Jifunze kilimo cha nyanya

Yes dah pole sana
Hii kwanza inasambazwa na maji sababu iko ardhini au vifaa vya shambani,jitahidi eneo ambalo limeathirika zaidi basi lipewe huduma peke yake usichanganye na eneo lingine. Jitahidi kuepuka kusababisha vidonda sababu kikitokea tu ndio hapo hapo mmea unapoanzia kuathirika jitahidi upulize dawa zenye copper zitakusaidia kuzuia maambukizi ya hewani kwa kuziba vidonda.

Kikubwa dawa hakuna ikiwa mapema unaweza tumia Trichodema ambao ni bacteria wanaokula bacteria waharibifu lakini inatakiwa ianze toka kwenye kitalu kwa sasa umechelewa.

Next time ukilima tumia mbegu inayovumilia hili tatizo kama kipato f1 ya east west seed,Tengeru 97 (sema hii ni nyanya duara) sinahakika ila ni kati ya kibo au east Africa seed

Iliyoshambuliwa ing'oe ikikaa inaendelea kuzalisha wadudu zaidi
Mkuu huu ugonjwa uliwahi nipata nilipulizia innovex ukaisha kabisa
 
Mkuu nimefanikiwa kufanya hilo zoezi na nilichoelewa ni kwamba kuna bacterial wilt.

Tazama picha

View attachment 706517
Nasubiri muongozo wako juu ya tiba
Nahisi nimechelewa sana kujibu hili ilaa itasaidia wengine
Jitahidi sana kulima mbegu yenye ukinzani wa huu ugonjwa na kama umeona dalili shambani ng'oa Miche iliyoathirika then piga dawa INNOVEX Kwa dosage ya 30 ml per 20 litres ya maji changanya na ridomil gold au fungicide yenye kiambato Cha mancozeb na cymoxonil 60 gram piga Kwa pamoja tatizo litakwisha kabisa.
 
Nahisi nimechelewa sana kujibu hili ilaa itasaidia wengine
Jitahidi sana kulima mbegu yenye ukinzani wa huu ugonjwa na kama umeona dalili shambani ng'oa Miche iliyoathirika then piga dawa INNOVEX Kwa dosage ya 30 ml per 20 litres ya maji changanya na ridomil gold au fungicide yenye kiambato Cha mancozeb na cymoxonil 60 gram piga Kwa pamoja tatizo litakwisha kabisa.
Shida ya nyanya kupasuka kipindi mvua zikiwa nyingi mfululizo kama hizi za elnino husababishwa na mini wataalam

Sent from my TECNO W2 using JamiiForums mobile app
 
Shida ya nyanya kupasuka kipindi mvua zikiwa nyingi mfululizo kama hizi za elnino husababishwa na mini wataalam

Sent from my TECNO W2 using JamiiForums mobile
Majii yanakua mengi mno wakati nyanya ikiwa imekuzwa Kwa unyevu kidogo then maji yakaongezeka ghafla nyanya inaongeza ukubwa wa tunda wakati ganda la nje ni dogo ndipo hupelekea nyanya kupasuka.

Ushauri:
Kama umelima nyanya na unaona itakutwa na mvua jitahidi umwagilie maji mengi mara Kwa mara ili izoee Incase mvua itakuja itasaidia kupunguza tatizo na pia
NB
weka mbolea yenye calcium Kwa wingi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom