Jiepushe na Mapenzi/mahusiano

Jiepushe na Mapenzi/mahusiano

Hivi inakuajee mtu unaumia au kuteswa na mapenziii?? Mapenzi yapii kwan? Haya ya watu wazima walio kutana huku kila m1 akiwa na meno yote 32, na hawakuzaliwa pa1???

Hapanaa kwa kweliiii,
Ndo hayohayoo
Siku mwenzenu kaachwa anatishia kulipua nyumba waunguze na nyie kisa bwanaake...yaani
 
Tatizo la afya ya akili linazidi tena kwa kasi mno.

1.wivu kupindukia,

Hii si dalili nzuri sana ukiona mtu anakuwekea wivu kupitiliza achana naye fasta huenda ana matatizo ya akili

2.Kukamia mechi,

Tendo la ndoa/ngono ni tendo la hisia linaloleta furaha kwa wawili yaani kuhakikisha Kila mtu kaenjoy, lakini ukiona mtu anafanya kama kukomoa, hayo ni matatizo ya akili kwani mtu mwenye akili timamu hawezi fanya hivyo.

3.kukumbushia zawadi na misaada

Ukiona mtu ana tabia ya kukumbushia vitu fulani ambavyo aliwahi kukusaidia basi log out mapema huyo huenda ana matatizo ya akili.

4.Mtu asiyejua Mapenzi.

Design ya watu hawa wenyewe hujiona mashababi na tabia zao za kusimulia mambo vijiweni huku silaha yao kubwa ikiwa ni kuhonga , Hawa ni hatari sana kwani huwa hawajiamini na ikitokea amesalitiwa basi hufanya maamuzi magumu sana.

Jack Daniel
 
Mkeo/Mumeo ni binadamu ukishajua kuwa hauishi na Malaika bali Binadamu mwenzio basi hautajinyonga/kuua ukisalitiwa.

Vyema umwambie Mwenza wako anachokitafuta nje anaweza kukipata ndani mkifundishana pamoja na kuyajenga pamoja.

Ikishindikana, umkumbushe kuchukua tahadhali akijua nje kuna maradhi kuanzia yenye kupona baada ya kuchomwa masindano mfululizo na mengine yenye kukufanya umeze dawa hadi figo zifeli na hadi unaingia kaburini.
 
Binafsi sijui nikoje huwa siwazi kuhusu mahusiano ninachowaza mm ni kuzagamuana tu so mtu akinipea then akaenda zake siwazi hta kdgo na km ananipea na ananipenda bc najitahidi kwenda nae sawa
 
Mapenz mapenz mapenz hili janga sijui kalileta nani linaumiza na kuuwa baadh ya watu ila dahh .. nashkr mm nimevuka kipengele hiki asaiv mapenz hayaniumiz tena kbsaa ..ingawa wanasema km mapenz hayakuum ww ushakua malaya tyr
Tushakuwa malaya tayari..tuna uzoefu hatyumbishwi

Ukiniacha leo week ijayo ukinitafuta nakuuliza we nani kwani? Mtu bakize ndo nani sikukumbuki
Utaduwaa
 
Tushakuwa malaya tayari..tuna uzoefu hatyumbishwi

Ukiniacha leo week ijayo ukinitafuta nakuuliza we nani kwani? Mtu bakize ndo nani sikukumbuki
Utaduwaa
Kbsaa m mwenyewe akili zangu nakutongoza upyaa kna kwamba sijawahi kukuona m nataka maumiv maisha yenyewe usumbufu na mpenz pia yanisumbue aiseee mungu kaniona kunitoa wivu huu
 
mie nilitaka nimzabue dada angu makofi, kwa kua uwezo cna, nkaishia kumchambaa tyuuh.

Unalia kisa mtu hata hukuzaliwa nae, kwan urungu anao yeye pekee akee?? Lol.
hayo ukiyapitia sana bila kupotea matokeo unakuwa imara.nakumbuka nlivokua nalia hadi macho yanavimba kisa kiboyfriend hapo udogoni.

Ila sasa kwa hawa miaka 40 unafanya mbo ya ajabu nashangaa
 
Back
Top Bottom