Miss Champagne
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 2,157
- 6,309
Ikiwa tu unajijua huna nguvu za kifikra na kihisia,zenye kuweza kukusaidia kuhimili nyakati ngumu pale zinapokutokea katika misukosuko,kuachana,migogoro,falaka nk.
Narudia tena kama huna nguvu za kifikra na kihisia zitakazoweza kukusaidia pale unapoyumba matokeo unashindwa kumaster depression, stress,kuwaza kujiua ama kudhuru wengine please usiingie kwenye mahusiano ya kimapenzi ama ndoa,YA MAISHA YANATOSHA !
Imagine maisha magumu,kipato kigumu,frustrations kibao zinakupelekesha,bado unaendekeza mapenzi unatafuta nini?
Waachie watu imara,mwanamke/mwanaume mwenye nguvu za kifikra anaejua kumaster hisia make haui watoto na huwezi sikia habari kama hizo
Mwenye fikra zenye nguvu anajua kumaster hisia zake,hata atukanwe vipi,asimangwe vipi ohh single mother this,singlemother that bado anasimama imara
Mwenye fikra imara hata aachwe mchana kweupe kisa kaporomoka kiuchumi mke kaenda kuolewa kwingine atalia lakini akimaliza atafuta machozi kisha anasimama upya,na kubeba aibu yake..kisha yanapita
huwezi sikia kaua watoto kisa mama asie na msimamo.
Nawajua watu kibao waliopitia ups and downs ikiwemo mimi.kuanzia za maisha mpaka mahusiano,na imara wakasimama hawakufanya mambo ya ajabu.
Imarisha fikra zako kwa nyakati ngumu ili uweze kumaster hisia zako.
Na ukiona haupo imara achana na mapenzi.we deal na maisha tu
Mapenzi.yanaumaa nyie
JE WEWE UKO IMARA?
Narudia tena kama huna nguvu za kifikra na kihisia zitakazoweza kukusaidia pale unapoyumba matokeo unashindwa kumaster depression, stress,kuwaza kujiua ama kudhuru wengine please usiingie kwenye mahusiano ya kimapenzi ama ndoa,YA MAISHA YANATOSHA !
Imagine maisha magumu,kipato kigumu,frustrations kibao zinakupelekesha,bado unaendekeza mapenzi unatafuta nini?
Waachie watu imara,mwanamke/mwanaume mwenye nguvu za kifikra anaejua kumaster hisia make haui watoto na huwezi sikia habari kama hizo
Mwenye fikra zenye nguvu anajua kumaster hisia zake,hata atukanwe vipi,asimangwe vipi ohh single mother this,singlemother that bado anasimama imara
Mwenye fikra imara hata aachwe mchana kweupe kisa kaporomoka kiuchumi mke kaenda kuolewa kwingine atalia lakini akimaliza atafuta machozi kisha anasimama upya,na kubeba aibu yake..kisha yanapita
huwezi sikia kaua watoto kisa mama asie na msimamo.
Nawajua watu kibao waliopitia ups and downs ikiwemo mimi.kuanzia za maisha mpaka mahusiano,na imara wakasimama hawakufanya mambo ya ajabu.
Imarisha fikra zako kwa nyakati ngumu ili uweze kumaster hisia zako.
Na ukiona haupo imara achana na mapenzi.we deal na maisha tu
Mapenzi.yanaumaa nyie
JE WEWE UKO IMARA?