalim wako, mwalim wako nae ajichanganye na mwalim wako. Bado mtakuwa hamjafikia robo ya ujuzi niliokuwa nao kwenye kompyuta

Ntasimamia hapo.

.
Una haki ya ku jikweza mana, haitakiwi hata cku moja, mwanamke kujishusha Eeeeh we computer unaijua kwely yan
.
1455188_441081459347732_206340484_a.jpg

.
Nikisomaga kitabu hiki kinanifurahishaga sana
 
Ntasimamia hapo.

.
Una haki ya ku jikweza mana, haitakiwi hata cku moja, mwanamke kujishusha Eeeeh we computer unaijua kwely yan
.
1455188_441081459347732_206340484_a.jpg

.
Nikisomaga kitabu hiki kinanifurahishaga sana


Nimeanza kutumia kompyuta yangu binafsi mwaka 1982, siku hizo kama hujui programming ya aina fulani huwezi kutumia kompyuta. Upo hapo ulipo?

Na kabla ya hapo nimetumia kompyuta za kazini zilizokuwa na "unique programming language iitwayo SL1", ni lugha ya kwanza kutumika katika mitambo ya "digital", lugha hiyo ilitumika katika mtambo wa kwanza kamili wa mawasiliano ya "digital" ulioitwa NT SL1 DPABX.

Nimesoma chuo kiitwacho Bell Northern Research kilichopo Bellevue Canada. Nenda ka google ujuwe hiki ni chuo cha nini ujipatie faida, na hiyo ni early 80's. Nnajivunia sana kuwa Mtanzania wa kwanza aliyeweza kufika chuo hicho (highly prestigious) kwenye nyanja ya mawasiliano na ndicho kilichovumbuwa mtambo wa kwanza kamili wa mawasiliano ya "digital". Upo hapo ulipo?

Usione vinaelea vimeundwa. Usione tunaingia haya majukwaa ya teknolojia tukaandika mambo ya utani ukadhani kuwa sisi mamburula kama wewe. Ukifatilia japo kwa uchache maoni yangu kwenye jukwaa hili utapata japo sura ya mbali, mimi ni wa aina gani. Usione kikiulizwa kitu humu, sisi twakaa kimya, tunawaachia vijana wajifarague, mara moja moja tunapoona mtu kauliza kitu ambacho vijana kinawapiga chenga ndio huingia na kutoa ushauri wetu kwa mbali. Huwa hatujigambi kwa ujuzi wetu mpaka anapotokea mjinga mjinga mmoja hivi asiyetujuwa ndio humfungulia kiduchu kumweka kwenye mstari, mfano mzuri ni wewe.
 
Nimeanza kutumia kompyuta yangu binafsi mwaka 1982, siku hizo kama hujui programming ya aina fulani huwezi kutumia kompyuta. Upo hapo ulipo?

Na kabla ya hapo nimetumia kompyuta za kazini zilizokuwa na "unique programming language iitwayo SL1", ni lugha ya kwanza kutumika katika mitambo ya "digital", lugha hiyo ilitumika katika mtambo wa kwanza kamili wa mawasiliano ya "digital" ulioitwa Northern Telecom SL1 PABX.

Nimesoma chuo kiitwacho Bell Northern Research kilichopo Bellevue Canada. Nenda ka google ujuwe hiki ni chuo cha nini ujipatie faida, na hiyo ni early 80's. Nnajivunia sana kuwa Mtanzania wa kwanza aliyeweza kufika chuo hicho (highly prestigious) kwenye nyanja ya mawasiliano na ndicho kilichovumbuwa mtambo wa kwanza kamili wa mawasiliano ya "digital". Upo hapo ulipo?

Usione vinaelea vimeundwa. Usione tunaingia haya majukwaa ya teknolojia tukaandika mambo ya utani ukadhani kuwa sisi mamburula kama wewe. Ukifatilia japo kwa uchache maoni yangu kwenye jukwaa hili utapata japo sura ya mbali, mimi ni wa aina gani. Usione kikiulizwa kitu humu, sisi twakaa kimya, tunawaachia vijana wajifarague, mara moja moja tunapoona mtu kauliza kitu ambacho vijana kinawapiga chenga ndio huingi na kutoa ushauri wetu kwa mbali. Huwa hatujiambi kwa ujuzi wet mpaka anapotokea mjinga mjinga mmoja hivi asiyetujuwa ndio humfungulia kiduchu kumweka kwenye mstari, mfano mzuri ni wewe.
Mpe za USO huyo Mjinga anajifanya anajua computer Kumbe wazee tumetulia hajui hata Kama ulikuwa una joke achana nae mjinga huyo anachojua ni php anajiona programmer
 
Malumbano ya hivi yananikumbusha ile hadithi ya kichaa aliyemuibia taulo mtu aliyekuwa bafuni uswahilini,aliyekuwa bafuni akaanza kumkimbiza kichaa mtaani.
Je !hapo nani ni kichaa?
 
Back
Top Bottom