Mkubwa Jalala
Senior Member
- Mar 21, 2012
- 112
- 23
Kuna bwana mmoja alikuwa kalala na mkewe mara mke akawa
anaota kwa sauti jifeche jifiche mumewangu anakuja. mumeakakurupuka
na kuruka akatokea dilishani akiwa na nguo ya ndani (ch#p) akiwa nje
ndio anakumbuka loo kumbe alikuwa kalala na mkewe.
anaota kwa sauti jifeche jifiche mumewangu anakuja. mumeakakurupuka
na kuruka akatokea dilishani akiwa na nguo ya ndani (ch#p) akiwa nje
ndio anakumbuka loo kumbe alikuwa kalala na mkewe.