Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,275
- 18,352
Wakuu nauliza hivi ni sahihi kulima nyanya (kupanda) wakati huu wa mvua?
Je ni changamoto zipi natakiwa kujiandaa kukabiliana nazo endapo nitalima msimu huu wa mvua za masika
Je ni changamoto zipi natakiwa kujiandaa kukabiliana nazo endapo nitalima msimu huu wa mvua za masika