kichwa cha shoka la machinjioni baada ya kazi na chenyewe kinapikwa mchuzi wake sasa{msuli wa mpopo} tunakula na ugali,
kutana na mnyiramba origino naamini iramba nkulu tanzania nino{iramba ni kubwa kuliko tanzania nzima}
hey pole pole mzee mate hayo maana unaongea huku umeshika mti na unakita miguu kuonyesha msisitizo.au wewe mnyaturu? Kama vp anzisha tobic ya ukabila katika jukwaa la siasa nitakuja kuchangia.eti ukabila hauoni hata aibu dada zetu kufuata ukabila wa wazungu wa kuvaa nusu uchi,yes yes nyiingi hamna lolote.mimi binafi nampango wa kurudisha ukabaila nitaanza na wote wanaojizaririsha nakujiona wao hawana cha kujidaia tofauti na kuiga uzunguni.Upuuzi mtupu. Kama hamna kitu cha maana cha kuleta hapa JF si bora muwe mnapita tu. Eti KINYIRAMBA. Wengine ETI majina ya Kinyamwezi sijui nini. PUMBAFF. JK Nyerere aliondosha ukabila TZ. Mnataka kuleta ukabila hapa. PUMBAFFFFFF.
ucjali,karibu sanaaa sanaaa..
Upuuzi mtupu. Kama hamna kitu cha maana cha kuleta hapa JF si bora muwe mnapita tu. Eti KINYIRAMBA. Wengine ETI majina ya Kinyamwezi sijui nini. PUMBAFF. JK Nyerere aliondosha ukabila TZ. Mnataka kuleta ukabila hapa. PUMBAFFFFFF.
Ana-kilungu...! Mulongole kwa kinzua nantende!!
Kiomboi Kisiriri
What a heckMpola za ntondo mukulu ukole ne.